Major General Mbuge Kuwa RC kutoka Mkuu wa JKT Kapanda Cheo au kashuka?

Major General Mbuge Kuwa RC kutoka Mkuu wa JKT Kapanda Cheo au kashuka?

Hiyo ni demotion mkuu wala huhitaji akili kubwa. Mkuu wa mkoa hata hela anaomba kwa wakurugenzi wa halmashauri
Hakuna RC aombaye fedha kwa Wakurugenzi - RC anatekeleza majukumu yake kupitia fedha za OC ambazo ziko chini ya RAS kama Afisa Masululi wa Mkoa

Fedha hizi huletwa kila mwezi
 
Sidhani kama ameenda shule yule jamaa wale ni kizazi Cha wwnajeshi walioingia kupigana tu elimu alisoma baada ya kuwa Major na baada ya hapo hakuna shule tena.

Alikuwa anamsnitch sana CDF kwa mwendazake ana majungu fulani, naona amekomeshwa. Kutoka kupiga deal za ujenzi na madili kibao ya JKT kwenda kukimbizana na budget za Halmashauri Tena kigoma huko
Umesema sidhani Kama ameenda shule hvyo humfahamu..

Kisha unasema alikuwa ana msnitch cdf

Wabongo bwana mtu hajui ila anatengeza story umejuaje Kama alikuwa anam snitch na wskati mbuge mwenyewe humjui bali una mdhania
 
Umesema sidhani Kama ameenda shule hvyo humfahamu..

Kisha unasema alikuwa ana msnitch cdf

Wabongo bwana mtu hajui ila anatengeza story umejuaje Kama alikuwa anam snitch na wskati mbuge mwenyewe humjui bali una mdhania
Sawa bwana mbuge.
 
Cheo cha Mkuu wa JKT ni nafasi ya kiuongozi wa kitafa na huwa moja tu wakati Mkuu wa Mkoa ni cheo cha watu zaidi ya mmoja katika taifa. Kwa mtazamo huu naweza kusema huyu mwamba ameporomoka cheo.
Kwani ameshuka rank yake?
Hayo ni majukumu yamebadilika tu, na kapangiwa Mtwara kimkakati sababu ya mipakani kitotulia
 
Habari wanabodi? naomba kupata uelewa kidogo, kwa nafasi kama ya Major General Mbuge kutoka kuwa Mkuu wa JKT na kwenda kuwa RC je hapo kapanda cheo ama kashuka? naomba uelewa wa kina juu ya hili tafadhali.

Hongera kwake kwa uteuzi!!
Kwa taarifa tu ni kuwa cheo cha mkuu wa mkoa hapa Tanzania ni sawa na waziri
 
Habari wanabodi? naomba kupata uelewa kidogo, kwa nafasi kama ya Major General Mbuge kutoka kuwa Mkuu wa JKT na kwenda kuwa RC je hapo kapanda cheo ama kashuka? naomba uelewa wa kina juu ya hili tafadhali.

Hongera kwake kwa uteuzi!!
Awezi kushuka cheo ndugu. Anabaki na cheo chake hivyohivyo. Labda wadhifa kupungua. Mkoa na JKT. Nikweli Command sio sawa na mkoa. Command ya JKT ni kubwa sana, karibu mkoa 18 na vikosi karibu 28
 
Ukisikia Mkuu wa JKT Tanzania nzima unadhani hao JKT ni kama mamilioni hivi? Kumbe hata 5000 hawafiki....hahaha ujinga kipaji. Mkuu wa mkoa kimajukumu is far a million than Mkuu wa JKT. Anzia hapo... Mwakilishi wa Rais Mkoa wenye watu zaidi milioni 3+ M/kiti wa Baraza la usalama la mkoa... Kuomba fedha kwa mkurugenzi ni formality sawa na wewe uwe boss wa taasisi then uombe fedha kwa watu wa finance.

Malizia hapa gari yake inapeperusha bendera ya nchi muda wote mpaka tu Rais anapokuwa mgeni wa mkoa husika.
Hivi unadhani ungechangia hicho unachokijua bila kuitana mjinga usingeeleweka?

Kumbuka mtoa mada ameuliza swali ili kila mmoja aeleze mtazamo wake kuhusu hili suala na mchango wangu ndo mtazamo wangu na si ujinga.

Hata hivyo yakupasa ufikirie upya katika hoja yako kwani Mkuu wa JKT hana mipaka bali anabaki kuwa mkuu popote pale alipo katika nchi tofauti na Mkuu wa Mkoa anapotembelea mikoa mingine.
 
Nani anakumbuka upandaji wa vyeo kwa huyu Major General Charles Mbuge!!....Paul Makonda analijua sana hili jambo

Huyu jamaa alizingua sana akiwa Mkuu wa JKT alikuwa anawachukia sana Makamanda waliokwenda shule na alipenda sana kuwaweka vibaraka wake kwenye nafasi mbalimbali JKT, professionalism kwa huyu Kamanda ilikuwa zeero kabisa!!

Kuna jamaa alimchukia sana kisa hakuenda kumpongeza alivyopandishwa cheo na mwendazake. Akaamua kumtupa Kigoma and then wakati wenzake wanapandishwa vyeo mwezi wa 2 kuwa Ma-Major jjna la huyo jamaa akalinyofoa makusudi tu kwa sababu ya chuki zake binafsi . Kwahiyo wenzake wamekuwa Ma-Major yeye bado ni Captain. Huyu jamaa yuko kambi ya Mtabila Kigoma na ni Msomi mzuri tu.

Acha karma imle!!!
Lengo lake halijatimia
 
Kinachonishangaza kila mchangiaji kwenye hii mada anamjadili Charles Mbuge kama Major General wakati ukweli ni kwamba cheo chake alichonacho hadi dakika hii ni Brigadier General na wala siyo Major General.
 
Nani anakumbuka upandaji wa vyeo kwa huyu Major General Charles Mbuge!!....Paul Makonda analijua sana hili jambo

Huyu jamaa alizingua sana akiwa Mkuu wa JKT alikuwa anawachukia sana Makamanda waliokwenda shule na alipenda sana kuwaweka vibaraka wake kwenye nafasi mbalimbali JKT, professionalism kwa huyu Kamanda ilikuwa zeero kabisa!!

Kuna jamaa alimchukia sana kisa hakuenda kumpongeza alivyopandishwa cheo na mwendazake. Akaamua kumtupa Kigoma and then wakati wenzake wanapandishwa vyeo mwezi wa 2 kuwa Ma-Major jjna la huyo jamaa akalinyofoa makusudi tu kwa sababu ya chuki zake binafsi . Kwahiyo wenzake wamekuwa Ma-Major yeye bado ni Captain. Huyu jamaa yuko kambi ya Mtabila Kigoma na ni Msomi mzuri tu.

Acha karma imle!!!
Lini Mbuge alipandishwa na kupata hicho cheo cha Major General?
 
Kinachonishangaza kila mchangiaji kwenye hii mada anamjadili Charles Mbuge kama Major General wakati ukweli ni kwamba cheo chake alichonacho hadi dakika hii ni Brigadier General na wala siyo Major General.
Pale kilaza anapotaka kujifanya mjuaji




Kinachoshangaza ni kujifanya mjuaji badala ya kuuliza kwa hekima ili upate jibu


Tayari jibu tushakupatia au tukudadavulie na hii picha?
FB_IMG_16212172972170958.jpg
 
Tunachojuwa ana uhakika wa V8, ac ofisini, chai na mapochopocho. Bila kusahau mshahara na "maisha bora" kuliko sisi, mengine tupa kule..
 
Kwa taarifa tu ni kuwa cheo cha mkuu wa mkoa hapa Tanzania ni sawa na waziri
Kwanini walikuwa wanakimbia ukuu wa mkoa kwenda kwenye ubunge?
Wakuu wa mikoa wapo chini ya wizara ya Tamisemi- Ummy Mwalimu
 
Kwanini walikuwa wanakimbia ukuu wa mkoa kwenda kwenye ubunge?
Wakuu wa mikoa wapo chini ya wizara ya Tamisemi- Ummy Mwalimu
maslahi tu ndio tatizo.

mshahara,posho za vikao,pesa ya jimbo,pesa ya gari,kiinua mgongo 400mln baada ya 5yrs[emoji23][emoji23]
 
Kinachonishangaza kila mchangiaji kwenye hii mada anamjadili Charles Mbuge kama Major General wakati ukweli ni kwamba cheo chake alichonacho hadi dakika hii ni Brigadier General na wala siyo Major General.
Kulifanyika makosa wakarekebisha bado ni Meja General rank yake akaandikwa gaguti na rank ya gaguti akaandikwa Mbughe

Baaadae wakatoa Tena taarifa upya
 
Nyota mbili zinabakia palepale sema siyo tena mkuu wa JKT. Either itamlazimu Rais kumpandisha cheo brigedia general ili ashike nafasi hiyo ama atalazimika kumhamisha meja jenero mwingine ili awe mkuu wa JKT. Kwanza wamelundikwa huko hovyo hovyo tuu na hakuna wanalofanya. Madam chomoa kimeja kimoja kikave pengo!
Brigedia Mbungo aliyekuwa Takukuru ndio atapewa hii nafasi ya kuwa mkuu jkt. Ni swala la muda tu.
 
Back
Top Bottom