Major General Mhidze aliyekuwa MSD apelekwe kwenye Court Martial

Major General Mhidze aliyekuwa MSD apelekwe kwenye Court Martial

Mzizi wa matatizo ya MSD ni Major General Gabriel Mhidze aliyepekwa pale mwaka 2020 na Hayati Magufuli. Pamoja na kashfa ya matumizi mabaya ya fedha za UVIKO, kuna hizi 3 nazo lazima zifuatiliwe na TAKUKURU;

1. Mmamo August 2021 alilipa USD 1.5 Million kwa Kampuni ya Misri ambayo ni hewa. Hata utaratibu wa zabuni haukufanyika katika kuwapata ma supplier hao. Fedha zimepotea na hazitapatikana

2. Amejenga kiwanda cha MSD cha kutengeneza gloves kijijini kwake kwa thamani ya zaidi Tsh 35 Bilion bila Kufuata sheria ya MSD
  • Sheria ya Manunuzi
  • Hakuna Kibali cha Wizara wala Bodi
-Feasibility study

Kiwanda kipo kwenye shamba la Familia ambalo MSD imelinunua bila taratibu za zabuni.

Wanaweza wakawakamata vidagaa na kuwapeleka TAKUKURU lakini tatizo limesabanishwa na Major General mwenyewe. Aliwahamishia wizara nyingine wafanyakazi wote waliokuwa wanampinga anapovunja sheria.

Ni wakati sasa JWTZ wakampeleka akakabiliane na Mahakama ya Jeshi (Court Martial)
Naunga mkono hoja,akaambatane na Hawa majizi wenzake 👇

Screenshot_20220517-161644.png


Screenshot_20220517-151810.png


Screenshot_20220517-151719.png
 
Kuna watu wanakesha usiku na mchana hapa kulinda Legacy feki, hili Taifa hili!
Legacy ni feki kwa wapumbavuu kama wewe ...sasa kama huyo meja ni mwizi kwanini wasimtumbue na kumfunga jela hapo utagundua wezi ndiyo wanatafuta nafasi ,kwa visingizio
 
Mzizi wa matatizo ya MSD ni Major General Gabriel Mhidze aliyepekwa pale mwaka 2020 na Hayati Magufuli. Pamoja na kashfa ya matumizi mabaya ya fedha za UVIKO, kuna hizi 3 nazo lazima zifuatiliwe na TAKUKURU;

1. Mmamo August 2021 alilipa USD 1.5 Million kwa Kampuni ya Misri ambayo ni hewa. Hata utaratibu wa zabuni haukufanyika katika kuwapata ma supplier hao. Fedha zimepotea na hazitapatikana

2. Amejenga kiwanda cha MSD cha kutengeneza gloves kijijini kwake kwa thamani ya zaidi Tsh 35 Bilion bila Kufuata sheria ya MSD
  • Sheria ya Manunuzi
  • Hakuna Kibali cha Wizara wala Bodi
-Feasibility study

Kiwanda kipo kwenye shamba la Familia ambalo MSD imelinunua bila taratibu za zabuni.

Wanaweza wakawakamata vidagaa na kuwapeleka TAKUKURU lakini tatizo limesabanishwa na Major General mwenyewe. Aliwahamishia wizara nyingine wafanyakazi wote waliokuwa wanampinga anapovunja sheria.

Ni wakati sasa JWTZ wakampeleka akakabiliane na Mahakama ya Jeshi (Court Martial)

Tusaidie kuelewa kwanza. Dokumenti za kufanya malipo zilitoka wapi hadi Mkurugenzi wa fedha alipe ? Na Mkurugenzi wa fedha yupo wapi?
Je kwenye manunuzi ya Umma, watu wanalipwa cash au kuna kuwa na kibali cha Hazina, na Attorney General.... waliwezaje kulipa pesa zote bila mwanasheria mkuu, Hapo AG nae akamatwe ... Labda anahusika

Nilishawahi kusema JF kuwa JPM aliharibu nchi kwa kuweka wanajeshi kwenye taasisi za umma, kuna Yule wa takukuru nae alizingua sana , halafu shida kubwa ya hawa watu, wakishazingua na kupiga hela , mahakama haziwagusi kisa mjeshi. Katiba mpya inahitajika. Hawa wajeshi kwanza wakae mbali na tasisi za umma lakini pia wanapofanya makosa kama haya waadhibiwe kwq mujibu wq shria.

Pesa zote zimelipajwe, au walifoji nyaraka ?
 
Niseme tu haujui siasa na fitina za hii nchi. Huyu Mjeshi wanaomjua na kujua maisha yake wanakataa kabisa kuwa ni Mwizi na mbadhilifu .
Sema aliziba upigaji uliozoeleka pale MSD na ujue tu kuwa unapoziba upigaji MSD ni dhahiri utakuwa umegusa kundi kubwa sana la wafanyabiashara nje ya MSD na Wanasiasa, yaani ni Network moja kubwa sana ambayo ikiamua kukutengenezea zengwe ujue HUTACHOMOKAA na hoja za kuaminisha kasoro zako hazitakosekana hata kidogo.

Sio kwamba kwenye taasisi zingine hakuna kasoro za manunuzi au mbadhilifu , tena ukute kuna madudu makubwa sana lakini jiulize ni kwanini HAKUNA SOUND KAMA HIZI ZA MSD.

Acha porojo, onesha upogagi aliozuia ; hata JPM alisema kazuia mafisa... kumbe yeye ndio alikuwa fisadi namna moja. Ya kuambiwa changanya na yako
 
tuheshimu sana vyombo vya usalama katika mijadala yetu
Haiingii akilini kabisa, yaani wizi wa Major General mmoja ni suala la vyombo vya usalama??
 
Watu wanaongea tu et lilikuwa eneo lake watu wamelipwa fidia ndo kiwanda kikaanza kujengwa et kijijini kwa kwao Ni lupembe na si idofi sema Ni wivu tu kuwa kwanini kimejengwa ukanda huu maana mlinganganiana sana

Ila fanya analysis, utoe mali ghafi pale bandari hadi huko idofi- Makambako. Uzalishe hizo mipira kisha uanze kusafirisha bidhaa kuja Dar na maeneo mengi ; nauliza maamuzi ya kufanya hivi yalikuwa ni ya menejiment au yake binafsi.. kama ni menejment, basi menejment nzima itoke, wametia nchi hasara. Walikosa eneo kibaha au bagamoyo ? Halafu hizi tabia za watu wa kanda ya ziwa ni wabinafsi sana na wanatamani kila kitu kiwe kwao.

Tujifunze kama taifa nchi hii asipewe tena mtu wa ukanda wa ziwa, ni watu wabinafsi na roho mbaya kama nguruwe ni jamii ya uncivilized society na wanaukabila sana. Isijurudie tena nchi hii ikamatwe na huu ukanda wa ziwa.... hawa ni watu wa mwituni na wengi wao sio watanzania
 
Ila fanya analysis, utoe mali ghafi pale bandari hadi huko idofi- Makambako. Uzalishe hizo mipira kisha uanze kusafirisha bidhaa kuja Dar na maeneo mengi ; nauliza maamuzi ya kufanya hivi yalikuwa ni ya menejiment au yake binafsi.. kama ni menejment, basi menejment nzima itoke, wametia nchi hasara. Walikosa eneo kibaha au bagamoyo ? Halafu hizi tabia za watu wa kanda ya ziwa ni wabinafsi sana na wanatamani kila kitu kiwe kwao.

Tujifunze kama taifa nchi hii asipewe tena mtu wa ukanda wa ziwa, ni watu wabinafsi na roho mbaya kama nguruwe ni jamii ya uncivilized society na wanaukabila sana. Isijurudie tena nchi hii ikamatwe na huu ukanda wa ziwa.... hawa ni watu wa mwituni na wengi wao sio watanzania
Huwa nafuatilia sana Comments zako. Kiukweli unaonekana umejawa na HUSUDA, CHUKI NA MAJUNGU. Hakika huko kazini kwako cha moto wanakipata.

Nina uhakika kila kitengo ulichokaa huko umefarakanisha sana wenzako na hata wasio na hatia. Unajua mpiga majungu akikaa sehemu hakuna mabaya yeye atatengeneza tu ili wenzake waharibikiwe, wahamishwe nk. Ndiyo furaha yake
 
Naandika nafuta naandika Nafuta......

CCM hoyeeeeee
Hata hawa CDM hawajapata tu ridhaa ya kuwa watawala, ni wezi tu 😁😁 kama hadi nyaraka za chama kama mihuri /sahihi za viongoz inaibiwa / kughushiwa na kuwekwa kwenye uthibitisho wa covid 19 unafikiri wakipewa nchi wataiba vingapi?
 
Mzizi wa matatizo ya MSD ni Major General Gabriel Mhidze aliyepekwa pale mwaka 2020 na Hayati Magufuli. Pamoja na kashfa ya matumizi mabaya ya fedha za UVIKO, kuna hizi 3 nazo lazima zifuatiliwe na TAKUKURU;

1. Mmamo August 2021 alilipa USD 1.5 Million kwa Kampuni ya Misri ambayo ni hewa. Hata utaratibu wa zabuni haukufanyika katika kuwapata ma supplier hao. Fedha zimepotea na hazitapatikana

2. Amejenga kiwanda cha MSD cha kutengeneza gloves kijijini kwake kwa thamani ya zaidi Tsh 35 Bilion bila Kufuata sheria ya MSD
  • Sheria ya Manunuzi
  • Hakuna Kibali cha Wizara wala Bodi
-Feasibility study

Kiwanda kipo kwenye shamba la Familia ambalo MSD imelinunua bila taratibu za zabuni.

Wanaweza wakawakamata vidagaa na kuwapeleka TAKUKURU lakini tatizo limesabanishwa na Major General mwenyewe. Aliwahamishia wizara nyingine wafanyakazi wote waliokuwa wanampinga anapovunja sheria.

Ni wakati sasa JWTZ wakampeleka akakabiliane na Mahakama ya Jeshi (Court Martial)
Harafu Kuna kenge kwenye jamii yetu Bado wanataka kutuaminisha kwamba ukipeleka vijana jkt wanaenda kujifunza uzalendo!!sasa huyu ni jwtz Tena ofisa wa ngazi za juu kabisa,lakini ni useless,mwizi kama vibaka wengine,
 
Kuna watu wanakesha usiku na mchana hapa kulinda Legacy feki, hili Taifa hili!
hakuna wakati mbovu tangu tupate uhuru kama toka 2016 - 2021 - Hii miaka tumepoteza Utu, wizi ukazidi Tunu na tukaanza kufanyiana mambo ya hovyo hovyo.

Ni kweli Legacy feki imewashinda, bado wapo kwenye Dibaji.
 
Sisi tunamjadili The former CEO wa MSD

Una haki ya kujadili yoyote yule Mkuu
Hata jeshi la Nigeria bajeti ya kununua silaha ili wapigane na Boko Haram waliziiba wanajeshi wenye vyeo vikubwa na matokeo yao walipigwa wanajeshi mpaka wakakimbia

Ila lilijadiliwa na dunia ikajua kuwa wajeda walipiga mpaka hela za kununua helicopters na mizinga
Jadili tu
 
Kuna watu wansema tusiseme vibaya kwa sababu ni mwanajeshi. Watanzania tuna kosa sana exposure. Nchi ambazo demokrasia imekoo, hata Rais anashitakiwa ... achilia mbali huyu Meja General wa Mchongo.
Kwanza mwendaze alikuwa anatoa vyeo kikanda.... usikute hata huyu alimpa huo u meja kwa ukanda. Kama kuna upotevu na unadhirifu wa mali za umma, iongewe wazi na isemwe bila woga, hakuna aliye juu ya sheria Hata rais hayupo juu ya sheria seuzi huyo meja gen.
Na haya ni masalia ya mwendazake kunyanganya wananchi ajira na kuwapa wanajeshi... ili baadae angeongeza muda wasiwe na say. Mama safisha kote kwenye wqnajeshi kwenye taasisi za umma. Taasisi za umma ziachiwe raia, mwendazake alitukosea heshima.

Kama tunazungumza mazuri ya JPM , na mabaya yake tuyaseme ; kuna mazuri alifanya na kuna mabaya kama haya ya kupora taasis za umma alifanya. Unamuwekaje mtu kwenye taasisi za umma zenye siasa ndani yake huko akifanya ubadhilifu huwezi kumshitaki kirahisi, na wanajeshi wengi sana ni janja janja kwa kigezo cha uzalendo, na wakifanya makosa wnaasingizia raia ... ni wapigaji sana kama yule jamaa wa takukuru akasingizia watumishi wa kawaida.
isijirudie tena kuweka kanda ya ziwa kwenye urais... hawa watu ni roho mbaya, wabinafsi na ni uncivilized .
Hatukufikia hatua ya kupigana Risasi mchana kweupe Tanzania, hatukufia hatua ya kupotea, yupo wapi Ben saanane.... kijana mdogo kamwagiwa tindikali bila hatia. Isijirudie tena kanda ya ziwa kupewa uongozi wowote wa juu. CCM tunachakujifunza kwa tuliyopitia
 
Back
Top Bottom