Majirani njooni humu tukubaliane bei, hii ndege yenu ya ATCL tunataka tuinunue haraka iwezekanavyo kabla tarehe yake ya expiry haijawadia

Majirani njooni humu tukubaliane bei, hii ndege yenu ya ATCL tunataka tuinunue haraka iwezekanavyo kabla tarehe yake ya expiry haijawadia

Hajui metal zinazo resist oxidation.
Unless it is pure titanium. Ka ina alloys then it's prone to corrosion /oxidation.
Iron rusts.Other metals corrode.
Acheni kujifanya eti nyie ndio mmesoma kuhusu metals peke yenu. Bure nyinyinyinyi!
 
Hapo nime highlight , hilo si jibu, huyo mkurugenzi wa ATCL amejibu hypothetically kwamba ndege ya ATCL inaeza kuonekana popote duniani na itakua inafanya biashara... Hii inamaanisha either hajui ilikua inafanya nini huku Nairobi au alikua hataki kujibu akatoa vague statement kwamba kila iendako lazima itakua inafnya biashara........ Hajajibu ilikua inafanya nini Nairobi haswa! manake mbali na alichosema kuna sababu nyingi za ndege kusafiri eneo ambalo hua kawaida haisafiri...

Ni kama vile mimi nishikwe na polisi na waniambie pickup yangu imetumika kwa wizi.... kitu cha kwanza bila kujua kama ni ukweli au uongo, nitajibu kwa kusema gari yangu hutumika na watu wengi kibiashara kwahivyo lazima ilikua imekodishwa kibiashara kwahivyo wasini husishe na wizi wa aina yoyote.... hapo nitakua nimejibu hypothetically kwasababu sijui kinachoendelea na nataka kujiondolea lawama, ama najua kinachoendelea lakini sitaki polisi wanishike kwahivyo najifanya sijui..... huyo mkurugenzi wa ATCL amejitetea ki hivyo

Bro KAfrican, you are the among JF member who I trust and respect. Please try revisit your content analysis regarding this discourse. If you carefully read the first para after the abstract, the ATCL boss has pragmatically explained the reason why the flight flew to Nairobi. Please go to read.
 
Unless it is pure titanium. Ka ina alloys then it's prone to corrosion /oxidation.
Iron rusts.Other metals corrode.
Acheni kujifanya eti nyie ndio mmesoma kuhusu metals peke yenu. Bure nyinyinyinyi!

Ahaaa haaa haaa
But do you know the core DNA of applying alloys on other metals like feruos!!?
 
AIR TANZANIA’S FLEET SET TO GROW WITH THE ACQUISITION OF ANOTHER VIKING Q400

(Posted 29th March 2019)



Air Tanzania has, according to information received from Canada, signed for a fourth Q400 aircraft, arguably replacing an aged Q300 aircraft.

The additional turboprop, also configured with a single class cabin, will be used to serve additional destinations in the near region and on domestic routes. Formerly known as the Bombardier Q400, more recently sold to Viking of Canada, is the aircraft worth some 31 million US Dollars.

Given the acquisition of a Boeing B787 Dreamliner, of two Airbus A220-300’s, formerly known as the Bombardier CSeries and now four Q400’s, is the overall investment by the Tanzanian government now well in excess of half a billion US Dollars.

The airline is also expecting a second Boeing B787 either in 2020 or 2021 to allow further expansion of intercontinental routes.

https://atcnews.org/2019/03/29/airt...yy4-i9x9qfQ2ARzBG2Vd1ObiQzwZKY_Vn3fDOmEZ7Fpf0
 
Tufuate hizo taratibu sasa...

Cc: mahondaw
Hamna cha taratibu wala nini, hiyo siyo ndege ya kwanza ya aina hiyo kutua hapa Afrika. Kuna mashirika mengine ya kimataifa ambayo yana ndege kama hizo na zina vibali vya kutua hapa Afrika. Vibali havipatikani bure, ni nipe nikupe. Tena lobbying inahitajika sio kujifungia tu ndani na majungu dhidi ya mashirika mengine alafu unategemea wenye mashirika hayo serikali zao zitawapa vibali virahisi.
 
Hamna cha taratibu wala nini, hiyo siyo ndege ya kwanza ya aina hiyo kutua hapa Afrika. Kuna mashirika mengine ya kimataifa ambayo yana ndege kama hizo na zina vibali vya kutua hapa Afrika. Vibali havipatikani bure, ni nipe nikupe. Tena lobbying inahitajika sio kujifungia tu ndani na majungu dhidi ya mashirika mengine alafu unategemea wenye mashirika hayo serikali zao zitawapa vibali virahisi.
Hamna ndege ya A220-300 inatua commercial at JKIA as civilian flight. Halafu mue waangalifu JPM hajaribiwi mkizuia Air Tanzania kutua Nairobi or Mombasa ama anywhere in Kenya, muwe tayari for the ban on KQ from landing anywhere within Tanzania as reciprocation.
 
Huh sasa mnaanza kunipoteza. ... Siakago sounds like Chicago you know
Same place, different continents. 😎 Infact even the beautiful girls in Siakago have Chicago swag. They will tell you 'my name is Riri'. .....[emoji15] 'No, not Rhihana, Ririan'. [emoji1]
 
Hamna cha taratibu wala nini, hiyo siyo ndege ya kwanza ya aina hiyo kutua hapa Afrika. Kuna mashirika mengine ya kimataifa ambayo yana ndege kama hizo na zina vibali vya kutua hapa Afrika. Vibali havipatikani bure, ni nipe nikupe. Tena lobbying inahitajika sio kujifungia tu ndani na majungu dhidi ya mashirika mengine alafu unategemea wenye mashirika hayo serikali zao zitawapa vibali virahisi.

Kwa hiyo tatizo ni serikali yenyewe, kujifanya inajua sana?

Cc: mahondaw
 
Hamna ndege ya A220-300 inatua commercial at JKIA as civilian flight. Halafu mue waangalifu JPM hajaribiwi mkizuia Air Tanzania kutua Nairobi or Mombasa ama anywhere in Kenya, muwe tayari for the ban on KQ from landing anywhere within Tanzania as reciprocation.
Kwahivyo hiyo ya Air Tz ilitua Nairobi National Park?
Alafu wakenya huwa hatuna majungu ya aina hiyo, ATCL itue au isitue JKIA hamna tofauti yeyote. Ila mjue KQ ni member wa SkyTeam. Ubabe wake angani sio wa Nairobi na Mombasa pekee yake. Mkianza bifu na KQ anga za member wengine wa SkyTeam kama Delta, China Eastern, China Airlines, KLM, Saudia, Czech hamtazinusia.
 
Write it properly. Ferrous.
Moja ni kuzuia corr
Did you study metallurgy in Chicago?


Hamna ndege ya A220-300 inatua commercial at JKIA as civilian flight. Halafu mue waangalifu JPM hajaribiwi mkizuia Air Tanzania kutua Nairobi or Mombasa ama anywhere in Kenya, muwe tayari for the ban on KQ from landing anywhere within Tanzania as reciprocation.

Ahaaa haaa haaa
Si Lusaka na Harare tayari tunatua?
Hawa jamaa wanafikiri Airbus zimepaki tu uwanjani.
 
Kwahivyo hiyo ya Air Tz ilitua Nairobi National Park?
Alafu wakenya huwa hatuna majungu ya aina hiyo, ATCL itue au isitue JKIA hamna tofauti yeyote. Ila mjue KQ ni member wa SkyTeam. Ubabe wake angani sio wa Nairobi na Mombasa pekee yake. Mkianza bifu na KQ anga za member wengine wa SkyTeam kama Delta, China Eastern, China Airlines, KLM, Saudia, Czech hamtazinusia.

But do you really know what is SkyTeam (member of FlyingBlue)?
 
Back
Top Bottom