Tinaombeni majibu wanakijani, kabla sijachara ntu bakora.Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?
Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.
Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.
January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.
Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Wewe acha kutafuta Huruma hapa JF, Kwa kifupi huyo JM mnayempigia upatu ni anabebwa na jina la Mzee wake. Hana maaajabu yoyote kwenye Utendajikazi wake ni mweupe kabisaaa. Halafu Hawa watoto mlioenda kuwasomesha nje ya Nchi sjui Ulaya na America dizain ya huyu Mswanglish na Uongozi wa Nchi zetu za Dunia ya 3 hawawezi hata kuongoza kwenye ngazi ya Kata sembuse kuongoza Wizara??Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?
Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.
Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.
January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.
Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?
Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.
Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.
January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.
Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Nacheka kwa dharauuuuuuuuKuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?
Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.
Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.
January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.
Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Sukuma Kingdom is going down slowly and nicelyexpand...
Sema pia kuwa ndio mtaji wetu hapa kijani.Majungu ni sehemu ya siasa!
Laana yakumfunga bila sababu🤔
Na nyie mmeanzisha majugu kwa Bitteko ili kusawazisha?Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?
Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.
Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.
January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.
Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Doto anatumia nafasi hiyo kupora. Kule imweru geita kuna kilio cha wachimbaji kufukuzwa na mwekezaji mmojaNa nyie mmeanzisha majugu kwa Bitteko ili kusawazisha?
Nayeye ameanza kuwapa posho mumsafishe? Inamaaa hajui kwamba umeme unakatwa auKuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?
Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.
Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.
January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.
Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Hata Ufipa ndio maana Halima Mdee na wenzake wanateseka!Sema pia kuwa ndio mtaji wetu hapa kijani.
Yeye mwenyewe anajichanganya atulize akili
Sasa hivi hatutaki kudanganywa Kama tulivyodanganywa na majaliwa.
Chawa kama Chawa katika ubora wako.Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?
Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.
Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.
January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.
Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Unaweza kukuta wewe mwenyewe hata hujawahi kuongoza kikundi cha kikoba [emoji12][emoji12][emoji12]Wewe acha kutafuta Huruma hapa JF, Kwa kifupi huyo JM mnayempigia upatu ni anabebwa na jina la Mzee wake. Hana maaajabu yoyote kwenye Utendajikazi wake ni mweupe kabisaaa. Halafu Hawa watoto mlioenda kuwasomesha nje ya Nchi sjui Ulaya na America dizain ya huyu Mswanglish na Uongozi wa Nchi zetu za Dunia ya 3 hawawezi hata kuongoza kwenye ngazi ya Kata sembuse kuongoza Wizara??
Huyo Bw. Mdogo amewekwa kulinda Maslahi ya Wala Nchi ili IPTL and the like warudi kuliiibia Taifa. Matokeo yake tushaanza kuyaona.