Major General Mhidze aliyekuwa MSD apelekwe kwenye Court Martial

Major General Mhidze aliyekuwa MSD apelekwe kwenye Court Martial

Niseme tu haujui siasa na fitina za hii nchi. Huyu Mjeshi wanaomjua na kujua maisha yake wanakataa kabisa kuwa ni Mwizi na mbadhilifu .
Sema aliziba upigaji uliozoeleka pale MSD na ujue tu kuwa unapoziba upigaji MSD ni dhahiri utakuwa umegusa kundi kubwa sana la wafanyabiashara nje ya MSD na Wanasiasa, yaani ni Network moja kubwa sana ambayo ikiamua kukutengenezea zengwe ujue HUTACHOMOKAA na hoja za kuaminisha kasoro zako hazitakosekana hata kidogo.

Sio kwamba kwenye taasisi zingine hakuna kasoro za manunuzi au mbadhilifu , tena ukute kuna madudu makubwa sana lakini jiulize ni kwanini HAKUNA SOUND KAMA HIZI ZA MSD.
Ndo ajenge kiwanda kwao???ata kama ni uzuzu huu uko kiwango Cha lami
 
Hata hizi protocol za mwenezi akiwa anatua na ndege au kupaa unakuta wanajeshi wamejipanga kumpokea au kumuaga.
Yote haya yamesababishwa na yule Punguwani kuweka Majeshi kwenye Taasisi
 
Shida hawa ma general...wakiharibu huna Cha kuwafanya,kazi za kiraia haziwafai
 
Ukisema hii serikali ukamate wote waliokula hela, si utashika viongozi wote. Ccm na serikali yake imejaa wezi wa pesa za umma.

Nasi wananchi tusisahau kuiba pesa za umma
Join ze cheni imekusanya shilingi ngapi
 
Awamu ya 5 watu walifanya kazi kwa nidhamu ya uoga tu.

Kuwawekea pale watu mtu mwenye gwanda muda mwingi kuwatia hofu haikua busara.

Yule dikteta aliamini kuogopwa ndio ufanisi.
 
Ichunguzwe kama ni wizi wa kimataifa basi ijulikane[matapeli nao wapo], kama utaratibu ulifanyika na tukaibiwa vilevile hatutamlaumu. Kama haukufanyika basi awajibishwe

Hapa penyewe tuliangalie tu kwa ujumla, kuhusu kujenga kijijini ni safi tu ndio kusambaza maendeleo, sio kila kitu kijengwe Dar[mjini]. Hiyo 35B kama ndio gharama halisi tunamuacha, kama sio gharama halisi hapo awajibishwe. Tusiwe na ugumu sana wa kubadilisha mambo mtu amechukua hela ya serikali akajenga kiwanda cha serikali kwa ajili ya wananchi. Hata kama unajaribu kuionesha picha flani kana kwamba ni 'yeye ndo kafaidika' au ni 'wakwao' na familia yake tu jambo ambalo ni vispecific flani vinavyopoteza maana katika picha kubwa ya Taifa. Kiwanda hicho ni lazima tu kingejengwa kwa watu fulani, na kiwanja kingenunuliwa labda kwa mtu fulani.

Hadi watanzania tutakapojifunza kusifia mazuri zaidi ya kukemea mabaya ndio maisha yetu yatakuwa bora na furaha tutaiona. Tupunguze zile za mtu akinunua ndege, tunataka tuanze kuzungumzia angejenga vyoo 300 sijui na vitanda 500! We pima tu kiujumla je? hilo nalo ni faida kwa nchi au la?
Kwanini Serikali inunue eneo la kujengea kiwanda wakati karibia kila wilaya nchi Serikali imetenga industrial area?

Kwa hiyo Ile slogan ya 'Tanzania ya viwanda' kwamba kila wilaya itajenga viwanda 100, maana yake ni kuwa Serikali ingenunua maeneo kila wilaya? Ficha ujinga unapotoa mchango katika jukwaa kwenye watu diverse kama hii.
 
Kwanini Serikali inunue eneo la kujengea kiwanda wakati karibia kila wilaya nchi Serikali imetenga industrial area?

Kwa hiyo Ile slogan ya 'Tanzania ya viwanda' kwamba kila wilaya itajenga viwanda 100, maana yake ni kuwa Serikali ingenunua maeneo kila wilaya? Ficha ujinga unapotoa mchango katika jukwaa kwenye watu diverse kama hii.
Nipo hatua fulani inafanya nisifichefiche ujinga tena, nauweka wazi ili watu wauumbue nibaki na kitu sahihi. Nafikiri inajenga pia😴

Tukirudi kwenye hoja nimesemaa hivii; ichunguzwe, penye makosa awajibishwe, penye mema apongezwee. Hili suala la kuiona nusu ya upande wa kilichokosewa tu inakuponza mwenyewe na inatuponza kama taifa nakuambia.
 
Utawala wa mama umeanza kuwashughulikia mmoja mmoja bila kelele, bila kuwadhalilisha, wote watapelekwa kwenye mikono ya sheria ifate mkondo wake.

Kuna mwengine kishatumbuliwa leo kupisha uchunguzi.

Mtayasikia kila kukicha, wakuu wa mikoa, mawaziri na sehemu zote zilizotajwa na CAG wakae chon wawe na justificstions za kum prove wrong CAG, la sivyo wameenda na maji.

Mama kama siyo yeye vile, ndipo nnapompendea hapo. Tartiiib, hana mapapara kama bwana yule alivyokuwa.
 
Utawala wa mama umeanza kuwashughulikia mmoja mmoja bila kelele, bila kuwadhalilisha, wote watapelekwa kwenye mikono ya sheria ifate mkondo wake.

Kuna mwengine kishatumbuliwa leo kupisha uchunguzi.

Mtayasikia kila kukicha, wakuu wa mikoa, mawaziri na sehemu zote zilizotajwa na CAG wakae chon wawe na justificstions za kum prove wrong CAG, la sivyo wameenda na maji.

Mama kama siyo yeye vile, ndipo nnapompendea hapo. Tartiiib, hana mapapara kama bwana yule alivyokuwa.
kwa hiyo huwezi kumchambua mama bila kumtaja hayati
 
Mzizi wa matatizo ya MSD ni Major General Gabriel Mhidze aliyepekwa pale mwaka 2020 na Hayati Magufuli. Pamoja na kashfa ya matumizi mabaya ya fedha za UVIKO, kuna hizi 3 nazo lazima zifuatiliwe na TAKUKURU;

1. Mmamo August 2021 alilipa USD 1.5 Million kwa Kampuni ya Misri ambayo ni hewa. Hata utaratibu wa zabuni haukufanyika katika kuwapata ma supplier hao. Fedha zimepotea na hazitapatikana

2. Amejenga kiwanda cha MSD cha kutengeneza gloves kijijini kwake kwa thamani ya zaidi Tsh 35 Bilion bila Kufuata sheria ya MSD
  • Sheria ya Manunuzi
  • Hakuna Kibali cha Wizara wala Bodi
-Feasibility study

Kiwanda kipo kwenye shamba la Familia ambalo MSD imelinunua bila taratibu za zabuni.

Wanaweza wakawakamata vidagaa na kuwapeleka TAKUKURU lakini tatizo limesabanishwa na Major General mwenyewe. Aliwahamishia wizara nyingine wafanyakazi wote waliokuwa wanampinga anapovunja sheria.

Ni wakati sasa JWTZ wakampeleka akakabiliane na Mahakama ya Jeshi (Court Martial)
Wanajeshi hawatufai kwenye kazi za kiraia.
Ninaposikia eti apelekwe mahakama ya kijeshi naona upekee wa kumpa haki yake kibaka!
Mwizi ni mwizi tu.
 
Awamu ya 5 watu walifanya kazi kwa nidhamu ya uoga tu.

Kuwawekea pale watu mtu mwenye gwanda muda mwingi kuwatia hofu haikua busara.

Yule dikteta aliamini kuogopwa ndio ufanisi.
Huyo aliyesema hakuwemo kwenye hiyo awamu?
Maneno mengine haistahili kutamkwa mbele ya umma kama mtu ulikuwa ndani ya mfumo nahukuchukua hatua
 
Mzizi wa matatizo ya MSD ni Major General Gabriel Mhidze aliyepekwa pale mwaka 2020 na Hayati Magufuli. Pamoja na kashfa ya matumizi mabaya ya fedha za UVIKO, kuna hizi 3 nazo lazima zifuatiliwe na TAKUKURU;

1. Mmamo August 2021 alilipa USD 1.5 Million kwa Kampuni ya Misri ambayo ni hewa. Hata utaratibu wa zabuni haukufanyika katika kuwapata ma supplier hao. Fedha zimepotea na hazitapatikana

2. Amejenga kiwanda cha MSD cha kutengeneza gloves kijijini kwake kwa thamani ya zaidi Tsh 35 Bilion bila Kufuata sheria ya MSD
  • Sheria ya Manunuzi
  • Hakuna Kibali cha Wizara wala Bodi
-Feasibility study

Kiwanda kipo kwenye shamba la Familia ambalo MSD imelinunua bila taratibu za zabuni.

Wanaweza wakawakamata vidagaa na kuwapeleka TAKUKURU lakini tatizo limesabanishwa na Major General mwenyewe. Aliwahamishia wizara nyingine wafanyakazi wote waliokuwa wanampinga anapovunja sheria.

Ni wakati sasa JWTZ wakampeleka akakabiliane na Mahakama ya Jeshi (Court Martial)
Watu wa shujaa hao, wote wako juu ya sheria

Ni kama Sabaya
 
Mzizi wa matatizo ya MSD ni Major General Gabriel Mhidze aliyepekwa pale mwaka 2020 na Hayati Magufuli. Pamoja na kashfa ya matumizi mabaya ya fedha za UVIKO, kuna hizi 3 nazo lazima zifuatiliwe na TAKUKURU;

1. Mmamo August 2021 alilipa USD 1.5 Million kwa Kampuni ya Misri ambayo ni hewa. Hata utaratibu wa zabuni haukufanyika katika kuwapata ma supplier hao. Fedha zimepotea na hazitapatikana

2. Amejenga kiwanda cha MSD cha kutengeneza gloves kijijini kwake kwa thamani ya zaidi Tsh 35 Bilion bila Kufuata sheria ya MSD
  • Sheria ya Manunuzi
  • Hakuna Kibali cha Wizara wala Bodi
-Feasibility study

Kiwanda kipo kwenye shamba la Familia ambalo MSD imelinunua bila taratibu za zabuni.

Wanaweza wakawakamata vidagaa na kuwapeleka TAKUKURU lakini tatizo limesabanishwa na Major General mwenyewe. Aliwahamishia wizara nyingine wafanyakazi wote waliokuwa wanampinga anapovunja sheria.

Ni wakati sasa JWTZ wakampeleka akakabiliane na Mahakama ya Jeshi (Court Martial)
Apelekwe ukrain huyo kupigana na rusia😇🤣😅
 
Back
Top Bottom