Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
nilivyotoka chuo nikaenda kwa mzee,nikamiliki kila kitu chake,na mzee kwenye inshu za pesa huwa hana habari kabisa,yeye ilimradi kazi zinaendawabongo wanapenda kilamtu ahangaike🤣🤣🤣
ukila kilaini wanakushtaki maaamaeeee
Hii hali ya kupewa kila kitu iliwachukiza sana wanajamii utazan mali za mzee zilikuwa zao