Hawa walipewa mikoa wakiwa kazini au baada ya kustaafu?Kazi kwelikweli inaonesha umezaliwa baada ya Vita vya Kagera
mambo ya kuomba hela hata awe Kambini ataomba mpaka na chakula
Hebu jiulize wakina Mayunga, Kimario, Marwa hawa walikuwa na vyeo vikubwa Jeshini lkn walipewa Mikoa