Majirani njooni humu tukubaliane bei, hii ndege yenu ya ATCL tunataka tuinunue haraka iwezekanavyo kabla tarehe yake ya expiry haijawadia

Kwanini Matiang'i mumempa jina la Magufuli wa Kenya?
Hapo awali aliitwa Magufuli, na wanahabari, sio kwa sifa nzuri, bali ni kwasababu walichukizwa sana na ubabe wake. Sasa hivi hata Matiang'i mwenyewe ukimuita Magufuli lazima atakuzaba kofi kwa kumdhalilisha.
 

Ahaaa haaa haaa
Hongera sana bro KWA kuuliza swali hilo.
Maana nani ana uhakika wa kuwa hiyo ni picha ya rada inayoonesha ndege ATCL ikiruka maeneo hayo?
 

Ahaaa haaa haaa
Tuma salamu basi, maana hesabu mpaka 2025. Yeye ni yule yule.
 
UsengeUsenge kama huu muwe mnakaa nao vyumbani mwenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo awali aliitwa Magufuli, na wanahabari, sio kwa sifa nzuri, bali ni kwasababu walichukizwa sana na ubabe wake. Sasa hivi hata Matiang'i mwenyewe ukimuita Magufuli lazima atakuzaba kofi kwa kumdhalilisha.
OK, nimekuelewa, Kwahiyo mtu akitenda kazi vizuri kwenu mnaita ubabe Sio?, sasa huo ubabe Ndio uliomfanya mpaka akubalike kuwa the best CS, na hivyo hivyo Ndio kinachomfanya Magufuli kuwa best president in Africa, year in, year out.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haa wapi... KLM wanakodokea macho ndege zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watch it! Sijaribiwi mimi. Ukijaribu kunipangia ndio utakuwa umeharibu kabisa. Fomu nilichukua mimi mwenyewe! Mimi ndio rais! [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…