Majizzo Ndani ya Clouds360 on Clouds Tv February 20

Majizzo Ndani ya Clouds360 on Clouds Tv February 20

Kuna mada nyingi sana zimeanzishwa kuhusiana na kuugua kwa Ruge
Wapo wanaompa pole
Wapo wanaomshangaa kwa nini ameshindwa kujiuuguza
Wapo wanaomhukumu kwa style ya maisha yake kabla kuugua
Wapo wanaomtakia kifo cha haraka
Wapo wanaomcheka na kumdhihaki
***Ruge naomba nikupe pole sana na kuugua. Mungu ni muweza ya yote. Mtegemee Mungu

Wanadamu tuwe na huruma
Kila mwanadamu ana mapungufu
Huyu ni mtoto wa mtu ana ndugu ni mzazi sidhani kama tunawatendea haki
Tuwe na UTU
Kama hujaguswa kuchangia ni busara kusema tutakuombea kwa imani zetu
Leo kwake kesho kwako
Hakuna aijuaye kesho

Pole sana ndugu yetu
Keep on fighting there are miracles
Mungu akusimamie katika hili!
 
Kumchangia mtu wakati wa matatizo ni utu hauhitaji mtu awe tajiri au masikin na kwa maisha haya mbunge ni tajiri kuliko hata ruge lakin wengi wakiumwa kupelekwa nje serikali inawasaidia na hapo mwisho wa mwezi anapokea 12m na baada ya 5 years anachukua 300m+ lakini Lissu waliomba michango hata Chadema kipindi cha JK walishaombaga michango licha ya kupewa ruzuku so huyo anaemfananisha Lissu na Ruge nafikiri hajatumia uwezo wake kufikir na sidhani kama Ruge mwisho wa mwezi mapato yake yote yanafika 12m pamoja na kuwa ni boss na boss ni jina tu usikute hata Kibonde au Kipanya anamzidi ruge kwa kipato sema kutokana yeye ndio master mind wa kampuni inabidi amheshimu tu
 
FiestaTigo
Clouds TV na Clouds FM
MillardiAyo Website
MillardiAyo YouTube ndo ya pili kwa subscribers Tanzania
Matangazo kwenye TV yake clouds
Kuna Wasanii wanamwingizia pesa anaowasimamia n.k
atakosa pesa za matibabu kweli?
 
FiestaTigo
Clouds TV na Clouds FM
MillardiAyo Website
MillardiAyo YouTube ndo ya pili kwa subscribers Tanzania
Matangazo kwenye TV yake clouds
Kuna Wasanii wanamwingizia pesa anaowasimamia n.k
atakosa pesa za matibabu kweli?
Ndo ikafika mil 600 zikaisha.

"Thank you God"
 
Huyo hakupaswa hata kuchangiwa kabsa, alishawazurum wasanii kibao Sana kujinufaisha Yeye tu Mpk kawa tajiri kwa kuwanyonya wasanii, akina Ngwear, jide na wengne kibao, toka ameugua msanii gani umeona anahamasisha kumchangia au hata kuonesha kuguswa hasa wasanii wa Zamani kuwanyonya Sana....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wakiwa wazima wa afya wanajifanya wanambwembwe na kujisifu kuwa wana mshiko, wakiugua wanajifanya kujishusha na kutuomba michango walala hoi. wasanii wa bongo vituko kama wa US tu,,,, GOFUNDME

Ungekuwa ndio wewe mgonjwa , ungekuwa ushazikwa kitambo . Wenzako mpaka sasa wametumia zaidi ya milion 500 ili ndugu yao apone.
 
ruge ana mali kibao.. na baba yake ni proffessa.. kwao wana pesa na yeye ana mali kibao.. nashangaa why watu wanachangishwa.. ile escape one beach ni ya ruge , ile tatu mzuka inayotoa mazawadi kila wiki mahela ni ya ruge.. ile THT wasanii ni ya ruge..

Gari anazotembelea ruge sio used za kijapan.. ufupi maisha yake ni ya kitajiri.. nashangaa why asiuze asset zake?
Escape one sio ya Ruge.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo ana UKIMWI uliosababishwa na HIV. Ni kawaida sana ukitumia ARV kwa muda mrefu huwa zinasababisha kugaribika kwa organs. Ndo maana figo zimefeli. Pia inawezekana pamoja na kutumia ARV bado alikuwa anafanya ngono zisizo salama na wanawake tofauti tofauti,hivyo alikuwa anapata re infections.

aisee...
 
Wanunuzi wapo! Mwambieni aweke sokoni Ghorofa km analo! Juzi tu hapa CCM wameinunua channel 10!
Mkuu...ishu iko hivi, mpaka sasa zaidi ya milioni 500 zimetumika ukiondoa misaada!

Je kama ni zake lkn clouds wakajifanya wamemlipia?

Na unakuta hana tena cash zaidi ya assets, na assets umuuzie Nani fastafasta akupe 1b ili ujitibie? Tuwe wakweli



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda kidogo na kwenye vitaasisi tunapiga Kazi Mana staff watashiriki mazishi
Kwa haraka haraka .. nilivyoona mimi anaye dhalilika hapa ni yule ambaye tulikuwa tunaaminishwa kuwa ana mihela kumbe ni alfu lela ulela tu

Sisi masikini hata tukidhalilika story zetu zitaashia mtaani huko sana sana zikizidi sana ni mtaa wa 3 na wa pili

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom