Major General Mbuge Kuwa RC kutoka Mkuu wa JKT Kapanda Cheo au kashuka?

mkuu kufanya hivyo ni kuonyesha heshima na utii kwa mamlaka tu wala si kingine.

tukianza kupima kipi ni kipi tutajikuta tunajadili ni jinsi gani haifai cdf kupiga salute kwa rais.
 
Mabeyo alizingua
Jenerali Mabeyo hakuzingua.
RAIA anayepigiwa saluti na Askari Jeshi, ni ama AKIFARIKI, au akiwa Mteule wa Rais mwenye Cheo cha Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri, Waziri Mkuu na Makamu wa Rais.
Pia Wakuu wa Mihimili, kwa maana ya Spika na Naibu Spika.
Upande wa Mhimili wa Mahakama, kuanzia Hakimu mpaka Jaji Mkuu wanapigiwa saluti.
 
Habari wanabodi? naomba kupata uelewa kidogo, kwa nafasi kama ya Major General Mbuge kutoka kuwa Mkuu wa JKT na kwenda kuwa RC je hapo kapanda cheo ama kashuka? naomba uelewa wa kina juu ya hili tafadhali.

Hongera kwake kwa uteuzi!!
Amepanda cheo.
Kiitifaki, Mkuu wa Mkoa yuko ngazi moja na Waziri.
Kwa mantiki hii, Maj. Gen. Mbuge amepanda Cheo
 
Habari wanabodi? naomba kupata uelewa kidogo, kwa nafasi kama ya Major General Mbuge kutoka kuwa Mkuu wa JKT na kwenda kuwa RC je hapo kapanda cheo ama kashuka? naomba uelewa wa kina juu ya hili tafadhali.

Hongera kwake kwa uteuzi!!
Ni demotion full stop. JKT imeanzishwa na sheria ya Bunge ya mwaka 1964 hivyo ni anawajibika nchi nzima. Pili ni Maj. Gen. Katika candidates wa kumrithi CDF alikuwa ni mmojawapo na alikuwa analisubiri hilo ambalo limeyeyuka. Wakuu wa kamandi husika ndiyo warithi halisi kuliko mtu ambaye eti amejenga ukuta wa Mererani. Taratibu na tamaduni za TPDF zifuatwe!
 
Kinachonishangaza kila mchangiaji kwenye hii mada anamjadili Charles Mbuge kama Major General wakati ukweli ni kwamba cheo chake alichonacho hadi dakika hii ni Brigadier General na wala siyo Major General.
Pole Sana
 
Ningekuwa Mimi Ningefanya Kama alivyofanya Maswanya aliekataa Uteuzi Wa DC, Kutoka Kuwa Mkuu Wa JKT Nchi Nzima Kuwa Rc.... Hapana [emoji36][emoji36]
Jeshini hakuna hapana afande utatimuliwa kwa fedheha yeye ni mwanajeshi sio Raia amekuwa seconded kwenda kuwa RC hapaswi kujadili ni kutiii
 
Nidokeze PM mzee mtabila napajua nimeishi mule hata CO wa pale namjua labda Kama kabadilishwa

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Unaleta utani yaani major awe mkuu wa JKT kamandi kubwa Kama Ile [emoji849]

Jkt Kuna ma kanali kibao na mabrigedia na ma major general kibao tu

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Au Diwani alipotoka DCI hadi Ras Kagera, halafu huu Mkoa ndio mara kwa mara unatumika kwa kazi hiyo sijui kwanini
Ule mkoa unahitaji mwanajeshi au mwanausalama

Tumepakana na nchi zenye serikali tatu zilizokuwa vikundi vya waasi so lazima tuwe alerted every Time

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Kama Mbuge kawa mkuu wa mkoa na mkuu wa mkoa ni mteule wa Rais ,swali je atapigiwa saluti na CDF?
Naomba majibu
Itategenea watakapokutana .

Wakikutana mbuge kavaa kiraia mabeyo vazi rasmi la jeshi mabeyo atapiga saluti

Wakikutana wote wamevaa sare za jeshi mbuge lazima apige saluti

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Kinachonishangaza kila mchangiaji kwenye hii mada anamjadili Charles Mbuge kama Major General wakati ukweli ni kwamba cheo chake alichonacho hadi dakika hii ni Brigadier General na wala siyo Major General.
Wewe ndio hujui mbuge Ni major janerali kapandishwa mwaka jana hapo dodoma na mabeyo ndio aliemvisha vyeo ofisi za jeshi dodoma .

Ubrigedia alipewa miwili au mitatu nyuma hadharani Tena kwenye mkutano na gari yake ikawekwa nyota

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu tuwekee ushahidi kuwa alipendekezwa na MABEYO.
 
Toa na idadi ya JWTZ, TISS, POLICE na majeshi mengine afu uisome upya comment yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…