Mbona skudu mmeuziwa kiazi na hatusemi?Onana mmeuziwa mkorosho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona skudu mmeuziwa kiazi na hatusemi?Onana mmeuziwa mkorosho
Utiniweeeeeeena!Wanamuita Skudu Makhudubela!Kunjaani bafwetu?😂😂😂😂😂
Ajabu vyura wa jangwani wanaponda tuSafi kabisa. Mwenzio akifanya vizuri Mpongeze
Ayubu tumemuona uwanjani zambia na hapa bongoBora umewauliza, sisi tumesajili bonge la Nyanda Ayub
Toka 'kwa mkapa hatoki mtu' Hadi 'lakini tumejitahidi'Mmeamia huku saizi?
Nyie si Babalevo wenu aliwaambia tutafungwa 6 na mkamuamini, haya kiko wapi?
Haji Manara siku ya game ndio alienda kuhojiwa Clouds na kuanza kujaribu kuongelea manung'uniko yake ya kufungiwa na TFF.Simba Imetuheshimisha
Hapa hakuna cha point 3 wala 1, ni knockout. Biashara ya Simba imeishia kwa Mkapa.Huu msumari wa moto!
Kanoute kaleta uhai, kuwa wakweli, Chama, Baleke, Kibu wametuchelewesha sana!
Ule uzembe wa kocha kuua ulinzi ili kutafuta pointi 3 ilihali mlango wetu wa makuti, komeo la mti, tutakimbiana marudiano!
Boko, astaafu kwa heshima!
Nimekuelewa mkuu, sisi huku kijijini tukisema pointi 3, tunamaanisha ushindi.Hapa hakuna cha point 3 wala 1, ni knockout. Biashara ya Simba imeishia kwa Mkapa.
Yule Ni Wa Kupuuzwa Maana Uelekeo AmeshaupotezaHaji Manara siku ya game ndio alienda kuhojiwa Clouds na kuanza kujaribu kuongelea manung'uniko yake ya kufungwa na TFF.
Lengo lilikuwa ni watu wajikite kumjadili yeye badala ya mechi ya Simba. Na bado hakuwa na mvuto