Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shida sie wengine shule za msingi tulikua wabanaji, nakumbuka hata Literature shuleni nilikua msikilizaji tu.Mara ya kwanza na komenti hapa jamii forum bi. Faizafoxxy aliniambja kuwa sijui kuandika. Niliwaza sana kuhusu essay zangu za mfecane war na globalization ni kwamba ni nani ilikua ananiandikia.
Nakubari unyama Ni muingii ivyo tuu arare aahNakubari = Nakubali
Sauti uliyoweka ni ya kuwakomoa walioko nje Ivo uliyendani ndo unaiva vyema🤣😂🤣 kusikiliza na kucheza mziki siku hizi ni kujiumiza?
Kumradhi ni halafu sio alafualafu mambo mengine muwe mnamalizana huko sio kutujazia seva hapa
Daaa ni kweli, it's better kama sauti inayosikika haina makwazo kichwani kwako.Kuna Jirani yangu...mwanaharamu sana ...akianza kuangalia movie zake za kutafsiriwa kusema ukweli ile sauti siipendi ya yule mfasiri ...shida sio mfasiri shida ni, ile sautiii kubwa kama tunaongalia movie ni mtaa mzima
[emoji1] ilikuwaje?Niliwahi kupanga Chumba, alafu Chumba kinachofata alipanga Mlokole.... acha kabisa
unautapia mloukikubali kuolewa ni lazima ukubali kulala UCHI kila siku,dawa hapo ni kujenga nyumba yako tu,ni aibu Mwanaume mzima na pumbu zako timamu kuishi CHUMBA cha kupanga na kuja kuandinga ujinga JF,kwanza unapataje usingizi kwenye nyumba aliyojenga Mwanaume mwenzako??pambana Bro
hapana nitakua naingilia uhuru wao, hii nchi huru kaka, acha tubajuke tuUkikaa uswahilini ndio utajua jinsi watu walivyo na ujinga mwingi. Nilikua najitahidi nisikoseane na watu kumbe ndio kwanza wanakutafuta kwa kelele usiku,ili uongee tu. Dawa yao kuwapiga pini. Wafuate waambie waheshimu mipaka yao.
Tupe tofauti ya maneno hayo mawili na maana zake, tunashukuru sanakelo.. kero
unaweka l kwenye r acha ushamba