Majirani wamemripoti jamaa kituo cha polisi kisa kazi yake haijulikani! Sasa anadai Milioni 500 kwa kuletewa usumbufu

Fruit of the poisonous tree
 
Mimi si mwanasheria lakini sidhani kama anaweza kuwa na kesi ya msingi hapa. Kuhisi mtu si kosa kisheria, lakini je polisi waliwataja whistle blower? Hii nayo itakuwa ni mpya. Ni haki ya msingi ya kila raia kuchukuwa taadhari kila anapohisi jambo flani haliko sawa.
 
Leo nmebahatika kuongea na jamaa kanipa namba zake
kasema anatoa source kutoka Mexico tunaweza jiunga naye kwa kuchangia kidogo

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
bado taarifa ina ukakasi eti uishi kwa kutegemea mikeka !!
hapo polisi wamechemka labda kama anafanya na forex na vit vitu vingine.
nchi za wenzetu kawaida.
Majiran wanawezz kukushtak kisa unafungulia mziki juu, aliingia mtu kwako hawajaona akitoka, au kukuhisi unafanya biashara haramu.
 
Hao waseg$ wauze mali za ukoo wao wote halafu waolewe na huyo jamaa ili kufidia hiyo milioni mia tano
 
Sawa ngoja tuone
 
Hawezi kuwasamehe na kaweka wanasheria wa3
Atawalipaje?

Kesi ya madai nayo ni aina ya BETTING
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…