Ku maintain peace and order ndani ya Jeshi ni kazi ya Mkuu wa JKT sio Waziri
Mkuu wa jkt hatoi ajira
Why sio waziri wa ulinzi na cdf?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wa jkt hatoi ajira
Why sio waziri wa ulinzi na cdf?
Faraja kazini.
Yaani toka cheo cha hadhi ya Kitaifa kuwa ngazi ya kimkoa amepanda cheo?
RC Kigoma alivyotoka DG Zimamoto naye alipanda cheo?
Ningekuwa Mimi Ningefanya Kama alivyofanya Maswanya aliekataa Uteuzi Wa DC, Kutoka Kuwa Mkuu Wa JKT Nchi Nzima Kuwa Rc.... Hapana [emoji36][emoji36]Kimajukumu kijeshi kashushwa. Huyu alikuwa ni mkuu wa JKT nchi nzima na sasa hivi anaenda kuwa Mkuu wa Mkoa tuu.
Portfolio aliyokuwa nayo akiwa Mkuu wa JKT Tanzania ilikuwa ni kubwa sana kuliko sasa anavyokwenda kuwa Mkuu wa Mkoa.
Kwa kawaida wakiona umezingua jeshini they get rid of you kwa njia kama hii. Kumbuka wakati wa akina General Mirisho Sarakikya, T. Kiwelu n.k
Kwahiyo, Major General Charles Mbuge sasa hivi ameshika tama anasikitika.
Asantea!
Major General ni mkubwa kuliko Brigadier General.!Kivipi hapo, hebu fafanua kidogo! Kwani kati ya Meja Generali na Brigedia ni nani yupo juu ya mwingine?
Huyu Major Gen Mbuge alikuwa mkuu wa Jeshi au kitengo km Mgambo au zimamoto chini ya JW, JKT nalo utasema ni jeshi ukashindane na major General Muhidini Kimario Mkurugenzi wa CDA? au alikuwa Mkuu wa Mkoa wa DSM?Hao uliowataja hawakuwa wakuu wa Jeshi.
Ma brigade commanders.
Exactly.Cheo cha Mkuu wa JKT ni nafasi ya kiuongozi wa kitafa na huwa moja tu wakati Mkuu wa Mkoa ni cheo cha watu zaidi ya mmoja katika taifa. Kwa mtazamo huu naweza kusema huyu mwamba ameporomoka cheo.
kwani kafukuzwa kazi[emoji848][emoji848].Huyu ndio alihujumu ajira za vijana 800 wa JKt na kuwaita waasi, acha karma imtafune akapambane na majangiri mipakani huko.
kwahiyo mkuu wa jkt anachota tu hazina[emoji16][emoji16].Hiyo ni demotion mkuu wala huhitaji akili kubwa. Mkuu wa mkoa hata hela anaomba kwa wakurugenzi wa halmashauri
Huyu Major Gen Mbuge alikuwa mkuu wa Jeshi au kitengo km Mgambo au zimamoto chini ya JW?Hao uliowataja hawakuwa wakuu wa Jeshi.
Ma brigade commanders.
Bora umesemaMkuu wako wa majeshi mabeyo huwa anampigia salute DC Jokate mwegelo
Watu hawaangalii vyeo mkuu wanaangalia watoto kwenda haja kubwa na shule. OverHabari wanabodi? naomba kupata uelewa kidogo, kwa nafasi kama ya Major General Mbuge kutoka kuwa Mkuu wa JKT na kwenda kuwa RC je hapo kapanda cheo ama kashuka? naomba uelewa wa kina juu ya hili tafadhali.
Hongera kwake kwa uteuzi!!
mbona hueleweki Mkuu yaani wewe bado unatafuta kazi za kuajiriwa tena hizi za kupigiwa vidole au mtu akae mahali achambue jina lakoHumu jf kila siku tunajisema sisi ni magreat thinker but nashangaa tunawaza kama watu wa Facebook na Instagram,,
Nimesoma mwanzo Hadi mwisho sijaona hata mtu alokuja na wazo mbadala la why jamaa katolewa pale kapelekwa kigoma .
Wote mnawaza ukubwa na udogo atakua kashushwa .
Nchi ina mambo mengi wakuu sometimes mtu flani anahitajika sehem flani kwa kazi flani kipindi flani..
So he must go to accomplish the mission it's not about being promoted or demorted..
Nchi kubwa hii na ina mambo mengi wakuu.
Hebu kumbukeni kidg ya bwa.diwani na njia zake alizopita.
Mada inasema kashuka au kapanda.Humu jf kila siku tunajisema sisi ni magreat thinker but nashangaa tunawaza kama watu wa Facebook na Instagram,,
Nimesoma mwanzo Hadi mwisho sijaona hata mtu alokuja na wazo mbadala la why jamaa katolewa pale kapelekwa kigoma .
Wote mnawaza ukubwa na udogo atakua kashushwa .
Nchi ina mambo mengi wakuu sometimes mtu flani anahitajika sehem flani kwa kazi flani kipindi flani..
So he must go to accomplish the mission it's not about being promoted or demorted..
Nchi kubwa hii na ina mambo mengi wakuu.
Hebu kumbukeni kidg ya bwa.diwani na njia zake alizopita.
Sidhani kama ameenda shule yule jamaa wale ni kizazi Cha wwnajeshi walioingia kupigana tu elimu alisoma baada ya kuwa Major na baada ya hapo hakuna shule tena.Nani anakumbuka upandaji wa vyeo kwa huyu Major General Charles Mbuge!!....Paul Makonda analijua sana hili jambo
Huyu jamaa alizingua sana akiwa Mkuu wa JKT alikuwa anawachukia sana Makamanda waliokwenda shule na alipenda sana kuwaweka vibaraka wake kwenye nafasi mbalimbali JKT, professionalism kwa huyu Kamanda ilikuwa zeero kabisa!!
Kuna jamaa alimchukia sana kisa hakuenda kumpongeza alivyopandishwa cheo na mwendazake. Akaamua kumtupa Kigoma and then wakati wenzake wanapandishwa vyeo mwezi wa 2 kuwa Ma-Major jjna la huyo jamaa akalinyofoa makusudi tu kwa sababu ya chuki zake binafsi . Kwahiyo wenzake wamekuwa Ma-Major yeye bado ni Captain. Huyu jamaa yuko kambi ya Mtabila Kigoma na ni Msomi mzuri tu.
Acha karma imle!!!
Pointless. Kwahiyo mpishi wa ikulu naye kama anawasiliana moja kwa moja na rais ndiyo tuseme yuko juu kuliko wote?Mkuu wa JKT huwasiliana na Rais kupitia kwa CDF, wakati mkuu wa mkoa huwasiliana na rais moja kwa moja! Tofauti kubwa kabisa, labda tusema anapunguzuiwa influence jeshini.
tulieni vijana,ukija shangaa anapewa kuongoza jeshi utajiskiaje!!!!Sidhani kama ameenda shule yule jamaa wale ni kizazi Cha wwnajeshi walioingia kupigana tu elimu alisoma baada ya kuwa Major na baada ya hapo hakuna shule tena.
Alikuwa anamsnitch sana CDF kwa mwendazake ana majungu fulani, naona amekomeshwa. Kutoka kupiga deal za ujenzi na madili kibao ya JKT kwenda kukimbizana na budget za Halmashauri Tena kigoma huko
mpishi wa rais anawasiliana na raisi kuhusu chumvi na mafuta kuzidi,si kitu kingine.Pointless. Kwahiyo mpishi wa ikulu naye kama anawasiliana moja kwa moja na rais ndiyo tuseme yuko juu kuliko wote?