Mkimuyangu
JF-Expert Member
- Oct 5, 2022
- 1,054
- 1,947
Wiki haina siku 30 , bali ina siku sabaKama alipumzika siku ya 7 siku ya 8,9,10,11,12.......alifanya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wiki haina siku 30 , bali ina siku sabaKama alipumzika siku ya 7 siku ya 8,9,10,11,12.......alifanya nini?
kwaiyo na sisi wa mnyaazi tuna siku ya 7 sabato auNaona unakoabudu wamekuchanganya, Mungu alipumzika siku ya saba, ambayo ndiyo ijumaa.Siku ya kwanza ya wiki ni jmamosi
Hao ndio wako sawa.Wana JF,
Leo Tarehe 5/7/2023 asubuhi wakati nasikiliza BBC kupitia Radio Free Afr., nimeshangaa kusikia kwamba nchi moja wapo ya majirani zetu wameamua kufundisha lugha ya KISWAHILI katika primary schools zao.
Sasa, kilichokuja kunishangaza ni kusikia mwalimu shuleni akiwafundisha watoto kwamba siku ya Jumatano ni siku gani ya week? Wanafunzi wote wakasema Jtano ni siku ya Tano ya week.
Hivi kiukweli mniambie, siku ya Juma tano -J5 tunavyoelewa hapa Tanzania ni siku gani au siku ya ngapi ya week?
Nasubiria majibu..........
Kiebrania na kiarabu siku ya kwanza ni Jumapili.Kikatiba siku ya kwanza ya juma ni Jumatatu
Kibiblia siku ya kwanza ya juma ni Jumapili
hapo vipi 👇👇👇👇👇👇👇👇👇2 Petro 3:8 “Lakini, wapenzi, msilisahau neno hili, kwamba kwa Bwana siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja.Wiki haina siku 30 , bali ina siku saba
Hiyo ni kwa Mungu,bali siyo kwa wanadamu.halafu huyo petro alikuwa binadamu kama wewe, ila tu alikuwa mwanafunzi wa Yesu.hapo vipi 👇👇👇👇👇👇👇👇👇2 Petro 3:8 “Lakini, wapenzi, msilisahau neno hili, kwamba kwa Bwana siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja.
Hizo siku 7 za wiki unazipata wapi...Hiyo ni kwa Mungu,bali siyo kwa wanadamu.halafu huyo petro alikuwa binadamu kama wewe, ila tu alikuwa mwanafunzi wa Yesu.
Sasa siku zote akili ya mwanafunzi huwa ailingani na mwalimu
Muulize baba yetu Adamu,ambaye kila kitu tumerithi kutoka kwakeHizo siku 7 za wiki unazipata wapi...
Wewe ulipomuuliza Adamu alikujibu nini....😂😂😂.Muulize baba yetu Adamu,ambaye kila kitu tumerithi kutoka kwake
Uzi tayari. Zifuatazo ni siasa tu sasa.Kikatiba siku ya kwanza ya juma ni Jumatatu
Kibiblia siku ya kwanza ya juma ni Jumapili
Neno ‘mosi’ linamaanisha ‘kwanza’ , sasa anzia hapoWana JF,
Leo Tarehe 5/7/2023 asubuhi wakati nasikiliza BBC kupitia Radio Free Afr., nimeshangaa kusikia kwamba nchi moja wapo ya majirani zetu wameamua kufundisha lugha ya KISWAHILI katika primary schools zao.
Sasa, kilichokuja kunishangaza ni kusikia mwalimu shuleni akiwafundisha watoto kwamba siku ya Jumatano ni siku gani ya week? Wanafunzi wote wakasema Jtano ni siku ya Tano ya week.
Hivi kiukweli mniambie, siku ya Juma tano -J5 tunavyoelewa hapa Tanzania ni siku gani au siku ya ngapi ya week?
Nasubiria majibu..........
Ndiyo hichi tunachokifanya kuanzia kuzaliwa,kuishi, kuoana,kufa mpaka kuzikana, ila katika utaratibu wa KiisilamuWewe ulipomuuliza Adamu alikujibu nini....😂😂😂.
Ndiyo hichi tunachokifanya kuanzia kuzaliwa,kuishi, kuoana,kufa mpaka kuzikana, ila katika utaratibu wa Kiisilamu
"Katika utaratibu"😂😂😂Ndiyo hichi tunachokifanya kuanzia kuzaliwa,kuishi, kuoana,kufa mpaka kuzikana, ila katika utaratibu wa Kiisilamu
Very Good Equitable umelipata jibu la swali.Kikatiba siku ya kwanza ya juma ni Jumatatu
Kibiblia siku ya kwanza ya juma ni Jumapili
Mku jiongeze ufurukute kutafuta maarifa. Kwani Vitabu vya Dini vinasema Yesu alifufuka Jumamosi?Neno ‘mosi’ linamaanisha ‘kwanza’ , sasa anzia hapo
Lugha ni maelewano, sio diniMku jiongeze ufurukute kutafuta maarifa. Kwani Vitabu vya Dini vinasema Yesu alifufuka Jumamosi?
Hayo ni majina tu. Ukweli uko katika Biblia maana Mungu ndie aliumba hizi siku. Soma tena Luka 24:1-3 ujue siku ya kwanza ya week ni siku gani. Fanya reference pia kwenye Dictionery uelimike mku usikae na mawazo mgando.
Kilugha ya kiswahili, siku ya kwanza ni MosiUzi tayari. Zifuatazo ni siasa tu sasa.