Major Claude NDIKUMANA wa jeshi la Burundi, akamatwa akiwa mzima na M23 huko Kivu kusini

Major Claude NDIKUMANA wa jeshi la Burundi, akamatwa akiwa mzima na M23 huko Kivu kusini

Nataka kumjua zaidi Mswahili Sultani Makenga
Kwa ufupi tu ni raia wa Congo.
Alizaliwa huko Rutshuru, Kivu Kasikazini.
Miaka ya 1990, alijiunga na jeshi la chama cha RPF cha Rwanda, kipindi hicho wapo maporini kwa maandalizi ya kuikomboa Rwanda.
Badae aliamua kurudi kwao, na ndo kaamua aanzishe M23.(hiyo ni historia fupi)

Chanzo cha haya yote ni baada yaserikali ya zamani ya Rwanda kuzidiwa nguvu,ikiwa na msaada wa wafaransa, ambao walikuwa pete na kidole na Zaire, ambayo ndo DRC ya leo. Huko walikofika, waliendeleza mauaji ya watutsi kambini.
Lakini pia,kwa sababu Zaire ilikuwa na watutsi, na wauaji,ambao ndi FDLR ya leo, mazoezi ya kijeshi(walikuwa nakiingiza wanajeshi wapya) yalikuwa yakifanyika nje ya kambi. Hivyo, sehemu ya kupata huduma, ikawa ni uraiani.
Huko, kulikuwa na watutsi. Ndipo vitendo vya kuwaua na kubaka wanawake vikaanza.

Kuona hivyo, akaona hakuna haja ya kukaa kimya.
 
Haiwezekani.

Na ikitokea imewezekana,

Maji na mafuta vitakuwa tayari vimeshakaa kila kimoja mahara pake.
Toka jana, ofisi ya raisi wa Angola, mpatanishi katika maswala ya mzozo wa DRC, ilitangaza kuwa rais wa DRC sasa yupo tayari kuzungumza na M23.
Ili jambo hilo lifanyike, ni kwamba plans zote za nje zinatakiwa zisitishwe, wanajeshi hao wa nchi mbali mbali, kwanza watoke( Hapa nisiende mbali, kama yeye sasa ndo anaomba mazungumzo na M23, subiri tuone orodha ya matakwa ya M23 ili ikae nae).

Kingine, kuwa rais hakumpi mamlaka ya kuuza nchi. Nchi haongozi raisi peke yake, ana kamati zake za ushauli. Hivyo wote hao hawawezi kuridhia kitu kama hicho, huku wanajua anaenufaika ni nani.
🙏
 
Duuh kachoka hadi huruma rais wao Mungu anamuona
Wala. Rais kasaini dili la mamilioni, akawapeleka watu bila hata advance,wamefeli,mshikaji hakuna cha ilienda ikarudi,unataka wafanyeje sasa! Aliambiwa basi arudishe tu Kivu kusini,ndo haya yanayomkuta. Iwe huyu,iwe boss wake,wote desperate. Sasa ameshakubali kukaa meza na gaidi wake. Hawa wamepoteza maisha wangapi? Familia zao zitaishije! Hawawezi kuwa hawana hata hela ya sukari na mafuta, wapate za rambi rambi familia zote.

Haiishi mpaka iishe.
 
Wala. Rais kasaini dili la mamilioni, akawapeleka watu bila hata advance,wamefeli,mshikaji hakuna cha ilienda ikarudi,unataka wafanyeje sasa! Aliambiwa basi arudishe tu Kivu kusini,ndo haya yanayomkuta. Iwe huyu,iwe boss wake,wote desperate. Sasa ameshakubali kukaa meza na gaidi wake. Hawa wamepoteza maisha wangapi? Familia zao zitaishije! Hawawezi kuwa hawana hata hela ya sukari na mafuta, wapate za rambi rambi familia zote.

Haiishi mpaka iishe.
Siasa ni mchezo mchafu viongozi wanawachukulia wananchi kama vikalagosi. Wakirudi kwao bora wapindue meza kama wana uwezo vinginevyo watakufa kwa depression 😢
 
Jeshi la Burundi ni masikini sana na hawataweza kupigana Vita vya miezi miwili mfululizo watatembea peku.
 
Burundi wameaibisha sana. Major; Major wa Jeshi!!! Major gani wa jeshi la nchi anavaa gum-boots zinazouzwa na machinga ilhali yupo uwanja wa mapambano? :AYOOO: Halafu inaelekea haikuwa ni uwanja wa mapambano. Mbona gumboots alizovaa ni safi kiasi hicho au mapigano yalikuwa ni kwenye barabara ya lami?? Major wa mchongo huyo. Mbona mabegani hakuna viashiria vya cheo chake?
Hauna uelewa wa mambo ya field ndo maana umeuliza maswali ya kijinga
 
Burundi wameaibisha sana. Major; Major wa Jeshi!!! Major gani wa jeshi la nchi anavaa gum-boots zinazouzwa na machinga ilhali yupo uwanja wa mapambano? :AYOOO: Halafu inaelekea haikuwa ni uwanja wa mapambano. Mbona gumboots alizovaa ni safi kiasi hicho au mapigano yalikuwa ni kwenye barabara ya lami?? Major wa mchongo huyo. Mbona mabegani hakuna viashiria vya cheo chake?
kwann unaamin kuwa ni major , je kama M23 wanatumia hiyo fursa kuichafua Burundi ?
 
Mkuu, M23 unayoambiwa ni waasi, ni tofauti na uijuayo.

-Nimesema hapo juu, lazima iwazibe watu midomo. Ikikamata na kuua, kuna uwezekano wa kutumiwa wanaoizidi uwezo. Hivyo lazima ihakikishe watu wanaiamini. Ukilinganisha na miaka au siku za nyuma, sasa hivi utasikia wasitishe mapigano, hakuna aliyewahi kuomba waachie maeneo waliyokwisha twaa.

Hivyo sasa, hawa wakikamatwa, usafiri upo wa uhakika, ni Bukavu mjini(kwa Kivu kusini), au Goma, huko Kivu kaskazini. Huduma za afya huko zinaendelea, na hospitali za jeshi kwenye kambi zinatoa huduma kama kawaida.
m23 ni wavamiz , hiz wanafanya kuwapumbaza akili , maana wanajuwa bila propaganda hawatoboi , propaganda zinawagawa maadui wengine wakisema m23 ni wema na wengine wakisema m23 ni wabaya

nipo kwenye page kadhaa za wakongo , wanasema kuna mauaji kwa wabantu huko Bukavu , wanakuja usiku m23 wanaua nyumba nzima na zipo hadi picha zinatumwa .

HAWA M23 NYUMA YAO KUNA MABEBERU NA NDIO MAANA WAKIRUDIASHWA NYUMA HUTOONA HABARI ILA WAKISONGA UNALETEWA HABARI CHAPU NA BBC , CNN NA MEDIA ZOTE DUNIANI
 
hii story yako imepikwa na mtutsi , Makenga kama mkongo alienda kishiriki uvamiz wa Rwanda na kumuua rais halali wa Rwanda Habyamara na Kagame anendeleza harakati zao zilizoanzia Uganda mwaka 1986 kisha Rwanda 1994 Kisha Burundi waliferi na leo wanapambania kulipata taifa kubwa la DRC , ukiangalia Waliopigana UGANA kama NRF ndo hao hao waliopigana Rwanda kama RPF na leo wanapigana huko DRC kama M23
HAWA WATUTSI NI WAUAJI NA WABINAFSI SANA , KESHO WATAKUJA TZ WAKIWA NA JINA LINGINE
Kwa ufupi tu ni raia wa Congo.
Alizaliwa huko Rutshuru, Kivu Kasikazini.
Miaka ya 1990, alijiunga na jeshi la chama cha RPF cha Rwanda, kipindi hicho wapo maporini kwa maandalizi ya kuikomboa Rwanda.
Badae aliamua kurudi kwao, na ndo kaamua aanzishe M23.(hiyo ni historia fupi)

Chanzo cha haya yote ni baada yaserikali ya zamani ya Rwanda kuzidiwa nguvu,ikiwa na msaada wa wafaransa, ambao walikuwa pete na kidole na Zaire, ambayo ndo DRC ya leo. Huko walikofika, waliendeleza mauaji ya watutsi kambini.
Lakini pia,kwa sababu Zaire ilikuwa na watutsi, na wauaji,ambao ndi FDLR ya leo, mazoezi ya kijeshi(walikuwa nakiingiza wanajeshi wapya) yalikuwa yakifanyika nje ya kambi. Hivyo, sehemu ya kupata huduma, ikawa ni uraiani.
Huko, kulikuwa na watutsi. Ndipo vitendo vya kuwaua na kubaka wanawake vikaanza.

Kuona hivyo, akaona hakuna haja ya kukaa kimya.
 
hii story yako imepikwa na mtutsi , Makenga kama mkongo alienda kishiriki uvamiz wa Rwanda na kumuua rais halali wa Rwanda Habyamara na Kagame anendeleza harakati zao zilizoanzia Uganda mwaka 1986 kisha Rwanda 1994 Kisha Burundi waliferi na leo wanapambania kulipata taifa kubwa la DRC , ukiangalia Waliopigana UGANA kama NRF ndo hao hao waliopigana Rwanda kama RPF na leo wanapigana huko DRC kama M23
HAWA WATUTSI NI WAUAJI NA WABINAFSI SANA , KESHO WATAKUJA TZ WAKIWA NA JINA LINGINE
Uzuri mmeshajua watakuja, basi jiandaeni.

Kwa hiyo,unataka kutuaminisha kuwa hakuna watanzania wanaopigana upande wa M23? Nijibu hili kwanza.
Kama jibu unalo basi, kipindi RPF ni waasi, walipokea kila raia.

Na M23, ina huo uhuru wa kupokea kila raia.
 
View attachment 3267817
Baada ya kupigwa risasi mguuni na kushindwa kutembea, wapiganaji na walinzi wake waliamua kuokoa maisha yao huku wakimuacha nyuma, na kukamatwa na wapiganaji wa kundi la M23. Ni katika majibizano ya risasi huko Kivu kusini, eneo la Kaziba.

Mpaka sasa,anaendelea na matibabu akiwa mikononi mwa M23.
Unakuta walinzi wako ni kama huyu!!!🤣🤣
 
View attachment 3267817
Baada ya kupigwa risasi mguuni na kushindwa kutembea, wapiganaji na walinzi wake waliamua kuokoa maisha yao huku wakimuacha nyuma, na kukamatwa na wapiganaji wa kundi la M23. Ni katika majibizano ya risasi huko Kivu kusini, eneo la Kaziba.

Mpaka sasa,anaendelea na matibabu akiwa mikononi mwa M23.
Kimeumana
 
kwann unaamin kuwa ni major , je kama M23 wanatumia hiyo fursa kuichafua Burundi ?
Sijaamini kuwa ni major. Ndo msingi wa hoja na maswali yangu.
Kama M23 wanaitumia hiyo kama fursa kuichafua Burundi; Burundi watajitetea wenyewe labda kwa kukanusha dai la Taarifa hiyo kwamba ni Fake news au kumkataa sio mtu wao au watakavyoona inafaa.
 
Inawezekana; lakini jamaa (huyo afande)anaonekana mtanashati, uso unang'aa na wakamataji wake(Wapiganaji) hawaonekani japo jirani kumlinda asitoroke. Yan ni kama mtu yupo kwenye Interview au mahojiano fulani hivi. Hana wasiwasi kabisa.
Angalia mguu wake wa kulia unaodaiwa kupigwa risasi, atawezaje kukimbia?
 
Back
Top Bottom