Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😁😄😃😃Kuna watu wanakesha usiku na mchana hapa kulinda Legacy feki, hili Taifa hili!
NakaziaKama ni kweli hiyo ni shida Sana,ikiwa mwanajeshi wa daraja la juu anakuwa si mzalendo,Nani atakua!?
Chawa WakeKayafa OUTPUT.....
Nenda pale Idofi kabla ya kufika Makambako ukitokea Mafinga, utakionaInamana kiwanda kipo kijijini kwao Lupembe??Embu fafanuwa! Maana kati ya Watanzania waaminifu na wazalendo kama Nyerere huyu ni mmoja wao na isitoshe Wanajeshi wapo kuilinda na kupigania ustawi wa nchi na watu wake. Sijawai sikia kuna Mwanajeshi amekamatwa kwa Ubadilifu ata siku moja.Kumbuka mpaka mkataba unasainiwa ni zaidi ya mwaka kama sio miaka- yeye ni msaini mikataba walio chini yake ndo wanaofaidika na all bad deals jua hilo. Tender Board na watu wa kitengo cha manunuzi wanawaangushia Ma MD majumba mabovu kila kukicha. Kwa huyu Jamaa nakataa kama alikuwa Ntu wa Dilli namfahamu na najua how serious alivyo
Usiushike Utatoka Na NyamaHuu msumari wa moto haushikiki.
Pole SanaNaandika nafuta naandika Nafuta......
CCM hoyeeeeee
Ninyi S. Gang mumepata wa kumsimanga wakati wa utawala wa Punguwani mlikuwa mumezificha Korodani zenu ndani kabisa huku Mkiabudu tu,Jemadari Tundu Lissu akiunguruma sasa mumempata Samia ndio mnajifanya Vidume Cowards.si bora huyo wa kwako unakutuma kunya jikoni 24hrs.
Wakosoaji kila utawala wanaibuka, hii ni ngumu kuizuia. Ni kweli wapo wa utawala uliopita waliofaidika na sasa hawafaidiki hivyo wameamua kukosoa.Ninyi S. Gang mumepata wa kumsimanga wakati wa utawala wa Punguwani mlikuwa mumezificha Korodani zenu ndani kabisa huku Jemadari Tundu Lissu akiunguruma sasa mumempata Samia ndio mnajifanya Vidume Cowards.
Mhidze ni majina yenye asili ya nchi flani upande wa afrika masahariki...😂
Swadakta! hayo maneno.Wakosoaji kila utawala wanaibuka, hii ni ngumu kuizuia. Ni kweli wapo wa utawala uliopita waliofaidika na sasa hawafaidiki hivyo wameamua kukosoa.
Na hata wapo wanaofaidika Sasa, akija mwingine akiwaweka pembeni wataanza kumkosoa. Ndio watu wa ccm walivyo.
Limekaa kirundi..?
Kuna watu wanakesha usiku na mchana hapa kulinda Legacy feki, hili Taifa hili!
Yote haya yamesababishwa na yule Punguwani kuweka Majeshi kwenye Taasisi.
Hao ndio majenerali wa Mwendazake, watu wa “legacy”.
Si jiwe alisema 'wajeda' ndo waaminifu?
Halafu mahakama ya mafisadi si ipo?
Kama bado ipo, ndiyo size ya huyo Mhidze
Magufuli alikuwepo hiyo August 2021?Ni watu waliowekwa na Punguwani wako na kutuaminisha kuwa sio wapigaji.
Mdau, kama hujui Mzee Magufuli alifariki lini, bora ukae kmy.Magufuli alikufa 2020 wewe unamhusisha na ufisadi wa 2021????
Jibu unalo ila unajirusha ufahamu.Magufuli alikuwepo hiyo August 2021?
Alikuwepo mwaka wa fedha wa 2020 - 2021, mwaka wa bajeti inayozungumziwa sasa, japo Mama nae alikuwepo.Magufuli alikuwepo hiyo August 2021?
Sijamaanisha nyie Bali mamlaka za uteuzi kuwateua wajeda Ni hatari ya kuwapaka matope ya siasa waachwe wafanye kazi za kada zao au Kama wamestaafu waachwe wacheze na wajukuu zao....Matope kampaka nani? Rushwa achukue yeye Mjeshi halafu sisi ndiyo unatuambia tumempaka matope.
Court Marshall anashtakiwa kwa makosa ya kijeshi tu. Uelewe hilo