Major Claude NDIKUMANA wa jeshi la Burundi, akamatwa akiwa mzima na M23 huko Kivu kusini

Major Claude NDIKUMANA wa jeshi la Burundi, akamatwa akiwa mzima na M23 huko Kivu kusini

Kunachangaomoto sana na elimu ya siku hizi, tena hafamu then anauliza kwa kejeli huku akiweka emoji za kicheko!!
Thats why wanaambiwa na ccm baada ya digrii zao waende veta.
Cc Iyerdoy na wenzako.
Mkuu, Sio kweli - Sijapotea mnzehe bado nipo. Unadhani hayo mazingira ya Congo ni ww peke yako unayeyajua? au Hakuna wanajeshi/wapiganaji wengine huko Congo (ukiacha huyo Mrundi) wanaopigwa picha? Kumbuka kwa sasa Dunia ni kama kijiji hakuna kilichojificha. Uwekaji wa emoji ya kicheko inaweza kumaanisha mtu ameifurahia komenti yako.
 
Back
Top Bottom