Majini yanayoongoza kula pesa za wanawake nchi za dunia ya tatu

Majini yanayoongoza kula pesa za wanawake nchi za dunia ya tatu

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Hawa ni majini, na kama tujuavyo majini kazi yao ni kuharibu na kupotosha. Hamna nyingine.

1. Waganga
2. Manabii wa uongo.
3. Saluni/Urembo na mavazi.

Hawa ndiyo kwa kiasi kikubwa wanakula sana pesa za wanawake. Yaani nyumbani inawezekana kabisa ukawa huna pesa hata kidogo na mke anafanya kazi akawashindisha watoto na njaa, anasubiri wewe mume uje ununue chakula!

Lakini kwa mganga atapeleka mshahara wote au kwa jamaa mmoja mjanja mjanja anajifanya nabii, atapelekewa salary na atakopewa na nyingine.

Sehemu ya tatu ni saluni, huko nako pesa nyingi zinapelekwa.
 
Inaonesha namba 2 , ndio imekufanya uanzishe uzi

Na inaonekana wewe ni Money Worshiper.

Ibrahim aliambiwa amchinje mtoto wake wa pekee . We mahasira kibao , kisa mkeo katoa buku 5 ya sadaka
 
Sasa kwa mganga na nabii wake si atapata dawa ya kukupumbaza uwe zombie.

Kuna jamaa alitaka kufa kwa malaria kisa hana Hela huku mke wake ana laki ndani.
 
Back
Top Bottom