Majungu na fitina dhidi ya Waziri wa Nishati nani yupo nyuma?

Majungu na fitina dhidi ya Waziri wa Nishati nani yupo nyuma?

Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?

Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.

Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.

January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.

Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Ukoo wa panya huwa na tabia za kufanana
 
mimi huwa situmwi na wala hakuna wa kunituma, pia huwa singoji kutumwa bali najituma mwenyewe kama mzalendo kwa Nchi yangu na kwa viongozi wangu.

Nikiwa Mkiristu safi nafundishwa ktk Biblia kutii Mamlaka.

Sipendi kuona viongozi wakichafuliwa bila sababu zaidi ya chuki binafsi.

Hayo mambo ya kiutawala wa ndani siwezi kuyajua.
kila ofisi ina utaratibu wake wa kutoa habari.

Tuache kumchafua Makamba kwa chuki binafsi na dhana zisizo za msingi, tumuache achape kazi, kama kuna tatizo tumshauri kwa masilahi ya Nchi.
Hapo kuna picha tu ya waziri. Soma hayo mzungu yake dhidi ya JPM

View attachment 2017633
 
Ndiyo kakutuma uje kumtetea kijinga namna hii!!

1. Unakumbuka alimwita katibu mkuu wake aende ofcn kwake kujieliza kwamba ni kwa nini ametoa taarifa ya uongo kwamba kuna upungufu wa maji katika mabwawa ya umeme. Je hiyo taarifa ya katibu ilikuwa ni ya uongo?

2. Unakumbuka alitwit kwamba tatizo la umeme linalojitokeza sasa ni kwa sababu ya ubovu wa mitambo. Kwamba awamu ya 5 mafundi waliogopa kuzima mitambo ya umeme ili kuifanyia matengezo kwa kuhofia kutumbuliwa. Je ni kweli kwamba tatizo lililopo la umeme chanzo ni ubovu wa mitambo?

Ukipata majibu ya maswali hayo utaacha tabia ya kijipendekeza kijinga. Na kama wewe ni ME wazazi wako wana hasala.
wazazi wako wana hasala ## hasara. Ulikuwepo wakati ana mwita Katibu Mkuu ofisini kwake?. Fabrication [emoji2][emoji2]
 
Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?

Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.

Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.

January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.

Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Mtu mwenyewe kiuno saizi ya Wabogojo kapewa pensi ya Pepe Kale, uwezo wake ndio umeishia hapo.
 
Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?

Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.

Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.

January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.

Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Mkuu amekutuma umsemee au wewe ndiye Makamba mwenyewe unayetaka kujikosha matope uliyoyavagaa?

Hivi kuna kiongozi Tz anapendwa kwa sura ama wajihi?

Mapenzi ama chuki za raia kwa kiongozi yeyote hutokana na utendaji kazi wake.

Kwa mfano, kwa nafasi ya Makamba, kiongozi aliyemtangulia ulisikia kuna kelele za wananchi?

Sababu huduma katika wizara hiyo zilikuwa bora na za kuridhisha.

Lakini alivyoingia yeye, tayari makando kando yakaanza kujitokeza, kuanzia kauli na utendaji wake.

Hata wewe unaye mpigia kampeni hapa ni shahidi, hali ya umeme ilivyo tete nchini, ni nani wa kulaumiwa sasa!

Nilitegemea wewe uliyekuja kumpaka mafuta hapa utueleze kwanza yeye hahusiani vipi na huu mgao wa hovyo wa umeme, maana nchi nzima imekasirika kutokana na adha wanayoipata watu na sababu zinazotolewa ni za kishenzi.

Kukatizwa kwa umeme kumesababisha hata sehemu zisizokuwa na shida ya maji, nao waanze mgao wa maji kutokana na mitambo inayosukuma maji kutegemea nishati ya umeme.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?

Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.

Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.

January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.

Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Hatuna waziri pale ,tumepigwa huo ndo ukweli.
 
Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?

Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.

Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.

January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.

Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
We nawe mlamba viatu kama wale wengine tu,sasa aendelee kupinga kazi ipi wakati kazi yake inatia hasara huku
 
Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?

Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.

Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.

January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.

Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
yani ummeamua ku create mgao wa umeme ili muanze project zenu za gesi asilia wakati bwawa hamjamaliza na mnataka kuli abandone hii kitu itawagalimu sana
 
Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?

Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.

Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.

January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.

Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.

nyuma yake upo wewe kumsifia mpuuzi mwenzio
 
Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?

Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.

Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.

January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.

Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Wasukuma,na watu wa dini, na Kuna kikundi kinalipwa na Karriman kumchafua makambajr
 
Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?

Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.

Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.

January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.

Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Ni wapuuzi wa msukule Mwendazake
 
Vimalaika vya yule Blackman vinapigapiga mateke ya mwisho mwisho😅😅😅😅😅😅
 
Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?

Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.

Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.

January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.

Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Kazi bila Majungu haiendi
 
Back
Top Bottom