Major General Mbuge Kuwa RC kutoka Mkuu wa JKT Kapanda Cheo au kashuka?

Major General Mbuge Kuwa RC kutoka Mkuu wa JKT Kapanda Cheo au kashuka?

Achana na hio picha ya zamani...jamaa kaondolewa nyota moja kwaio sio major general tena ...ameshuka na kuwa brigadier general
Ni lini raisi alimvua hio nyota

Kama ikulu wanasema ni major general unataka kusema ikulu wanadanganya?

Na Kama mama Samia angemvua taarifa tungezipata na press ya ikulu isingemtambua Kama major general
 
Nani anakumbuka upandaji wa vyeo kwa huyu Major General Charles Mbuge!!....Paul Makonda analijua sana hili jambo

Huyu jamaa alizingua sana akiwa Mkuu wa JKT alikuwa anawachukia sana Makamanda waliokwenda shule na alipenda sana kuwaweka vibaraka wake kwenye nafasi mbalimbali JKT, professionalism kwa huyu Kamanda ilikuwa zeero kabisa!!

Kuna jamaa alimchukia sana kisa hakuenda kumpongeza alivyopandishwa cheo na mwendazake. Akaamua kumtupa Kigoma and then wakati wenzake wanapandishwa vyeo mwezi wa 2 kuwa Ma-Major jjna la huyo jamaa akalinyofoa makusudi tu kwa sababu ya chuki zake binafsi . Kwahiyo wenzake wamekuwa Ma-Major yeye bado ni Captain. Huyu jamaa yuko kambi ya Mtabila Kigoma na ni Msomi mzuri tu.

Acha karma imle!!!
Uongo mwingine uache,, dodoma na merelani ndo project zilizompa vyeo mbuge, na kama hujui the guy is brilliant engineer the army have, alitoka kuwa mkuu wa jkt ruvu, akaenda kusimamia ukuta merelani akanda cheo,, akapewa project ya dodoma akapanda vyeo,,for tangu operation merelani amekuwa akijihusisha zaid na ujenzi na sio uongozi,
Na kwa taarifa yako sio yeye anayehusika na kupandisha vyeo, acha kuongea upuuzi wako
Alikuwa mkuu wa JKT kwa kupendekezwa na mabeyo and no one else,,
Akiwa jkt kazi yake ni kusimamia kambi zote za jkt na ufanisi wake,, amefanya kazi bomba sana tangu akiwa msimamiz wa mafunzo ya jkt
Cjui unaongea bang gani
 
Habari wanabodi? naomba kupata uelewa kidogo, kwa nafasi kama ya Major General Mbuge kutoka kuwa Mkuu wa JKT na kwenda kuwa RC je hapo kapanda cheo ama kashuka? naomba uelewa wa kina juu ya hili tafadhali.

Hongera kwake kwa uteuzi!!
Fafanua mkuu wa jkt unamainisha nn?jkt tanzania au kambi ya jkt?
 
Huyu ndio alihujumu ajira za vijana 800 wa JKt na kuwaita waasi, acha karma imtafune akapambane na majangiri mipakani huko.
Mbuge nadhani anaenda songea Kama ndivyo huko hakuna majangiri Bali kuna kundi IS liko pale msumbiji akapambane nalo.
 
Duuh, yaani CDF ana salute kwa DC? nlkua sijui hii, kwahyo unataka kusema CDF General Mabeyo sasa ata-salute kwa RC Major General Mbuge? mmh
Ndo maanake hiyo ni political posts tu haina maana yoyote kwa mfumo wa kijeshi.
 
Cheo cha Mkuu wa JKT ni nafasi ya kiuongozi wa kitafa na huwa moja tu wakati Mkuu wa Mkoa ni cheo cha watu zaidi ya mmoja katika taifa. Kwa mtazamo huu naweza kusema huyu mwamba ameporomoka cheo.
Definitely
 
Duuh, yaani CDF ana salute kwa DC? nlkua sijui hii, kwahyo unataka kusema CDF General Mabeyo sasa ata-salute kwa RC Major General Mbuge? mmh
kuna walakini mkubwa katika suala la kuwapigia salute wana siasa,huwa wanapenda sana kwa sababu za kujikweza lakini huwa hakuna uhalisia,hebu chukulia mkuu wa majashi ni nani halafu tulinganishe

MKUU WA MAJESHI:- CDF

Majukumu ya Msingi ya JWTZ


• Kulinda Katiba na Uhuru wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

• Ulinzi wa Mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

• Kufanya Mafunzo na Mazoezi ili kujiweka tayari Kivita wakati wote.

• Kufundisha umma shughuli za Ulinzi wa Taifa.

• Kushirikiana na Mamlaka za Kiraia katika kutoa misaada ya kibinadamu na uokoaji wakati wa maafa.

• Kukuza elimu ya kujitegemea na uzalishaji kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).

• Kushiriki katika shughuli za Ulinzi wa Amani Kimataifa.
Dhima ya JWTZ

Kulinda nchi na kutetea maslahi ya Taifa la Tanzania, kutoa msaada kwa Mamlaka za kiraia na kuwezesha kufikiwa kwa malengo ya Kitaifa na Kimataifa.

The TPDF is a unified force consisting of the Army or infantry brigades, Air Force, Navy, and National Service. The army does not operate in its command, but consists of infantry brigades directly under the command of the Chief of Defense Forces (CDF).

Higher Defense Organization

The Commander in Chief (C in C)


The Constitution of the United Republic of Tanzania, empowers the President of the United Republic of Tanzania to be the Commander of the Armed Forces. As the Commander in Chief he is empowered to declare war and commit the Defense Forces or part of it to active operations in or outside Tanzania.

The National Defense and Security Council (NDSC)

The NDSC is the highest decision-making authority in defense and security matters. It formulates defense and security strategies to meet the objectives of national defense. It comprises the President of the United Republic, the President of the Revolutionary Government of Zanzibar, ministers responsible for defense and security, and the chiefs of the defense and security organs.

The Ministry of Defense

The Tanzanian Ministry of Defense is designed to support Tanzania’s foreign policy and security policy objectives. It guides the contributions of the Defense Forces to meet defense and security goals, and shapes their structure and capabilities. The Ministry of Defense has the responsibility to ensure consistency in training and maintaining the Armed Forces in accordance with the defense doctrine.

The Defense Forces Committee (DFC)

According to the National Defense Act of 1966, the DFC is a committee at the Ministry of Defense level responsible for policy review and formulation on all matters relating to the administration and running of the TPDF. It consists of the Minister of Defense, the Chief of Defense Forces, the Permanent Secretary, the Chief of Personnel, and any other officer who may be appointed by the Minister of Defense.


SEHEMU YA KWANZA: KUHUSU MKUU WA MKOA

- Ni sehemu ya Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)

- Ofisi za Mkuu wa Mkoa zitakuwa kwenye Makao Makuu ya Mkoa husika

- Mkuu wa Mkoa atawajibika chini ya Waziri wa TAMISEMI

2. DHIMA YA KAZI HII

Kuhakikisha kuwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii yanapatikana kutokana na huduma bora za ushauri na uratibu ambazo zinajenga mazingira bora kwa Serikali za Mitaa na wadau kutoa huduma inayotarajiwa.

3. MAJUKUMU NA KAZI ZA MKUU WA MKOA

- Kuhakikisha uwepo wa Haki na Sheria kk mkoa

- Kuongoza na kusimamia operesheni za Maafa na Kufariji

- Kama Mwenyekiti wa Kamati ya Ushauri ya Mkoa(RCC), Mkuu wa Mkoa atawajibika kufanya jitihada za kuhakikisha kutimizwa kwa sera za serikali juu ya Mkoa husika.

- Kufanya yale yote yatakayosaidia kuimarisha ulinzi na usalama wa mkoa kwa ushirikiano na serikali za mitaa.

4. ELIMU

Mkuu wa Mkoa itampasa awe na Elimu Ngazi ya Shahada(Degree) au inayoshabihiana na hiyo kutoka kwenye Taasisi ya Elimu inayotambulika.

5. UELEWA

Mkuu wa Mkoa atapaswa awe ni mwenye ufahamu kuhusu Utawala wa Sheria, Utawala bora, Kanuni za Haki Asilia (Natural Justice), Sera na taratibu zake, Uongozi na Utawala pamoja na masuala yote ya msingi ktk utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo.

6. UJUZI

Kimsingi Mkuu wa Mkoa anapaswa kuwa na stadi zote za uongozi;

Ujuzi wa kujenga umoja, ujuzi wa kutatua changamoto, ujuzi wa kutoa ushauri nasaha, ujuzi wa maridhiano, ujuzi wa kuhimili msongo/mihemuko, sambamba na ujuzi kuhusu mahusiano ya umma na uwezo wa kuzungumza vizuri mbele za watu.

7. SIFA BINAFSI

Aonyeshe uwezo wa kutunza siri, kufanya maamuzi yenye tija, kufanya kazi pasipo mashinikizo, uelewa kuhusu mwenendo wa siasa na tamaduni za jamii, awe na heshima, mbunifu, mtenda haki, bila kusahau kuheshimu miiko ya kazi.

8. UZOEFU

Ni lazima Mkuu wa Mkoa awe ni mtu mwenye uzoefu kuhusu masuala ya utawala/siasa usiopungua Miaka 10.

9. MSHAHARA

Mkuu wa Mkoa atalipwa kiwango cha mshahara kwa taratibu zilizoainishwa na Ofisi ya Utumishi (kwa sasa salary scale yake ni LSS(P) 4).

TOFAUTI ILIYOPO ni kubwa mno ni mbingu na ardhi sababu inayo daiwa kuwa wakuu wa mikoa ni wawakilishi wa raisi katika maeneo yao sawa lakini kiutawala na majukumu wako chini ya idara zingine za serikali.
Mkuu wa mkoa = mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa

Mkuu wa majeshi= mjumbe wa baraza la usalama la taifa ambalo ni
Rais wa JMT na SMZ mawazili wa ulinzi na wakuu wa vyombo vya usalama.
Mkisema wilaya hapo ndio nachanganya oil na maji kabisa.
 
Maisha ni kama mlima, kuna kupanda na kushuka, ukiwa umepanda jitahidi mno kutengeneza marafiki wengi saaana ili siku ukishuka anaweza kutokea mmoja kati yao akakuinua tena... Nani alisema Amosi kachoka?
 
Kimajukumu kijeshi kashushwa. Huyu alikuwa ni mkuu wa JKT nchi nzima na sasa hivi anaenda kuwa Mkuu wa Mkoa tuu.
Hapa nilipo mimi, ukiniambia nichague kati ya vitu viwili, ukuu wa taasisi kubwa au uwaziri, nitachagua kuwa Mkuu wa Taasisi, wakati taasisi zote ziko chini ya mawizara. Autonomy ni muhimu zaidi kwangu
 
Kijeshi ni kuwa wewe mdogo unaanza kumsalimu kwa kupiga salute na yeye mkubwa analazimika kupokea salamu yako kwa kupiga salute.
Sasa inapokuja wewe raia unamsalimu mkuu wa jeshi ambaye amevalia kijeshi anajibu salamu yako kwa kupiga salute. Kwa hiyo ni kawaida kwa mwanajeshi kujibu salamu kwa kupiga salute na hasa katika mazingira rasmi.
hujamuelewa mchangiaji, kamaanisha CDF huwa ana-salute kwa DC maana yake CDF anakua mdogo kwa Dc ndo maana nmeshangaa na kuuliza ina maana sasa CDF ata-salute kwa RCs akiwemo huyu Major General? duuh
 
Mbona ni Jambo la kwaida mwanajeshi au askari wa cheo chchte anapokutana na mwanasiasa yyte ambae nafasi yake ni ya uteuzi wa raisi anamsalimia kijeshi Yani salute, hio haina maan yule ni mkubwa wake kiprotocal
hapa nmekuelewa vzr kaka, shukrani
 
kuna walakini mkubwa katika suala la kuwapigia salute wana siasa,huwa wanapenda sana kwa sababu za kujikweza lakini huwa hakuna uhalisia,hebu chukulia mkuu wa majashi ni nani halafu tulinganishe

MKUU WA MAJESHI:- CDF

Majukumu ya Msingi ya JWTZ


• Kulinda Katiba na Uhuru wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

• Ulinzi wa Mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

• Kufanya Mafunzo na Mazoezi ili kujiweka tayari Kivita wakati wote.

• Kufundisha umma shughuli za Ulinzi wa Taifa.

• Kushirikiana na Mamlaka za Kiraia katika kutoa misaada ya kibinadamu na uokoaji wakati wa maafa.

• Kukuza elimu ya kujitegemea na uzalishaji kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).

• Kushiriki katika shughuli za Ulinzi wa Amani Kimataifa.
Dhima ya JWTZ

Kulinda nchi na kutetea maslahi ya Taifa la Tanzania, kutoa msaada kwa Mamlaka za kiraia na kuwezesha kufikiwa kwa malengo ya Kitaifa na Kimataifa.

The TPDF is a unified force consisting of the Army or infantry brigades, Air Force, Navy, and National Service. The army does not operate in its command, but consists of infantry brigades directly under the command of the Chief of Defense Forces (CDF).

Higher Defense Organization

The Commander in Chief (C in C)


The Constitution of the United Republic of Tanzania, empowers the President of the United Republic of Tanzania to be the Commander of the Armed Forces. As the Commander in Chief he is empowered to declare war and commit the Defense Forces or part of it to active operations in or outside Tanzania.

The National Defense and Security Council (NDSC)

The NDSC is the highest decision-making authority in defense and security matters. It formulates defense and security strategies to meet the objectives of national defense. It comprises the President of the United Republic, the President of the Revolutionary Government of Zanzibar, ministers responsible for defense and security, and the chiefs of the defense and security organs.

The Ministry of Defense

The Tanzanian Ministry of Defense is designed to support Tanzania’s foreign policy and security policy objectives. It guides the contributions of the Defense Forces to meet defense and security goals, and shapes their structure and capabilities. The Ministry of Defense has the responsibility to ensure consistency in training and maintaining the Armed Forces in accordance with the defense doctrine.

The Defense Forces Committee (DFC)

According to the National Defense Act of 1966, the DFC is a committee at the Ministry of Defense level responsible for policy review and formulation on all matters relating to the administration and running of the TPDF. It consists of the Minister of Defense, the Chief of Defense Forces, the Permanent Secretary, the Chief of Personnel, and any other officer who may be appointed by the Minister of Defense.


SEHEMU YA KWANZA: KUHUSU MKUU WA MKOA

- Ni sehemu ya Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)

- Ofisi za Mkuu wa Mkoa zitakuwa kwenye Makao Makuu ya Mkoa husika

- Mkuu wa Mkoa atawajibika chini ya Waziri wa TAMISEMI

2. DHIMA YA KAZI HII

Kuhakikisha kuwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii yanapatikana kutokana na huduma bora za ushauri na uratibu ambazo zinajenga mazingira bora kwa Serikali za Mitaa na wadau kutoa huduma inayotarajiwa.

3. MAJUKUMU NA KAZI ZA MKUU WA MKOA

- Kuhakikisha uwepo wa Haki na Sheria kk mkoa

- Kuongoza na kusimamia operesheni za Maafa na Kufariji

- Kama Mwenyekiti wa Kamati ya Ushauri ya Mkoa(RCC), Mkuu wa Mkoa atawajibika kufanya jitihada za kuhakikisha kutimizwa kwa sera za serikali juu ya Mkoa husika.

- Kufanya yale yote yatakayosaidia kuimarisha ulinzi na usalama wa mkoa kwa ushirikiano na serikali za mitaa.

4. ELIMU

Mkuu wa Mkoa itampasa awe na Elimu Ngazi ya Shahada(Degree) au inayoshabihiana na hiyo kutoka kwenye Taasisi ya Elimu inayotambulika.

5. UELEWA

Mkuu wa Mkoa atapaswa awe ni mwenye ufahamu kuhusu Utawala wa Sheria, Utawala bora, Kanuni za Haki Asilia (Natural Justice), Sera na taratibu zake, Uongozi na Utawala pamoja na masuala yote ya msingi ktk utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo.

6. UJUZI

Kimsingi Mkuu wa Mkoa anapaswa kuwa na stadi zote za uongozi;

Ujuzi wa kujenga umoja, ujuzi wa kutatua changamoto, ujuzi wa kutoa ushauri nasaha, ujuzi wa maridhiano, ujuzi wa kuhimili msongo/mihemuko, sambamba na ujuzi kuhusu mahusiano ya umma na uwezo wa kuzungumza vizuri mbele za watu.

7. SIFA BINAFSI

Aonyeshe uwezo wa kutunza siri, kufanya maamuzi yenye tija, kufanya kazi pasipo mashinikizo, uelewa kuhusu mwenendo wa siasa na tamaduni za jamii, awe na heshima, mbunifu, mtenda haki, bila kusahau kuheshimu miiko ya kazi.

8. UZOEFU

Ni lazima Mkuu wa Mkoa awe ni mtu mwenye uzoefu kuhusu masuala ya utawala/siasa usiopungua Miaka 10.

9. MSHAHARA

Mkuu wa Mkoa atalipwa kiwango cha mshahara kwa taratibu zilizoainishwa na Ofisi ya Utumishi (kwa sasa salary scale yake ni LSS(P) 4).

TOFAUTI ILIYOPO ni kubwa mno ni mbingu na ardhi sababu inayo daiwa kuwa wakuu wa mikoa ni wawakilishi wa raisi katika maeneo yao sawa lakini kiutawala na majukumu wako chini ya idara zingine za serikali.
Mkuu wa mkoa = mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa

Mkuu wa majeshi= mjumbe wa baraza la usalama la taifa ambalo ni
Rais wa JMT na SMZ mawazili wa ulinzi na wakuu wa vyombo vya usalama.
Mkisema wilaya hapo ndio nachanganya oil na maji kabisa.
shukrani ndugu, udadavuzi murua
 
Back
Top Bottom