Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
Nimechekea hadi mbavu zimeniuma haswa hapo kwenye kuzaliana tembo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wakati mkuu huwa una andika utumbo, tunataka point/hoja zenye mashikoMkuu, ni lini bhana akili yangu haikukaa Sawa?
Kama Hilo halitatumika, basi wizara iongeze ubunifuKwani sisi ,sihatujakuwa na lockdown,sasa imekuwaje watalii wasije hata tuwaze kuwapelekea watalii wanyama huko huko walipo? Kweli majira yaenda kasi na sii mchezo.
Inaonyesha unapenda kutafuna nyama weweMe simba sitaki ninataka swala tu
Pole mkuuNimechekea hadi mbavu zimeniuma haswa hapo kwenye kuzaliana tembo
Sana mkuuInaonyesha unapenda kutafuna nyama wewe
Zitachezwa hesabu Kiongozi, si tunawataalam mkuu.Wanyama si wataisha fasta mdau?
Waafrika wengi tuko hivyo kama wewe mkuu, na ndio maana utalii kwa Mwafrika ni kama kumlazimisha tu.Kwa mfano mimi huwa napenda kufanya mapumziko yangu Mji wa Tanga, pale hakuna wanyama.
Tuna wezi sio watalaamu lazima waishe tu.Zitachezwa hesabu Kiongozi, si tunawataalam mkuu
Pitia pangani alafu unaingia sadanKwa mfano mimi huwa napenda kufanya mapumziko yangu mji wa Tanga, pale hakuna wanyama.
🤸🤸😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣