imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Siku hizi hiyo system ya cctv inapatikana kwa urahisi hapahapa MjiniKufanya hivyo pia lazima beberu asiyependwa ashiriki,ama kwa tekinologia, ama vinginevyo.
Sema hao watalii ndio haohao mara nyingine wanaitwa Mabeberu