Major General Mhidze aliyekuwa MSD apelekwe kwenye Court Martial

Major General Mhidze aliyekuwa MSD apelekwe kwenye Court Martial

Mzizi wa matatizo ya MSD ni Major General Gabriel Mhidze aliyepekwa pale mwaka 2020 na Hayati Magufuli. Pamoja na kashfa ya matumizi mabaya ya fedha za UVIKO, kuna hizi 3 nazo lazima zifuatiliwe na TAKUKURU;

1. Mmamo August 2021 alilipa USD 1.5 Million kwa Kampuni ya Misri ambayo ni hewa. Hata utaratibu wa zabuni haukufanyika katika kuwapata ma supplier hao. Fedha zimepotea na hazitapatikana

2. Amejenga kiwanda cha MSD cha kutengeneza gloves kijijini kwake kwa thamani ya zaidi Tsh 35 Bilion bila Kufuata sheria ya MSD
  • Sheria ya Manunuzi
  • Hakuna Kibali cha Wizara wala Bodi
-Feasibility study

Kiwanda kipo kwenye shamba la Familia ambalo MSD imelinunua bila taratibu za zabuni.

Wanaweza wakawakamata vidagaa na kuwapeleka TAKUKURU lakini tatizo limesabanishwa na Major General mwenyewe. Aliwahamishia wizara nyingine wafanyakazi wote waliokuwa wanampinga anapovunja sheria.

Ni wakati sasa JWTZ wakampeleka akakabiliane na Mahakama ya Jeshi (Court Martial)
Kijijini kwake? Kijiji gani hicho?
 
Mzizi wa matatizo ya MSD ni Major General Gabriel Mhidze aliyepekwa pale mwaka 2020 na Hayati Magufuli. Pamoja na kashfa ya matumizi mabaya ya fedha za UVIKO, kuna hizi 3 nazo lazima zifuatiliwe na TAKUKURU;

1. Mmamo August 2021 alilipa USD 1.5 Million kwa Kampuni ya Misri ambayo ni hewa. Hata utaratibu wa zabuni haukufanyika katika kuwapata ma supplier hao. Fedha zimepotea na hazitapatikana

2. Amejenga kiwanda cha MSD cha kutengeneza gloves kijijini kwake kwa thamani ya zaidi Tsh 35 Bilion bila Kufuata sheria ya MSD
  • Sheria ya Manunuzi
  • Hakuna Kibali cha Wizara wala Bodi
-Feasibility study

Kiwanda kipo kwenye shamba la Familia ambalo MSD imelinunua bila taratibu za zabuni.

Wanaweza wakawakamata vidagaa na kuwapeleka TAKUKURU lakini tatizo limesabanishwa na Major General mwenyewe. Aliwahamishia wizara nyingine wafanyakazi wote waliokuwa wanampinga anapovunja sheria.

Ni wakati sasa JWTZ wakampeleka akakabiliane na Mahakama ya Jeshi (Court Martial)
Sukumagangs na mataga wengi waliamini maneno na kauli za majigambo. Matokeo ya utendaji ni kuwa kila kilichosimamiwa na JPM kina harufu kali ya ubadhirifu!

Huyo mJWTZ na kina Dotto, Mwigulu ikifaa wapelekwe mahakama za wazi for public interests.

NB: Kumshangilia JPM na style yake ya uongozi ni kipimo elekezi (confirmation test) cha IQ ndogo!
 
Niseme tu haujui siasa na fitina za hii nchi. Huyu Mjeshi wanaomjua na kujua maisha yake wanakataa kabisa kuwa ni Mwizi na mbadhilifu .
Sema aliziba upigaji uliozoeleka pale MSD na ujue tu kuwa unapoziba upigaji MSD ni dhahiri utakuwa umegusa kundi kubwa sana la wafanyabiashara nje ya MSD na Wanasiasa, yaani ni Network moja kubwa sana ambayo ikiamua kukutengenezea zengwe ujue HUTACHOMOKAA na hoja za kuaminisha kasoro zako hazitakosekana hata kidogo.

Sio kwamba kwenye taasisi zingine hakuna kasoro za manunuzi au mbadhilifu , tena ukute kuna madudu makubwa sana lakini jiulize ni kwanini HAKUNA SOUND KAMA HIZI ZA MSD.
Ni uongo,na sijui kwa nn mods wanaacha nyuzi Kama hizi.
Eti msd wamejenga kiwanda kijijini, alafu hata hiko Kijiji hakisemwi
 
Mzizi wa matatizo ya MSD ni Major General Gabriel Mhidze aliyepekwa pale mwaka 2020 na Hayati Magufuli. Pamoja na kashfa ya matumizi mabaya ya fedha za UVIKO, kuna hizi 3 nazo lazima zifuatiliwe na TAKUKURU;

1. Mmamo August 2021 alilipa USD 1.5 Million kwa Kampuni ya Misri ambayo ni hewa. Hata utaratibu wa zabuni haukufanyika katika kuwapata ma supplier hao. Fedha zimepotea na hazitapatikana

2. Amejenga kiwanda cha MSD cha kutengeneza gloves kijijini kwake kwa thamani ya zaidi Tsh 35 Bilion bila Kufuata sheria ya MSD
  • Sheria ya Manunuzi
  • Hakuna Kibali cha Wizara wala Bodi
-Feasibility study

Kiwanda kipo kwenye shamba la Familia ambalo MSD imelinunua bila taratibu za zabuni.

Wanaweza wakawakamata vidagaa na kuwapeleka TAKUKURU lakini tatizo limesabanishwa na Major General mwenyewe. Aliwahamishia wizara nyingine wafanyakazi wote waliokuwa wanampinga anapovunja sheria.

Ni wakati sasa JWTZ wakampeleka akakabiliane na Mahakama ya Jeshi (Court Martial)
Inamana kiwanda kipo kijijini kwao Lupembe??Embu fafanuwa! Maana kati ya Watanzania waaminifu na wazalendo kama Nyerere huyu ni mmoja wao na isitoshe Wanajeshi wapo kuilinda na kupigania ustawi wa nchi na watu wake. Sijawai sikia kuna Mwanajeshi amekamatwa kwa Ubadilifu ata siku moja.Kumbuka mpaka mkataba unasainiwa ni zaidi ya mwaka kama sio miaka- yeye ni msaini mikataba walio chini yake ndo wanaofaidika na all bad deals jua hilo. Tender Board na watu wa kitengo cha manunuzi wanawaangushia Ma MD majumba mabovu kila kukicha. Kwa huyu Jamaa nakataa kama alikuwa Ntu wa Dilli namfahamu na najua how serious alivyo
 
Mzizi wa matatizo ya MSD ni Major General Gabriel Mhidze aliyepekwa pale mwaka 2020 na Hayati Magufuli. Pamoja na kashfa ya matumizi mabaya ya fedha za UVIKO, kuna hizi 3 nazo lazima zifuatiliwe na TAKUKURU;

1. Mmamo August 2021 alilipa USD 1.5 Million kwa Kampuni ya Misri ambayo ni hewa. Hata utaratibu wa zabuni haukufanyika katika kuwapata ma supplier hao. Fedha zimepotea na hazitapatikana

2. Amejenga kiwanda cha MSD cha kutengeneza gloves kijijini kwake kwa thamani ya zaidi Tsh 35 Bilion bila Kufuata sheria ya MSD
  • Sheria ya Manunuzi
  • Hakuna Kibali cha Wizara wala Bodi
-Feasibility study

Kiwanda kipo kwenye shamba la Familia ambalo MSD imelinunua bila taratibu za zabuni.

Wanaweza wakawakamata vidagaa na kuwapeleka TAKUKURU lakini tatizo limesabanishwa na Major General mwenyewe. Aliwahamishia wizara nyingine wafanyakazi wote waliokuwa wanampinga anapovunja sheria.

Ni wakati sasa JWTZ wakampeleka akakabiliane na Mahakama ya Jeshi (Court Martial)
Hahahaa huyu Maj.Gen. Asipelekwe court martial maana akitimuliwa huko kibarua ataenda kuungana na makomando wa mchongo wa mbowe itakua matata zaidi mkuu hahaa
 
Court Marshall anashtakiwa kwa makosa ya kijeshi tu. Uelewe hilo
 
Kwa hiyo mwanajeshi hata akifanya kosa lolote lile lazima apelekwe Court Martial?

Kuhusu huu ufisadi tuwekee na nyaraka namna alivofanya manunuzi bila taratibu za kisheria.
Na wewe tuwekee nyaraka za manunuzi zikiwa zimefuata utaratibu wa sheria ya manunuzi ya umma
 
Na wewe tuwekee nyaraka za manunuzi zikiwa zimefuata utaratibu wa sheria ya manunuzi ya umma
Kwenye Sheria tunasema "....who alleges must prove..."
Ww ukileta tuhuma unapaswa kuithibitisha. Ndio maana ukisema fulani kaniibia au fulani kanitukana unapaswa kuonyesha ndio huyo mtu anatafutwa sasa ajibu tuhuma zako.
Hivyo mleta mada ilipaswa aonyeshe ushahidi, ndio huyo mhidze ashtakiwe
 
Kama ni kweli hiyo ni shida Sana,ikiwa mwanajeshi wa daraja la juu anakuwa si mzalendo,Nani atakua!?
 
Back
Top Bottom