Mimi ni mtz ila naona wenzangu ni wapumbavu kama RC na Baba yake hili unaweza gundua ni agizo toka juu maana hata minister H.Kigwangala hapo awali alijotolea kumtafutia wakili ndugu idris alipongezwa,Ashakum si matusi ila nyinyi ni wapumbavu kupindukia. Mnaunga mkono huu upuuzi? Mnataka kusema ni hatia kumtakia mtu 'birthday' njema? Tena kwa kutumia ubunifu 'presentable' na wa hali ya juu kama huo? Mmerogwa?
Sijakuelewa, kwahivyo Dar wanatumia sheria zao wenyewe na polisi wao pia? Kama kuna mtu ambaye alikuwa anamtetea ilikuwaje akakamatwa kwa tuhuma za kipuuzi kama hizo?
Unamaanisha watu wachache wakidedi sio issue au vp!
Badilisha Kauli, hivi waliouwawa pale mwembe chai au kule pemba sio watz
Lkn ni bora kuliko kuuwana kama Kenya au Somalia!
Hiyo ni kwa concept yako ila ni tofauti kwa ground.
Ebu ulixa raia wa Tz na Kenya wap wana huzuni kuliko ??
Wewe bhanaa!!!
Endelea na assumptions zako.
Tz hakuna kitu cha kumfanya mtu ahuzunike na kuwa na furaha ndogo km usemavyo.
Hiyo ni kwa concept yako ila ni tofauti kwa ground.
Ebu ulixa raia wa Tz na Kenya wap wana huzuni kuliko ??
Wewe bhanaa!!!
Endelea na assumptions zako.
Tz hakuna kitu cha kumfanya mtu ahuzunike na kuwa na furaha ndogo km usemavyo.
Emb taja sheria aliyovunja.Haha! 😀 Kuna maswali ya kipumbavu ambayo hayana mtindo mwingine wa kuyajibu. Huyo Makonda si ni 'attack dog' wa mzee au? Huo ujeuri anautoa wapi na kwanini hakuna yeyote ambaye ana ubavu wa kumpinga anapovunja sheria? Vitengo vya usalama vipo hapo kwa matumizi yake au?
Kuamrisha mtu kupitia mitandao ya kijamii, tena kupitia order ambayo sio rasmi kutoka kwa viongozi wa vitengo vya usalama ni sawa kisheria? Only in Magufulistan!Emb taja sheria aliyovunja.
Nashindwa nikujibu nini maana ni dhahiri hushughulishi ubongo wakati unaandika, yaani unabonyeza bonyeza tu na kubofya kitufe cha 'POST REPLY'
Haya mambo ya kijinga mkiyaendeleza mtaanza kuuana wenyewe kwa wenyeweLkn hatujawahi kuuana wenyewe kwa wenyewe kama Rwanda, Kenya, Burundi, Kongo, Sudani & Co., hivyo angalau hilo linasawazisha!
Furaha nini? Akifa baba wa mwenzako measure the same like was you're father
Ukiona utakuwa na furaha then you're Wright or else upumbavu wa mjinga kufrahia mateso ya jirani when it comes onto you becomes a different case.
Furaha nini? Akifa baba wa mwenzako measure the same like was you're father
Ukiona utakuwa na furaha then you're Wright or else upumbavu wa mjinga kufrahia mateso ya jirani when it comes onto you becomes a different case.
Mkuuu unajisikiliza unachoongea???
Vifo vichache vitokeavyo unafananishaje ama unapimaje na idadi ya furaha mara mia ya idadi ya hvyo vifo???
Yani kisa kafa baba wa mtu ndio milele mm na waombolezaji hatutakuwa na furaha milele??
Ushai fanya research mkuu??
Unapimaje sample ndogo kuwakilisha idadi kubwa ambayo ni mara mia ya sample yake??
Haha! 😀 Kuna maswali ya kipumbavu ambayo hayana mtindo mwingine wa kuyajibu. Huyo Makonda si ni 'attack dog' wa mzee au? Huo ujeuri anautoa wapi na kwanini hakuna yeyote ambaye ana ubavu wa kumpinga anapovunja sheria? Vitengo vya usalama vipo hapo kwa matumizi yake au?