Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Achana na hili pumbavu as if JK alivyo-ban KQ Skyteam members wali-side na KQ!But do you really know what is SkyTeam (member of FlyingBlue)?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na hili pumbavu as if JK alivyo-ban KQ Skyteam members wali-side na KQ!But do you really know what is SkyTeam (member of FlyingBlue)?
Write it properly. Ferrous.
Moja ni kuzuia corr
Did you study metallurgy in Chicago?
Boss kuna vibali kuvipata inachukua hata zaidi ya miaka kumi. Huwezi amka siku moja useme eti naiona Madrid ndio hii hapa. Networking, lobbying, armtwisting, partnerships, code sharing, kukubalia wengine wafanye biashara kwako ndio mchezo wenyewe kwenye biashara ya usafiri wa anga.
Airbus hizo ni crucial sana kwa ATC ni mpumbavu tu kama mange anayeweza hisi zinauzwaAhaaa haaa haaa
Si Lusaka na Harare tayari tunatua?
Hawa jamaa wanafikiri Airbus zimepaki tu uwanjani.
Airbus hizo ni crucial sana kwa ATC ni mpumbavu tu kama mange anayeweza hisi zinauzwa
Mpka sasa zina cover
Entebbe
Harare
Lusaka
Mwanza
Mbeya
Hahaya..
Soon zitaanza
Joburg na Mumbai
Hamna ndege inayoouzwa hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona katiba yenu inakataza Ukabila na rushwa lakini Bado vinashamiri na mnavipenda?, katiba ni kitabu tu, muhumi ni watu wenyewe, kama binadamu amekataa kutekelezeka na kufuata vitabu vitakatifu, je katiba ina uwezo gani?. Mlijisifu kuwa na katiba bora, lakusikitisha kila siku nchi yenu inazidi kuelekea kubaya, rushwa, unemployment, crime, Hunger, poverty na ugumu wa maisha vinaongezeka, faida mliyotengeneza baada ya kupata katiba mpya ni ipi?Hahaa! 😀 Ndugu yangu, hivi unafahamu kwamba Kenya kwa mujibu wa katiba kuna sheria ambayo inazilazimisha serikali na mashirika ya umma kuwapa raia takwimu, habari na taarifa? Zozote zile ambazo zinawahusu au zinazohusu shughuli zozote zinazoendelea nchini. Wakikatalia ruksa kufungua kesi mahakamani na watumishi wa umma wanaohusika watalazimika kufika mbele ya mahakama kujibu mashtaka. Yaani vitu kama hivyo sio vya kuomba omba kwenye karne hii.
Spin me a story we kibwengo. Sky Team iliside na mbilikimo yupi, kati ya ATCL ambayo haikuwa imemea fuzi wakati huo au FastJet na zile route zake kienyeji?Achana na hili pumbavu as if JK alivyo-ban KQ Skyteam members wali-side na KQ!
Do you? NdioBut do you really know what is SkyTeam (member of FlyingBlue)?
👇👇👇👇👇👇👇Sasa badala ya ndege nzuri hivi kupata kutu, si afadhali wauze nusu bei waliyonunua ili watumie hizo hela kununua bullet trains.
ichoboy01, Wyatt Mathewson
Leta evidence ya unachoongea kisheria!Spin me a story we kibwengo. Sky Team iliside na mbilikimo yupi kati ya ATCL ambayo haikuwa imemea fuzi wakati huo na FastJet ile ya route kienyeji? Do you? Ndio
hawa members wa SkyTeam.Its more than just partnerships and codesharing agreements. Infact politics plays a crucial role. You must be mad if you think ATCL would get unrestricted access to Schipol Intl. Airport(SkyTeam HQ) while at the same time playing dirty politics against KQ in Tz airports.![]()
👇👇👇👇👇👇👇👇kumbe mange kimaviIla Mange Kimambi naye sio mtu mzuri. Eti ndege ilipowasili alikatika kweli kweli hadi akateguka kiuno! Hahaha! [emoji1][emoji1][emoji1] My ribs!![]()
Acha kelele, pambaneni na mshamba wenu ambaye huwa anajiita kichaa. Endeleeni kunajisi katiba yenu na kurudi nyuma na kuingia kwenye ligi za nchi zinazo ongozwa na madikteta. Kama inawapendeza nyinyi sisi ndio kina nani? Hatutawakwaza. Ila kujilinganisha na Kenya kidemokrasia ni upumbavu wa hali ya juu.Mbona katiba yenu inakataza Ukabila na rushwa lakini Bado vinashamiri na mnavipenda?, katiba ni kitabu tu, muhumi ni watu wenyewe, kama binadamu amekataa kutekelezeka na kufuata vitabu vitakatifu, je katiba ina uwezo gani?. Mlijisifu kuwa na katiba bora, lakusikitisha kila siku nchi yenu inazidi kuelekea kubaya, rushwa, unemployment, crime, Hunger, poverty na ugumu wa maisha vinaongezeka, faida mliyotengeneza baada ya kupata katiba mpya ni ipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Actually kuna mpango wa kuongezwa stay tuned!Airbus hizo ni crucial sana kwa ATC ni mpumbavu tu kama mange anayeweza hisi zinauzwa
Mpka sasa zina cover
Entebbe
Harare
Lusaka
Mwanza
Mbeya
Hahaya..
Soon zitaanza
Joburg na Mumbai
Hamna ndege inayoouzwa hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee ugua pole, umechanganyikiwa sana. Soma comment yangu mara tano alafu urejee upya.Leta evidence ya unachoongea kisheria!
Boss kuna vibali kuvipata inachukua hata zaidi ya miaka kumi. Huwezi amka siku moja useme eti naiona Madrid ndio hii hapa. Networking, lobbying, armtwisting, partnerships, code sharing, kukubalia wengine wafanye biashara kwako ndio mchezo wenyewe kwenye biashara ya usafiri wa anga.
Kwa hiyo source ya taharifa yako ni Mange!! Mbona tamko la serikali limetoka ila ume amaua kuside na source ambayo haieleweki. Ungemjua vizuri Mange usingeleta hii thread ya kujiabisha.Hahaa! 😀 Ndugu yangu, hivi unafahamu kwamba Kenya kwa mujibu wa katiba kuna sheria ambayo inazilazimisha serikali na mashirika ya umma kuwapa raia takwimu, habari na taarifa? Zozote zile ambazo zinawahusu au zinazohusu shughuli zozote zinazoendelea nchini. Wakikatalia ruksa kufungua kesi mahakamani na watumishi wa umma wanaohusika watalazimika kufika mbele ya mahakama kujibu mashtaka. Yaani vitu kama hivyo sio vya kuomba omba kwenye karne hii.
Mbona katiba yenu inakataza Ukabila na rushwa lakini Bado vinashamiri na mnavipenda?, katiba ni kitabu tu, muhumi ni watu wenyewe, kama binadamu amekataa kutekelezeka na kufuata vitabu vitakatifu, je katiba ina uwezo gani?. Mlijisifu kuwa na katiba bora, lakusikitisha kila siku nchi yenu inazidi kuelekea kubaya, rushwa, unemployment, crime, Hunger, poverty na ugumu wa maisha vinaongezeka, faida mliyotengeneza baada ya kupata katiba mpya ni ipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo source ya taharifa yako ni Mange!! Mbona tamko la serikali limetoka ila ume amaua kuside na source ambayo haieleweki. Ungemjua vizuri Mange usingeleta hii thread ya kujiabisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baadhi ya hawa watani wetu ni ma'slow poke' hadi wanatisha. Mara airbus yao ilikuwa imekuja maonyesho ya ndege, maonyesho ambayo hata wakenya nao hawayajui. Mara ilikuwa imekodishwa na airbus, mara ilikuwa imekodishwa kusafirisha watu. Wakati kwenye image ya flightradar24 ya safari ya ndege yenyewe hamna sehemu yeyote ambayo ilitua Tz. Dah! Dunia ina mambo.ichoboy01 kumbe ni biashara. Ilikuwa imeleta korosho au?