Major Claude NDIKUMANA wa jeshi la Burundi, akamatwa akiwa mzima na M23 huko Kivu kusini

Major Claude NDIKUMANA wa jeshi la Burundi, akamatwa akiwa mzima na M23 huko Kivu kusini

M23 naomba muingie tanzania tupate matokeo ya darby kuhusu jeshi letu kila siku likiambiwa ndio jeshi namba moja duniani.
Wengine matomaso maana wanavyo pasua matofari siku za maadhimisho ya jeshi na kubeba mizigo mikubwa utazani wapo store ya kubebea magunia
Mmaaa!!!! We bwana wewe daah hahaha
 
Kazaliwa miaka ya 90,akajiunga RPF kisha akarudi 'kwao' congo,rpf wamepigana 1994 na kuchukua nchi,alijiunga akiwa na umri gani?
Una uhakika na unachokiongea? Kwa hiyo 1990, hiyo General ameitoa wapi?
Au unataka kufananisha vyeo vyake na wale washikaji wa miaka 24 wanaovaa Captain huko kanda ya ziwa!?
Rudi kafanye utafiti kwanza.
Ila tu kwa kukusaidia kuhusu umri wake, kazaliwa 1973
 
hii story yako imepikwa na mtutsi , Makenga kama mkongo alienda kishiriki uvamiz wa Rwanda na kumuua rais halali wa Rwanda Habyamara na Kagame anendeleza harakati zao zilizoanzia Uganda mwaka 1986 kisha Rwanda 1994 Kisha Burundi waliferi na leo wanapambania kulipata taifa kubwa la DRC , ukiangalia Waliopigana UGANA kama NRF ndo hao hao waliopigana Rwanda kama RPF na leo wanapigana huko DRC kama M23
HAWA WATUTSI NI WAUAJI NA WABINAFSI SANA , KESHO WATAKUJA TZ WAKIWA NA JINA LINGINE
Uoga wa kichoko huo, hakuna mtu atakayevamia Tanzania. Hizo ni longolongo za matapeli wa ki-Congo ili tuwapiganie vita vyao ambapo wao wenyewe hawataki kupigana, wao wawe busy kukata viuno vya mayenu kwenye vilabu vya pombe sisi tukapigane kwa niaba yao. Wakatafute mazoba wengine wa kuwatapeli wawapiganie.
 
Una uhakika na unachokiongea? Kwa hiyo 1990, hiyo General ameitoa wapi?
Au unataka kufananisha vyeo vyake na wale washikaji wa miaka 24 wanaovaa Captain huko kanda ya ziwa!?
Rudi kafanye utafiti kwanza.
Ila tu kwa kukusaidia kuhusu umri wake, kazaliwa 1973
Ulisema kazaliwa miaka ya 90
 
Naona mguu umefungwa tu kitambaa cheusi may be a Fix?. Sioni damu kwenye combat au afande hatokagi damu?, halafu mwamba kala pozi kivulini na kwa mbaaali naona nyumba za wanakijiji(Sio mji).
Nobody knows alipigwa hiyo picha wakati gani, kama ni immediately baada ya kupigwa risasi au a day after au some days after so we can't judge. Of course vita hupiganwa si kwa risasi peke yake bali pia propaganda hutumika(and mind you this propaganda issue is universal) hivyo it's hard to know what exactly transpired but as the saying goes the winner is the one who writes the history, so as for now we gotta dance the tune of the winner's explanations kwani hatuwezi kujitungia yetu kichwani.
 
Inawezekana; lakini jamaa (huyo afande)anaonekana mtanashati, uso unang'aa na wakamataji wake(Wapiganaji) hawaonekani japo jirani kumlinda asitoroke. Yan ni kama mtu yupo kwenye Interview au mahojiano fulani hivi. Hana wasiwasi kabisa.
mkuu uwe japo na akili za kujiongeza..picha kama hiyo inawekwa kwa ajili ya utambuzi tu kuonesha umma kwamba aliyefikwa na balaa ni huyu..mfano hata mtu kapotea,kapata ajali mbaya au hata kuuwawa.je,ww ushawahi ona anatolewa taarifa akiwa nyang'anyang'a..si inatafutwa picha yake nzuri kwenye album kwa ajili ya umma kuona muhusika wa tukio tajwa..basi ndio huyo kamanda hapo hiyo picha ni kutoka kwenye gallery yake na si ya eneo la tukio..penda kushughulisha akili yako we jamaa utajifunza vingi.!
 
mkuu uwe japo na akili za kujiongeza..picha kama hiyo inawekwa kwa ajili ya utambuzi tu kuonesha umma kwamba aliyefikwa na balaa ni huyu..mfano hata mtu kapotea,kapata ajali mbaya au hata kuuwawa.je,ww ushawahi ona anatolewa taarifa akiwa nyang'anyang'a..si inatafutwa picha yake nzuri kwenye album kwa ajili ya umma kuona muhusika wa tukio tajwa..basi ndio huyo kamanda hapo hiyo picha ni kutoka kwenye gallery yake na si ya eneo la tukio..penda kushughulisha akili yako we jamaa utajifunza vingi.!
Mmmh! Ya kweli hayo mjomba???Unanionea tu bure. Mbona tuliona ile ya huyu mwamba Yahaya Sin War?
Inakuwaje ya kwako ni mpaka ukapekenyue kwenye Gallery?
 

Attachments

View attachment 3267817
Baada ya kupigwa risasi mguuni na kushindwa kutembea, wapiganaji na walinzi wake waliamua kuokoa maisha yao huku wakimuacha nyuma, na kukamatwa na wapiganaji wa kundi la M23. Ni katika majibizano ya risasi huko Kivu kusini, eneo la Kaziba.

Mpaka sasa,anaendelea na matibabu akiwa mikononi mwa M23.
Huyo Mjeda mbona anafanana sana na Fei Toto?
 
Kuna kosa gani?!
Uvaaji wa gunboots ni kwasababu za kimazingira eneo alilopo nilatope unataka avae boots za kawaida?!
Ukitaka kumjibu kila mtu humu utaumia mzee kuna mmoja nilishawahi kumuuliz unayajua mazingira ya Congo? Nikamuuliza unajua Congo Gumboots na boots ipi ni favourable sana kulingama na mazingira ya huko akapotea humu
 
Ukitaka kumjibu kila mtu humu utaumia mzee kuna mmoja nilishawahi kumuuliz unayajua mazingira ya Congo? Nikamuuliza unajua Congo Gumboots na boots ipi ni favourable sana kulingama na mazingira ya huko akapotea humu
Kunachangaomoto sana na elimu ya siku hizi, tena hafamu then anauliza kwa kejeli huku akiweka emoji za kicheko!!
Thats why wanaambiwa na ccm baada ya digrii zao waende veta.
Cc Iyerdoy na wenzako.
 
Back
Top Bottom