Waisilamu wanafuga sana majini ndio maana hawapendi nguruwe
Kaa hapo hapo usiondoke. Subiri mvua ya mawe π€£π€£Waisilamu wanafuga sana majini ndio maana hawapendi nguruwe
Yesu alitupia nguruwe mashetani, hakuwahi kula hiyo haram sumu ya mwili, huo ukristo ni wa wazungu na sio imani ya yesu.Waisilamu wanafuga sana majini ndio maana hawapendi nguruwe
Nakumbuka Sana kulikuwa na ya kike yanavutia Kweli na ya kiume pia[emoji28][emoji28][emoji28] Kwa nilivyokuwa nasimuliwa enzi hizo.. sasa sijui ni story au lahh.. maana story zilivuma mpaka miaka ya 2004 hivi nadhani ndiyo ilimfanya mpaka Mh Temba akainguzia kwenye nyimbo yake ya Side Mnyamwezi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1430][emoji1430][emoji1430][emoji1430][emoji1430]Habari! Wadau kati ya miaka ya 2002 hivi sijui kama nitakua nimekose nilikua madogo sana lakini nakumbuka tukio ambalo lilivuma miaka iyo kuhusu kuzagaa majini ya boss wa adventure pale majengo....
tuachie chai yetu wewe amini kwenye Lamborghini na wagunduzi wake πππChai
Asante kwa kukumbuka iki kisa kilikua kikubwa ezi zile ebu wadau waje watuelezeeNakumbuka Sana kulikuwa na ya kike yanavutia Kweli na ya kiume pia[emoji28][emoji28][emoji28] Kwa nilivyokuwa nasimuliwa enzi hizo.. sasa sijui ni story au lahh.. maana story zilivuma mpaka miaka ya 2004 hivi nadhani ndiyo ilimfanya mpaka Mh Temba akainguzia kwenye nyimbo yake ya Side Mnyamwezi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1430][emoji1430][emoji1430][emoji1430][emoji1430]
#I believe in Jesus of Nazareth..
Nitaipata vipi iyo storynimewahi kusoma humu hii story,
Yesu hakuwa MzunguYesu alitupia nguruwe mashetani, hakuwahi kula hiyo haram sumu ya mwili, huo ukristo ni wa wazungu na sio imani ya yesu.