Majirani zetu na kufundisha kiswahili mashuleni

Yani bila kuwataja Waarabu na Uislamu ningeshangaa sana.
 
Wasabato mna shida sana, kwahiyo mliaminishwa jumamosi ndio siku ya saba?
 
Swali fikirishi sana hili, jumatano ni siku ya ngapi ya wiki?
Wengine watasema ya tano, wengine watasema ya ya tatu na wengine watasema ni ya nne… Ni virugu tupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…