Kigger
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 850
- 772
Habari! Wadau kati ya miaka ya 2002 hivi sijui kama nitakuwa nimekosea nilikuwa mdogo sana lakini nakumbuka tukio ambalo lilivuma miaka iyo kuhusu kuzagaa majini ya boss wa adventure pale majengo.
Kipindi iko watu walikuwa wasema wanakutana na majini mara kwenye daladala linatoa mkono kutoka seat ya mwisho konda alipo.
Wengine sijui wanasema wanaingia gest sijui linazima taa yani mambo yalikua mengi.
Kama kuna mtu atakuwa anafahamu hiki kisa basi atujulishe.
Kipindi iko watu walikuwa wasema wanakutana na majini mara kwenye daladala linatoa mkono kutoka seat ya mwisho konda alipo.
Wengine sijui wanasema wanaingia gest sijui linazima taa yani mambo yalikua mengi.
Kama kuna mtu atakuwa anafahamu hiki kisa basi atujulishe.