Majungu na fitina dhidi ya Waziri wa Nishati nani yupo nyuma?

Majungu na fitina dhidi ya Waziri wa Nishati nani yupo nyuma?

[emoji3525]
IMG_20211120_135120.jpg
 
Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?

Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.

Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.

January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.

Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Ni fitna tu.....

Angalia hili.....

Wameeneza uongo kuwa mkurugenzi wa TPDC ndiye mwenye mamlaka ya kuisemea STOCK ya mafuta mbali kabisa na UHALISIA wa mhusika ambaye ni KAMISHNA WA PETROLI NA EWURA 🤣🤣🤣

Nchi ngumu hii ......
 
Wewe acha kutafuta Huruma hapa JF, Kwa kifupi huyo JM mnayempigia upatu ni anabebwa na jina la Mzee wake. Hana maaajabu yoyote kwenye Utendajikazi wake ni mweupe kabisaaa. Halafu Hawa watoto mlioenda kuwasomesha nje ya Nchi sjui Ulaya na America dizain ya huyu Mswanglish na Uongozi wa Nchi zetu za Dunia ya 3 hawawezi hata kuongoza kwenye ngazi ya Kata sembuse kuongoza Wizara??
Huyo Bw. Mdogo amewekwa kulinda Maslahi ya Wala Nchi ili IPTL and the like warudi kuliiibia Taifa. Matokeo yake tushaanza kuyaona.
Chukua soda kwa Mangi mkuu, mimi nitalipa.
 
Ni fitna tu.....

Angalia hili.....

Wameeneza uongo kuwa mkurugenzi wa TPDC ndiye mwenye mamlaka ya kuisemea STOCK ya mafuta mbali kabisa na UHALISIA wa mhusika ambaye ni KAMISHNA WA PETROLI NA EWURA [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nchi ngumu hii ......
Tunamuomba Rais wetu Samia kamwe asikubali kuyumbishwa wala kubabishwa na makelele ya VYURA.
 
Kwani uongo??,Ni dhahiri shairi kuwa jamaa Wizara imemshinda,kila Siku umeme unakatika, Mbona enzi za Kalemani ishu hizo hazikuwepo??.
Ngoja atatimua Watendaji wa TANESCO WOTE wale wanao muhujumu wanafahamika.
siku zao zinahesabika.
 
Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?

Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.

Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.

January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.

Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.

Mwambie afanye hivi ahakikishe umeme haukatiki kwenye utawala wake, unaunganishwa na kuwafikia vijiji, miji yote kwa bei nafuu.

Huyu ambaye aliiba mitihani akatimuliwa, kwenye wizara ya mawasiliano akaleta sheria za kudhibiti vyombo vya habari, wizara ya mazingira ikamshinda.

Huyuhuyu aliyechukua zaidi bilioni moja NSSF kinyume na sheria, aliyeiba kura na mwenzake Nape Masaki uchaguzi wa 2015, kigogo wetu, aliyefanya campaign kubwa kuichafua serikali. Hafai kuongoza hata kijiji. Ale bata huko Masaki, wameiba vya kutosha.

Ukimuacha yote yatajirudia na pamoja na kuratibu kuua uchaguzi ujao, campaign ya fitina dhidi ya upinzani na yoyote potential na kubana zaidi mitandao.
 
Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?

Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.

Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.

January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.

Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Ndiyo kakutuma uje kumtetea kijinga namna hii!!

1. Unakumbuka alimwita katibu mkuu wake aende ofcn kwake kujieliza kwamba ni kwa nini ametoa taarifa ya uongo kwamba kuna upungufu wa maji katika mabwawa ya umeme. Je hiyo taarifa ya katibu ilikuwa ni ya uongo?

2. Unakumbuka alitwit kwamba tatizo la umeme linalojitokeza sasa ni kwa sababu ya ubovu wa mitambo. Kwamba awamu ya 5 mafundi waliogopa kuzima mitambo ya umeme ili kuifanyia matengezo kwa kuhofia kutumbuliwa. Je ni kweli kwamba tatizo lililopo la umeme chanzo ni ubovu wa mitambo?

Ukipata majibu ya maswali hayo utaacha tabia ya kijipendekeza kijinga. Na kama wewe ni ME wazazi wako wana hasala.
 
Ndiyo kakutuma uje kumtetea kijinga namna hii!!

1. Unakumbuka alimwita katibu mkuu wake aende ofcn kwake kujieliza kwamba ni kwa nini ametoa taarifa ya uongo kwamba kuna upungufu wa maji katika mabwawa ya umeme. Je hiyo taarifa ya katibu ilikuwa ni ya uongo?

2. Unakumbuka alitwit kwamba tatizo la umeme linalojitokeza sasa ni kwa sababu ya ubovu wa mitambo. Kwamba awamu ya 5 mafundi waliogopa kuzima mitambo ya umeme ili kuifanyia matengezo kwa kuhofia kutumbuliwa. Je ni kweli kwamba tatizo lililopo la umeme chanzo ni ubovu wa mitambo?

Ukipata majibu ya maswali hayo utaacha tabia ya kijipendekeza kijinga. Na kama wewe ni ME wazazi wako wana hasala.
mimi huwa situmwi na wala hakuna wa kunituma, pia huwa singoji kutumwa bali najituma mwenyewe kama mzalendo kwa Nchi yangu na kwa viongozi wangu.

Nikiwa Mkiristu safi nafundishwa ktk Biblia kutii Mamlaka.

Sipendi kuona viongozi wakichafuliwa bila sababu zaidi ya chuki binafsi.

Hayo mambo ya kiutawala wa ndani siwezi kuyajua.
kila ofisi ina utaratibu wake wa kutoa habari.

Tuache kumchafua Makamba kwa chuki binafsi na dhana zisizo za msingi, tumuache achape kazi, kama kuna tatizo tumshauri kwa masilahi ya Nchi.
 
Kwa kweli yatawashinda mahasidi wote wanaomsakama Januari!

Watatahayari!
 
Hofu ya kukubalika kama rais mtarajiwa.
 
Wewe #Matola mleta mada ni nani yuko NYUMA YAKO?
 
Back
Top Bottom