Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
- Thread starter
-
- #221
SawaChai
Hapo ndio walizingua kuwatajaNahis ni ww ,sijui Kwa n ?? Sheria zetu zinaruhusu kuhis mtu na kumripot polis ,sema polis wetu kwel wamezingua kupata taarifa za hivyo na kuwataja chanzo Cha taarifa ni ukosefu wa maadili
Ukiripot suspicious activities mamlaka zinatakiwa zifanye uchunguzi sio kukurupukia kukamatanakwa hiyo jirani kutoa ripoti polisi ni vibaya?haya incase ikiwa jamaa alikuwa drugs dealer?
mahakama haitatenda haki,kwani hiyo ni kawaida kuhisi.
Hahah kwa hiyo majirani kazi wanayo.Ila mahakamani hamnaga kuhisi mbona
Mama angu alikua anapenda kusema hivyoπWapi huko?
Polisi walikurupukaUkiripot suspicious activities mamlaka zinatakiwa zifanye uchunguzi sio kukurupukia kukamatana
Ndio kazi wanayo sababu mahakamani hamnaga kuhisiHahah kwa hiyo majirani kazi wanayo.
IDKKweli huyo ni mzee wa kubeti, tayari amebet M500 mahakamani π
Mbona huyu jamaa kaendelea labda wewe hiyo kazi huiwezi maana jamaa Hadi mikeka yake imeoneshwa polisiIDK
Eti tayari uzi unasambaa status wakati chai tu hii hakuna aliyeendelea kwa kubeti
Wakuu Kuna jamaa hapa mtaani alikua anahisiwa anafanya shuguli haramu sababu anamaisha mazuri ila kazi yake haijulikani anashindwa ndani akitoka jioni
Sasa Kuna majirani wawili wamemripoti polisi akaja kukamatwa. Sasa akiwa huko polisi akasema yeye kazi yake ni kubeti na analipa Kodi Kwa serikali kupitia mikeka yake anayoshinda na kweli kaonyesha mikeka anakula mamilioni ya pesa ni aina ya watu wanaoweka pesa nyingi sana kwenye mechi.
Sasa kingine kaenda mahakamani anawashitaki majirani zake hao wawili Kwa kosa la kumdhalilisha na kumpotezea mda wa kufanya mambo yake ya msingi na anadai fidia million 500 na ana mawakili wake kabisa wa 3
Hivi hii kesi anaweza kushinda huyu jamaa ishu ipo serious sana
Hii habari ina maslahi gani kwa umma ?Wakuu Kuna jamaa hapa mtaani alikua anahisiwa anafanya shuguli haramu sababu anamaisha mazuri ila kazi yake haijulikani anashindwa ndani akitoka jioni
Sasa Kuna majirani wawili wamemripoti polisi akaja kukamatwa. Sasa akiwa huko polisi akasema yeye kazi yake ni kubeti na analipa Kodi Kwa serikali kupitia mikeka yake anayoshinda na kweli kaonyesha mikeka anakula mamilioni ya pesa ni aina ya watu wanaoweka pesa nyingi sana kwenye mechi.
Sasa kingine kaenda mahakamani anawashitaki majirani zake hao wawili Kwa kosa la kumdhalilisha na kumpotezea mda wa kufanya mambo yake ya msingi na anadai fidia million 500 na ana mawakili wake kabisa wa 3
Hivi hii kesi anaweza kushinda huyu jamaa ishu ipo serious sana
SijuiHii habari ina maslahi gani kwa umma ?
Sawa ngoja tuoneKwa mtazamo wangu, walio report tukio hawana kosa
Kwa kuwa aliyerepotiwa halikuwa na madhara yanayo onekana kwenye jamii, wala ushahidi wa moja kwa moja; walioripotiwa ndio walitakiwa wachunguze na kujiridhisha kuwa waliyoletewa yana mashiko kabla ya kwenda kumkamata. Hivyo hao washtakiwa nao wanaweza kuruka hiyo kesi....
Majirani wako sahihi, tunaambiwa Kila mara Kama Kuna mtu unamtilia shaka karipoti kwa mamlaka. Wengine wanakuwaga majambazi.
Halafu watu wa kubet achen kuleta stori za kujifariji ππ betting sio ajira kafanyeni kazi
Nahis ni ww ,sijui Kwa n ?? Sheria zetu zinaruhusu kuhis mtu na kumripot polis ,sema polis wetu kwel wamezingua kupata taarifa za hivyo na kuwataja chanzo Cha taarifa ni ukosefu wa maadili