Majirani watz mna dhiki kweli, yaani hamna utani kabisa, hata na wachekeshaji

Such happenings will cause disrespect to the office of presidency.

They will start by small things like this. If they don't get attention, they move ahead and make naked pictures.

Hawa watu hatari sana. Afadhali kurekebisha mapema kabla janga kubwa ifikie!
 
Hiyo ni kwa concept yako ila ni tofauti kwa ground.
Ebu ulixa raia wa Tz na Kenya wap wana huzuni kuliko ??
Wewe bhanaa!!!
Endelea na assumptions zako.
Tz hakuna kitu cha kumfanya mtu ahuzunike na kuwa na furaha ndogo km usemavyo.

1. Alipochinjwa mawazo unadhania society inafraha?

2. Alipouwawa Dr. Mvungi

3. Alipouwawa Mwangosi

4. Wangapi wamekufa kwa kuondolewa makazini bila utaratibu

5. Wangapi wanakufa kwa kukosa mahitaji muhimu ya kila siku kwa ugum huu wa maisha

6. Wangapi wanateseka hata kufa kwa kukosa ajira

7. Wangapi wanafrahia kupotea hovyohovyo watu

8. Wangapi wanafrahia mateso ya Lisu

9. Wangapi wanafrahia siasa mbovu za kuviziana, kutekana, kuibiana kura, kubambikiana kesi, kunyanyasana kupigwa na polisi, kufungwa bila sababu za msingi nk

10. Nknk

Sasa fanya research on those subtopics and present the totality of happiness Vs unhappiness

Behind those people there are followers and relatives who feels disappointed and humiliated.
 
Mauaji ya watu wanne watano ufananishe na mauaji ya watu mia mpk elfu !
Huwez kuwa sirias.

Hizi hoja zakishenzi. Watu wanne? Unamaana uhai wao sio lolote?

Be smart than this stupidity
 
Vile vile Jambo likitokea sehemu moja ya Kenya nyinyi wenyewe haswa wewe unajumuisha Wakenya wote ila likitokea Hapo kwenu unakuja huku mbio guns blazing kujitetea...mkuki kwa nguruwe mtamu kwa binadamu mchungu.
 
Wacha tuletewe habari Kama hizi kuwahusu. Tunajua vizuri hazikufurahishi kwa hivyo huwezi zipost mwenyewe.
Nipost ya kazi gani wakati zilishapostiwa kibao,
Afadhali watanzania hupost kila kitu kwenye hii forums kuliko nyie ambao huwa mnapost upuuzi tu nyuzi zisizo na kichwa wala mkia.
 
Nipost ya kazi gani wakati zilishapostiwa kibao,
Afadhali watanzania hupost kila kitu kwenye hii forums kuliko nyie ambao huwa mnapost upuuzi tu nyuzi zisizo na kichwa wala mkia.
Huwezi post kitu mbaya Cha Tz lakini Cha hapa Kenya unakimbia mbio Hadi unafanya makosa ya spelling ilimradi uwe wa Kwanza. Chuki na wivu yako kwa Wakenya Ni neema yetu kwa kuwa inatufanya tujikakamue zaidi.
 
Hakuna mbadala wa maisha/uhai iwe ni mtu mmoja.... wawili au zaidi.

Akifa amekufa, hakuna mwengine kama yeye.... ukifa umekufa hakuna mwengine kama wewe

Thamani ya uhai haina mlinganyo wala magazijuto or whatever.

Unaonekana ni mtu ambaye ni Emotional driven, (than actual facts)
 
 
Huwezi post kitu mbaya Cha Tz lakini Cha hapa Kenya unakimbia mbio Hadi unafanya makosa ya spelling ilimradi uwe wa Kwanza. Chuki na wivu yako kwa Wakenya Ni neema yetu kwa kuwa inatufanya tujikakamue zaidi.
Ningekuwa na chuki na wivu kama nyie ningekuwa kila siku nafungua nyuzi zisizo na kichwa wala mkia kama ninyi mnavyofanya humu,
Mko busy kufuatilia news za Tanzania kutokana na kukosa kazi za kufanya,
Nisipo post mimi watapost wengine,
Embu niambie ni mkenya gani mwenye uwezo wa kupost mambo ya chini ya kapeti kenya zaidi ya Mkikuyu- Akili timamu
Na ndio maana mtaendelea kutukanwa na wazungu hadi mtie akili.
 
Kama huna wivu na chuki nenda jukwaa la siasa ukakabiliane na watanzania wenzako kwenye Mashida mnayopitia humo
 
Km zipi?
Kama kuhusu njaa mbona Kenya nzima ina njaa1?
Vile vile Jambo likitokea sehemu moja ya Kenya nyinyi wenyewe haswa wewe unajumuisha Wakenya wote ila likitokea Hapo kwenu unakuja huku mbio guns blazing kujitetea...mkuki kwa nguruwe mtamu kwa binadamu mchungu.
A
 

1. Umeilewa mada?

2. Katika hizo subtopics 10 umezisoma zote?

3. Zote zinaongelea vifo?

Jifunze kusoma kwa kuelewa tena kwa ufasaha
 
We kumbe fala eeeeh??
Ni nn maana ya asilimia?
Kwann kitu hupimwa km ni asilimia kubwa au ndogo?
Hizi hoja zakishenzi. Watu wanne? Unamaana uhai wao sio lolote?

Be smart than this stupidity
 
We kumbe fala eeeeh??
Ni nn maana ya asilimia?
Kwann kitu hupimwa km ni asilimia kubwa au ndogo?

Tatizo ulijiona unaelewa upo mweupeee

Wewe unaongelea percentage mimi nazifanyia applications throughout mpaka kwenye heavy industry ya mathematics not only hapo to the extent of differential equations and Vectorial mechanics

Jipime
 
 
Kwanza unaelewa unachobishana???
Maana unaleta mifano irrelevant kabbisa.
Nahisi huelewi unachobishania ndio maana unarukaruka km popcorn hueleweki.
Kagame anaingiaje?
Rais unamfananisha na mwanasiasa wa kawaida??
Nahisi naongea na punguani ebu Kale muwa ukate bangh ulizovuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…