ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wewe kweli ni kibuyu yaani huoni kwamba kwa vivutio vingi na vya kipekee Tzn ilifaa iwe kiongozi wa utalii just like Morocco na egypt? Worse enough eti watalii 1.5 mln ni wanatosha? Kwa akili kama hizo si ajabu Tzn ni ldc despite plenty of resourcesSawa we boya ukubwa wa nchi na watalii vinahusiana nni? Tanzania inawatalii wa kutosha sio lazma tuwe wa kwanza.
Habari za 2018 bado umezishikilia kwa dhati ili umfurahishe nafsi yako? Tuko 2019 Oktoba.Hahaha you wish to have 100b
Kadanganye rika lakoView attachment 1220388
Kwa hivyo mmekuza GDP yenu kwa karibu dollar billion 20 kwa miezi 7?Habari za 2018 bado umezishikilia kwa dhati ili umfurahishe nafsi yako? Tuko 2019 Oktoba.
Nimeona Samburu pia πππView attachment 1220390View attachment 1220391
8 of the best safari destinations in Africa
Safaris abound across Africa. But it's a big continent. Here's where to find the most outstanding trips.edition.cnn.com
Bila shakaKwa hivyo mmekuza GDP yenu kwa karibu dollar billion 20 kwa miezi 7?
Danganya rika lakoBila shaka
Tupatie takwimu za 2019 nikucheke πππDanganya rika lako
WTC Report ya 2018 inaonyesha kuwa TZ iliingiza 2.5billion USD wakati KY iliingiza USD 1.5 billion USD toka kwenye utalii.Kwenye ukuaji wa utalii, Tanzania iko nyuma ya Kenya, Ethiopia, Afrika Kusini, Mauritius, Seychelles, Botswana na Namibia kwa mujibu wa ripoti ya The Travel and Tourism Competitive Index 2019
Kile hunishangaza, Tanzania ina vivutio bora kuliko mataifa yote haya, yenyewe kwanza ni muungano wa mataifa mawili, kule Zanzibar pekee yake ina vivutio bora hata kuizidi Mauritius, lakini utakuta muungano wote huo unashindwa na kainchi kadogo kama Kenya.
Huwa mnakwama wapi majirani, vyuo mnavyo, shule mnazo, tatizo nini haswa....
---------------------------------
Tanzania ranked 10th on the list of growing tourism markets
Arusha. Tanzania is among the top ten countries in Africa which have recorded the fastest growth in tourism. Within eastern Africa, Tanzania only trails Kenya and Ethiopia and South Africa,www.thecitizen.co.tz
Hebu tafuta WTC report ya mwaka 2018 uisome au pengine nayo imepikwa na TZ?Rudi kwa hio ripoti jibu utalipata bila hata kuonyesha revenue.
Mpo juu yetu kweli na $60 GDP ilhali sisi tuko chini yenu na $100b GDP...utalii wenu ukifikia wa Kenya Basi itakuwa wazi kwenye GDP yenu, ila kwa Sasa pikeni takwimu ambazo haziendani na Hali halisi pale bongolalaland.
Wewe baki 2018 Mimi nilisonga mbele na Kenya yangu tuko 2019.Hebu tafuta WTC report ya mwaka 2018 uisome au pengine nayo imepikwa na TZ?
Tumekwama kiaje msee, tushawai agiza msosi kwenu huko. Embu fafanua kukwamaAll that fertile land and mineral resources na bado Tanzania wamekwama kimaendeleo, kiuchumi ,utalii ,miundombinu ,siasa ,katiba na mengine mengi . Tanzania is a very useless giant.
Wewe unacheckesha sana kwani sijawahi kusikia repoti ya mwaka ikatolewa kabla ya mwaka husika kumalizika au pengine hii ni made in +255Wewe baki 2018 Mimi nilisonga mbele na Kenya yangu tuko 2019.
Ww ndo mwendawazimu, unadhani kila mtu anapenda kuja kuangalia simba na swala mbugani? Nchi zinazoongoza kwa watalii duniani hazina mbuga wala vivutio vya asili nchi kama saudia ni jangwa na wageni kibao wanaenda. Watalii wengi wanaenda sehem za starehe na wachache ndo wanaopenda "safari" za mbugani. Kwahyo bichwa lako lazma lijue mbuga sio kivutio pekee cha utalii, ndio maana wageni wengi wetu wanaishia zanzibar au dar sababu ya beautiful beachesWewe kweli ni kibuyu yaani huoni kwamba kwa vivutio vingi na vya kipekee Tzn ilifaa iwe kiongozi wa utalii just like Morocco na egypt? Worse enough eti watalii 1.5 mln ni wanatosha? Kwa akili kama hizo si ajabu Tzn ni ldc despite plenty of resources
[emoji38][emoji38][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382] kwani vivutio vyenye Tzn inajivunia ni wanyama tuu? Is mnt Kilimanjaro or Zanzibar beaches animals? Wewe ni kibuyu,hoja inabaki palepale licha ya Tzn kuwa na vivutio vingi vya kila aina still inazidiwa na nchi zenye vivutio vya kawaida