Major General Mbuge Kuwa RC kutoka Mkuu wa JKT Kapanda Cheo au kashuka?

Major General Mbuge Kuwa RC kutoka Mkuu wa JKT Kapanda Cheo au kashuka?

mpishi wa rais anawasiliana na raisi kuhusu chumvi na mafuta kuzidi,si kitu kingine.
The point here is “direct communication”, sidhani kama ulinielewa.

Umeona “context” kutokana na hoja yake na mimi kumjibu au unakurupuka tu?

Direct communication does not necessarily implicate superiority.
 
Pointless. Kwahiyo mpishi wa ikulu naye kama anawasiliana moja kwa moja na rais ndiyo tuseme yuko juu kuliko wote?
wewe ndiye unayeongea pumba kabisa kwani unashindwa kutofutisha kati ya authority, prestige na utumishi. Mpishi wa Ikulu au dereva wa rais hana authority ya kufanya maamuzi ya kiserikali eti kwa vile tu anawasiliana na rais moja kwa moja. Maamuzi ya mkuu wa JKT yako chini ya CDF kabla ya kufika kwa rais wakati maamuzi ya Mkuu wa Mkoa yako moja kwa chini ya raisi.
 
wewe ndiye unayeongea pumba kabisa kwani unashindwa kutofutisha kati ya authority, prestige na utumishi. Mpishi wa Ikulu au dereva wa rais hana authority ya kufanya maamuzi ya kiserikali eti kwa vile tu anawasiliana na rais moja kwa moja. Maamuzi ya mkuu wa JKT yako chini ya CDF kabla ya kufika kwa rais wakati maamuzi ya Mkuu wa Mkoa yako moja kwa chini ya raisi.
Wewe Huna maana. Utakuwa msukuma tu. Na ndiyo sababu kubwa ya upofu wako kwa mwendazake! Umekuwa pointless mpaka inasikitisha. Bora ufiche upumbavu wako. Ume “refer” “direct communication” kama vile ndiyo “superiority” Huna maana.
 
The point here is “direct communication”, sidhani kama ulinielewa.

Umeona “context” kutokana na hoja yake na mimi kumjibu au unakurupuka tu?

Direct communication does not necessarily implicate superiority.

hata mimi nimekujibu hivyo kwa kulinganisha na mfano wako,ili urejee kwenye hoja iliyopo.

kama mkuu wa jkt angepata wasaa wa kuzungumza na rais leo,basi ingekuwa kuhusu kupewa majengo mengine ya kusomba tofali,maana ndio dili lililopo kati yao,mengine yote taratibu zingemtaka awasiliane na mnadhimu kwenda kwa cdf nk.

leo ni RC au rais wa mkoa,anaongea na rais kuhusu taasisi zote mkoani kwake,changamoto,fulsa,usalama na hata nguvu ya mkoa husika,hawekewi mipaka kwa lolote.na tamthmini ya ripoti yake inawezatoa muongozo kwa nchi nzima.
wengine mnaona kashusha,kumbe landa anakwenda kuchukua uzoefu aachiwe jeshi.
 
hata mimi nimekujibu hivyo kwa kulinganisha na mfano wako,ili urejee kwenye hoja iliyopo.

kama mkuu wa jkt angepata wasaa wa kuzungumza na rais leo,basi ingekuwa kuhusu kupewa majengo mengine ya kusomba tofali,maana ndio dili lililopo kati yao,mengine yote taratibu zingemtaka awasiliane na mnadhimu kwenda kwa cdf nk.

leo ni RC au rais wa mkoa,anaongea na rais kuhusu taasisi zote mkoani kwake,changamoto,fulsa,usalama na hata nguvu ya mkoa husika,hawekewi mipaka kwa lolote.na tamthmini ya ripoti yake inawezatoa muongozo kwa nchi nzima.
wengine mnaona kashusha,kumbe landa anakwenda kuchukua uzoefu aachiwe jeshi.
Kama wewe ndiye Kichuguu, jipange tena, coz I ain’t got no time to waste fosho.
 
Nadhani wewe unaongelea prestige zaidi ya authority.
Mm siongelei prestige...Hyo authority RC anaweza akawa nayo ndani ya mkoa wake lakini Hana aouthority juu ya makambi yakijeshi yalio ndani ya mkoa wake not to talk of mkuu wa hicho chombo kitaifa
 
Wewe Huna maana. Utakuwa msukuma tu. Na ndiyo sababu kubwa ya upofu wako kwa mwendazake! Umekuwa pointless mpaka inasikitisha. Bora ufiche upumbavu wako. Ume “refer” “direct communication” kama vile ndiyo “superiority” Huna maana.
Pamoja na povu lote, ni kwamba kama hujui organization chart ya serikali ni kuwa mkuu wa JKT yuko chini ya CDF ambaye ndiye anayewasiliana na raisi wakati mwingine kupitia kwa waziri wa ulinzi. Halafu wakuu wa mikoa pamoja na mawaziri wako chini ya rais moja kwa moja.

Ni kukuelewesha tu kuhusu iorganization chart ya serikali. Dr. Lawrence Gama alivyotolewa kutoka ukuu wa JKT na kupewa madaraka mengine hakuwa demoted. Post yako imekaa kikabila na yenye chuki sana lakini haibadilishi ukweli. Kuna wakati Major General Mayunga alikuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjarp, na Majaor General Marwa alikuwa mkuu wa mkoa nadhani Singida (nimeshasahau) ila elewa kuwa hawakuwa demoted wale.
 
Mm siongelei prestige...Hyo authority RC anaweza akawa nayo ndani ya mkoa wake lakini Hana aouthority juu ya makambi yakijeshi yalio ndani ya mkoa wake not to talk of mkuu wa hicho chombo kitaifa
Kwa hiyo unataka kusema kati ya naibu waziri na mkuu wa mkoa nani ana authority zaidi, kwani naibu waziri anasimamiama mambo yote ya wizara yake kwenye mikoa yote.
 
Kuwasiliana na raisi moja kwa moja sio ukubwa....Yani uanze kufananisha mkuu wa jeshi la JKT nchi nzima na RC wa mkoa ur joking
Askari wengi ni waliofeli mashuleni hata arguments zao ni za kijinga mno. Sasa wewe kuwa mkuu wa JKT ndio useme cheo kikubwa kuliko mkuu wa Mkoa? KIKATIBA MKUU WA MKOA NI MKUBWA SANA, ANAKUWA LEVEL MOJA NA WAZIRI. HATA MAJUKUMU YAKE NI MULTTASK. UKIWA MKUU WA JKT WW UNADILI NA ISHU HIZO TU, ILA UKIWA MKUU WA MKOA KAZI ZOTE ZINAKUWA CHINI YAKO, USALAMA WA RAIA, NCHI, UCHUMI, AFYA, ELIMU, MIUNDOMBINU NK. Jkt ni KITU KIDOGO MNO KWENYE ISHU ZA KIUTALAWA.
 
Pamoja na povu lote, ni kwamba kama hujui organization chart ya serikali ni kuwa mkuu wa JKT yuko chini ya CDF ambaye ndiye anayewasiliana na raisi wakati mwingine kupitia kwa waziri wa ulinzi. Halafu wakuu wa mikoa pamoja na mawaziri wako chini ya rais moja kwa moja.

Ni kukuelewesha tu kuhusu iorganization chart ya serikali. Dr. Lawrence Gama alivyotolewa kutoka ukuu wa JKT na kupewa madaraka mengine hakuwa demoted. Post yako imekaa kikabila na yenye chuki sana lakini haibadilishi ukweli. Kuna wakati Major General Mayunga alikuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjarp, na Majaor General Marwa alikuwa mkuu wa mkoa nadhani Singida (nimeshasahau) ila elewa kuwa hawakuwa demoted wale.
Kuna mambo raisi anampa direction moja kwa moja mkuu wa JKT ndo maan hata JPM alimkabidhi mbuge project mbalimbali na mbuge alimkabidhi hizo project raisi mwenyew na sio CDF...raisi uweza wasiliana na mtu yyte ambae uyeuI wake umetoka moja kwa moja kwa raisi....ndo maan mkuu wa JKT hateuliwi na CDF Bali na raisi mwenyew....ni sawa tu na RC na DC...DC yupo chini ya RC kimkoa ila raisi akitaka kujua mambo ya wilaya husika huweza wasiliana na mkuu wa wilaya hiyo moja kwa moja
 
Askari wengi ni waliofeli mashuleni hata arguments zao ni za kijinga mno. Sasa wewe kuwa mkuu wa JKT ndio useme cheo kikubwa kuliko mkuu wa Mkoa? KIKATIBA MKUU WA MKOA NI MKUBWA SANA, ANAKUWA LEVEL MOJA NA WAZIRI. HATA MAJUKUMU YAKE NI MULTTASK. UKIWA MKUU WA JKT WW UNADILI NA ISHU HIZO TU, ILA UKIWA MKUU WA MKOA KAZI ZOTE ZINAKUWA CHINI YAKO, USALAMA WA RAIA, NCHI, UCHUMI, AFYA, ELIMU, MIUNDOMBINU NK. Jkt ni KITU KIDOGO MNO KWENYE ISHU ZA KIUTALAWA.
Kwaio wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kwakuwa wanadili na Jambo moja tu ambayo ni yakiusalama tu hivo RC yupo juu kiprotocal
 

jmushi1

sasa POINT ni ipi hapo kuwasiliana na Rais ukiwa unasimamia vikosi vya JKT ambavyo kuna Rais alivifuta ndipo awamu iliyopita vikarudishwa au kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, maana umeishia hewani hatujajua jamaa kapanda au kashuka
 
Askari wengi ni waliofeli mashuleni hata arguments zao ni za kijinga mno. Sasa wewe kuwa mkuu wa JKT ndio useme cheo kikubwa kuliko mkuu wa Mkoa? KIKATIBA MKUU WA MKOA NI MKUBWA SANA, ANAKUWA LEVEL MOJA NA WAZIRI. HATA MAJUKUMU YAKE NI MULTTASK. UKIWA MKUU WA JKT WW UNADILI NA ISHU HIZO TU, ILA UKIWA MKUU WA MKOA KAZI ZOTE ZINAKUWA CHINI YAKO, USALAMA WA RAIA, NCHI, UCHUMI, AFYA, ELIMU, MIUNDOMBINU NK. Jkt ni KITU KIDOGO MNO KWENYE ISHU ZA KIUTALAWA.
Inaelekea una chuki sana na Askari........ CNS na RC mbona ni vitu viwili tofaut kabisa.

Wana majukumu tofauti, scope ya kazi tofauti. Ila katiba ya nchi yetu mamlaka yako kwa wanasiasa yaani nchi inaongozwa na wanasiasa na sio kijeshi.

Hivyo basi vyeo vyote vya kijeshi viko chini ya vyeo vya kisiasa. Na ndio maana unakuta CDF anampigia salute Jokate kwasababu hatuongozwi kijeshi.
 
Back
Top Bottom