Hapo ndipo walipojichanganya...MAJIRANI wawili ndio walimshitaki na walikua polisi na yeye akiwepo
Wala sio. Wao walitimiza wajibu wao,walikua sahihi. Na sasa jamaa naye aache atimize wajibu wake kwa mujibu wa sheria. Naye yuko sahihi. Kwakifup wote wako sahihi.kwa hiyo jirani kutoa ripoti polisi ni vibaya?haya incase ikiwa jamaa alikuwa drugs dealer?
mahakama haitatenda haki,kwani hiyo ni kawaida kuhisi.
Sheria ya Whistle blowing inawalinda hao majirani wala wasibabaike wao walitoa taarifa Polisi kwa nia njema kutokana na wasiwasi waliokuwa nao. Hivyo wasishituke, Polisi watakuwa mashahidi wao wazuri tu.Wakuu Kuna jamaa hapa mtaani alikua anahisiwa anafanya shuguli haramu sababu anamaisha mazuri ila kazi yake haijulikani
Sasa Kuna majirani wawili wamemripoti polisi akaja kukamatwa. Sasa akiwa huko polisi akasema yeye kazi yake ni kubeti na analipa Kodi Kwa serikali kupitia mikeka yake anayoshinda na kweli kaonyesha mikeka anakula mamilioni ya pesa ni aina ya watu wanaoweka pesa nyingi sana kwenye mechi.
Sasa kingine kaenda mahakamani anawashitaki majirani zake hao wawili Kwa kosa la kumdhalilisha na kumpotezea mda wa kufanya mambo yake ya msingi na anadai fidia million 500 na ana mawakili wake kabisa wa 3
Hivi hii kesi anaweza kushinda huyu jamaa ishu ipo serious sana
Ninachohisi jamaa aliwaambia polisi wamtajie na nadhani aliwapa pesa maana jamaa yupo vizuri kipesaNi kosa kubwa sana kwenye masuala ya uchunguzi siku nyingine unaweza kukosa taarifa kutoka kwa raia
Upotoshaji 🤣🤣UpuuzweWacha watu waanze kufikiri kubeti ndiyo njia ya kupata utajiri.
Hapo mi kama jirani nawakataa polisi mchana kweupe kabisa labda niwe nimesaini maelezo kwa dole gumba ila bila hivyo nawakataa kweupeNinachohisi jamaa aliwaambia polisi wamtajie na nadhani aliwapa pesa maana jamaa yupo vizuri kipesa
Wakamuulize huyo whistle blowe maarufu Snowden alivyonusurika.Sheria ya Whistle blowing inawalinda hao majirani wala wasibabaike wao walitoa taarifa Polisi kwa nia njema kutokana na wasiwasi waliokuwa nao. Hivyo wasishituke, Polisi watakuwa mashahidi wao wazuri tu.
Aisee hii ni hatari na jamaa yupo seriousHapo ndipo walipojichanganya...
Mambo kama haya inabidi uwe "Anonymous"..
Unaenda kutoa taarifa kisha wewe identity yako inakuwa siri..
Sasa kwa style hiyo waliyoenda nayo jamaa ana haki kuwashitaki pia, maana wao hawajaenda kutoa taarifa ya kumtilia mashaka, bali wameenda ku-accuse directly.
Ila watanzania, 🙌Wakuu Kuna jamaa hapa mtaani alikua anahisiwa anafanya shuguli haramu sababu anamaisha mazuri ila kazi yake haijulikani
Sasa Kuna majirani wawili wamemripoti polisi akaja kukamatwa. Sasa akiwa huko polisi akasema yeye kazi yake ni kubeti na analipa Kodi Kwa serikali kupitia mikeka yake anayoshinda na kweli kaonyesha mikeka anakula mamilioni ya pesa ni aina ya watu wanaoweka pesa nyingi sana kwenye mechi.
Sasa kingine kaenda mahakamani anawashitaki majirani zake hao wawili Kwa kosa la kumdhalilisha na kumpotezea mda wa kufanya mambo yake ya msingi na anadai fidia million 500 na ana mawakili wake kabisa wa 3
Hivi hii kesi anaweza kushinda huyu jamaa ishu ipo serious sana
Kweli aiseeHao jamaa ni wakuda
Kazi kufatilia maisha ya watu
Ova
Sawa ngoja tuoneHawezi kushinda hiyo kesi, ni jukumu la mwananchi kutoa taarifa polisi kwa mtu asiyemuelewa, raia hawajamfungulia mashitaka bali wametoa taarifa polisi, wafanye kazi yao.
Na ukiwa busy na shughuli zako utasikia "anaringa hana muda na wanajamii wenzake" ili mradi fujo tuwabongo wanapenda kilamtu ahangaike🤣🤣🤣
ukila kilaini wanakushtaki maaamaeeee