Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,076
- 3,416
Kwahiyo umejibu swali kwamba sukuma gang ndio iko nyuma ya hayo majungu? Bure kabisa.Majungu yao walianzisha na zile audio za kumkashifu Hayati Magufuli, upandacho ndicho utavuna
Sent from my G3121 using JamiiForums mobile app
Tulia Msoga gang...Kwahiyo umejibu swali kwamba sukuma gang ndio iko nyuma ya hayo majungu? Bure kabisa.
Anachapa kazi gani?Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?
Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.
Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.
January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.
Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Majungu gani na fitina mzee ? upandacho duniani utalipwa kwa kipimo kile kile jinsi walivyompiga majungu jpm kama kina kigogo 2014,mange kimambi na huyo wanaemwita Tobias marandu malipo ni hapa hapa dunianiKuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?
Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.
Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.
January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.
Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Anachapa kazi gani?
Sasa kuongea ndio utendaji kazi sisi tunataka umeme uwake na ushuke bei mambo ya misoga na visasili
Gabaseyuuu gwarugwee[emoji2][emoji2][emoji2]Kwahiyo umejibu swali kwamba sukuma gang ndio iko nyuma ya hayo majungu? Bure kabisa.
Sasa kuongea ndio utendaji kazi sisi tunataka umeme uwake na ushuke bei mambo ya misoga na visasili
vipi mzee ulitaka ashike spana?[emoji1787][emoji1787]Sasa kuongea ndio utendaji kazi sisi tunataka umeme uwake na ushuke bei mambo ya misoga na visasili
Usilete ujinga kwenye maisha ya wengi.....Ina maana hujui kuwa umeme umeshikilia maisha ya watu?Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?
Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.
Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.
January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.
Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
punguza chuki mkuu.Usilete ujinga kwenye maisha ya wengi.....Ina maana hujui kuwa umeme umeshikilia maisha ya watu?
Hujui kwamba Kuna watu biashara zao zinategemea umeme?
Hujui kuwa huduma hii tunailipia lakini pia Tanesco inaendeshwa kwa Kodi ya walala hoi?
Unafikiri Tanesco ni ya ukoo wa waziri tuhudumiwe wanavyojisikia?
Kwanini waziri aingie ndio choko zianze?
Unafikiri watanzania ni wajinga hawaoni upumbavu unaoendelea?
Mpuuzi kabisa wewe.
Bwana Makamba tumekusikiaKuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?
Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.
Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.
January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.
Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
hakuna yeyote anaye penda mgao.Bwana Makamba tumekusikia
hatutaki mgao
Anafanya kazi nzuri, kukata umeme bila maelezo, kuongea bila vitendo, kutoa takwimu za mafuta bila kuwa na vielelezo, safi sanaKuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?
Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.
Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.
January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.
Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.