Mateso chakubanga
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 587
- 800
Mmaaa!!!! We bwana wewe daah hahahaM23 naomba muingie tanzania tupate matokeo ya darby kuhusu jeshi letu kila siku likiambiwa ndio jeshi namba moja duniani.
Wengine matomaso maana wanavyo pasua matofari siku za maadhimisho ya jeshi na kubeba mizigo mikubwa utazani wapo store ya kubebea magunia