pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
- Thread starter
- #141
Boss hiyo chang'aa umetumia leo ipo on point sana, itakuwa leo walisahau kutia maji. Hadi kiswahili chako leo naona kimenyooka kidogo. 😀 Tashwishi ni kwamba unanikanganya bure kwasababu sielewi unaongea kuhusu nini. 😀 Dadavua zaidi uncle.Hii habari ya A220 Kuja kenya bado unaihoji kwa nguvu hivi?