Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Onana mmeuziwa mkoroshoVijana wa Mwakalebela wataiomea wivu hadi hiyo tweet
Mmeamia huku saizi?Onana mmeuziwa mkorosho
Yule densa wa amapiano kacheza game ngapi mpaka muda huuOnana mmeuziwa mkorosho
Hivi Wi-Fi za kwa mkapa zinasoma mpaka nje ya uwanja ? nataka Weekend niibuke nakadownload vitu vyangu maana .Vijana wa Mwakalebela wataiomea wivu hadi hiyo tweet
Huu msumari wa moto!Onana mmeuziwa mkorosho
Hakuna WiFi mle ni janja janja tuHivi Wi-Fi za kwa mkapa zinasoma mpaka nje ya uwanja ? nataka Weekend niibuke nakadownload vitu vyangu maana .
Unamaanisha kama ambavyo vijana wa Rage wanaionea wivu medali ya CAF ConfederationsVijana wa Mwakalebela wataiomea wivu hadi hiyo tweet
Bora umewauliza, sisi tumesajili bonge la Nyanda AyubYule densa wa amapiano kacheza game ngapi mpaka muda huu
Gift Fred mliye sajili toka Uganda kacheza dkk ngapi, Skudu je? Msijifanye kuangalia ya wenzenu mkuu.Onana mmeuziwa mkorosho
Wanamuita Skudu Makhudubela!Kunjaani bafwetu?πππππYule densa wa amapiano kacheza game ngapi mpaka muda huu
AahaaaaVijana wa Mwakalebela wataiomea wivu hadi hiyo tweet
Nice..Majirani zetu Wakenya na Waganda kupitia mitandao ya kijamii wapongeza namna Tanzania ilivyoandaa sherehe za ufunguzi wa African Football League na kushauri Tanzania ipewe sherehe za ufunguzi na mechi ya fainali katika mashindano ya Afcon 2027 ambayo kwa pamoja itaandaliwa Tanzania, Kenya na Uganda.
View attachment 2787665View attachment 2787667View attachment 2787669