Majirani watz mna dhiki kweli, yaani hamna utani kabisa, hata na wachekeshaji

Majirani watz mna dhiki kweli, yaani hamna utani kabisa, hata na wachekeshaji

Ashakum si matusi ila nyinyi ni wapumbavu kupindukia. Mnaunga mkono huu upuuzi? Mnataka kusema ni hatia kumtakia mtu 'birthday' njema? Tena kwa kutumia ubunifu 'presentable' na wa hali ya juu kama huo? Mmerogwa?
Mimi ni mtz ila naona wenzangu ni wapumbavu kama RC na Baba yake hili unaweza gundua ni agizo toka juu maana hata minister H.Kigwangala hapo awali alijotolea kumtafutia wakili ndugu idris alipongezwa,
Ila naona amepima kina cha maji na kuhofu asije akawa kama Nnauye Nape

Ila huu ni ujinga vatoi nampango wa kuhamia nyeri nitafutieni dalali ili nionane na landlord mapema
 
Hawa ni zaidi ya North Korea, ndio maana wametajwa ndani ya mataifa kumi yenye dhiki na huzuni duniani

10 least happy countries are (with 1 being the least happy):
  1. South Sudan
  2. Central African Republic
  3. Afghanistan
  4. Tanzania
  5. Rwanda
  6. Yemen
  7. Malawi
  8. Syria
  9. Botswana
  10. Haiti
 
Kwa Daresalam asee sijaelewa kwann Magufuli anamwachia Makonda afanye atakavyo hata kinyume na sheria.
Kuhusu kumtetea ebu elewa kiswahili huyo mwanasheria amejizatiti kumtetea baada ya kukamatwa na kushutumiwa.
Asa sijui wapi haujaelewa??
Sijakuelewa, kwahivyo Dar wanatumia sheria zao wenyewe na polisi wao pia? Kama kuna mtu ambaye alikuwa anamtetea ilikuwaje akakamatwa kwa tuhuma za kipuuzi kama hizo?
 
Unajua kisa cha vifo vya Zanzibar???
Je baada ya hvyo vifo kuna vifo vilitokea tena km hvyo kwasababu km hyo??
Je,sababu ya mauaji ya Rwanda,Kenya na Tz yaliyotokea yanafanania??
Unamaanisha watu wachache wakidedi sio issue au vp!
 
Hiyo ni kwa concept yako ila ni tofauti kwa ground.
Ebu uliza raia wa Tz na Kenya wap wana huzuni kuliko ??
Wewe bhanaa!!!
Endelea na assumptions zako.
Tz hakuna kitu cha kumfanya mtu ahuzunike na kuwa na furaha ndogo km usemavyo.
 
Hiyo ni kwa concept yako ila ni tofauti kwa ground.
Ebu ulixa raia wa Tz na Kenya wap wana huzuni kuliko ??
Wewe bhanaa!!!
Endelea na assumptions zako.
Tz hakuna kitu cha kumfanya mtu ahuzunike na kuwa na furaha ndogo km usemavyo.


Duniani hakuna kitu kinathamani zaidi ya uhai wa mwanadanamu haijalishi ni mmoja au wengi.

Baba yako akichinjwa utasema sio neno sababu ni mmoja tu?
 
Hiyo ni kwa concept yako ila ni tofauti kwa ground.
Ebu ulixa raia wa Tz na Kenya wap wana huzuni kuliko ??
Wewe bhanaa!!!
Endelea na assumptions zako.
Tz hakuna kitu cha kumfanya mtu ahuzunike na kuwa na furaha ndogo km usemavyo.

Nashindwa nikujibu nini maana ni dhahiri hushughulishi ubongo wakati unaandika, yaani unabonyeza bonyeza tu na kubofya kitufe cha 'POST REPLY'
 
Haha! 😀 Kuna maswali ya kipumbavu ambayo hayana mtindo mwingine wa kuyajibu. Huyo Makonda si ni 'attack dog' wa mzee au? Huo ujeuri anautoa wapi na kwanini hakuna yeyote ambaye ana ubavu wa kumpinga anapovunja sheria? Vitengo vya usalama vipo hapo kwa matumizi yake au?
Emb taja sheria aliyovunja.
 
Emb taja sheria aliyovunja.
Kuamrisha mtu kupitia mitandao ya kijamii, tena kupitia order ambayo sio rasmi kutoka kwa viongozi wa vitengo vya usalama ni sawa kisheria? Only in Magufulistan!
 
Usipaniki buraza tulia.
Nashindwa nikujibu nini maana ni dhahiri hushughulishi ubongo wakati unaandika, yaani unabonyeza bonyeza tu na kubofya kitufe cha 'POST REPLY'
 
Lkn hatujawahi kuuana wenyewe kwa wenyewe kama Rwanda, Kenya, Burundi, Kongo, Sudani & Co., hivyo angalau hilo linasawazisha!
Haya mambo ya kijinga mkiyaendeleza mtaanza kuuana wenyewe kwa wenyewe
 
Hakuna mbadala wa maisha/uhai iwe ni mtu mmoja.... wawili au zaidi.

Akifa amekufa, hakuna mwengine kama yeye.... ukifa umekufa hakuna mwengine kama wewe

Thamani ya uhai haina mlinganyo wala magazijuto or whatever.
 
Mkuuu unajisikiliza unachoongea???
Vifo vichache vitokeavyo unafananishaje ama unapimaje na idadi ya furaha mara mia ya idadi ya hvyo vifo???
Yani kisa kafa baba wa mtu ndio milele mm na waombolezaji hatutakuwa na furaha milele??
Ushai fanya research mkuu??
Unapimaje sample ndogo kuwakilisha idadi kubwa ambayo ni mara mia ya sample yake??
Furaha nini? Akifa baba wa mwenzako measure the same like was you're father

Ukiona utakuwa na furaha then you're Wright or else upumbavu wa mjinga kufrahia mateso ya jirani when it comes onto you becomes a different case.
 
Mkuuu unajisikiliza unachoongea???
Vifo vichache vitokeavyo unafananishaje ama unapimaje na idadi ya furaha mara mia ya idadi ya hvyo vifo???
Yani kisa kafa baba wa mtu ndio milele mm na waombolezaji hatutakuwa na furaha milele??
Ushai fanya research mkuu??
Unapimaje sample ndogo kuwakilisha idadi kubwa ambayo ni mara mia ya sample yake??
Furaha nini? Akifa baba wa mwenzako measure the same like was you're father

Ukiona utakuwa na furaha then you're Wright or else upumbavu wa mjinga kufrahia mateso ya jirani when it comes onto you becomes a different case.
 
Mkuuu unajisikiliza unachoongea???
Vifo vichache vitokeavyo unafananishaje ama unapimaje na idadi ya furaha mara mia ya idadi ya hvyo vifo???
Yani kisa kafa baba wa mtu ndio milele mm na waombolezaji hatutakuwa na furaha milele??
Ushai fanya research mkuu??
Unapimaje sample ndogo kuwakilisha idadi kubwa ambayo ni mara mia ya sample yake??

Unaelewa maana halisi ya neno uhai? Kwahiyo wewe upo teyari kufa kipuuzi sababu katika 55m ya watanzania wewe ni 0% unaelewa unachokipinga?

Muuwe kagame sababu yeye ni sample space ndogo ukilinganisha na wanyarwanda wote. Then pima impact baada ya hilo tukio.
 
nadhani utakuwa na matatizo, Rais aheshimiwe kukopy mambo wanayofanya wazungu ndo kumemgharimu jamaa, kama wao wana mchezo na mambo ya kitaifa ni wao sio sisi Rais wetu narudia aheshimiwe
 
Haha! 😀 Kuna maswali ya kipumbavu ambayo hayana mtindo mwingine wa kuyajibu. Huyo Makonda si ni 'attack dog' wa mzee au? Huo ujeuri anautoa wapi na kwanini hakuna yeyote ambaye ana ubavu wa kumpinga anapovunja sheria? Vitengo vya usalama vipo hapo kwa matumizi yake au?

Nguvu za giza, wamefanyiana wasukuma, mmoja haambiwi kitu juu ya mwingine, nchi wameifanya ya kwao
 
Back
Top Bottom