Majuto ni mjukuu: Jokate anajuta kuifahamu CCM

Mbona Wema hajuti kuifahamu chadema!
 
Kisha wapa tamu wamemtosa!ccm wanakuona wama aana wanapotaka kitu kwako wakishapata wanakutupa muulize manji na kagoda yake
Plus,Diamond, original comedy,dr shika,Anton Diallo,Mange,Shigongo,Marlow mzee wa pii..pii.bongo movies,nk walishatumika na ccmiz wakabwagwa.Hivo awe mpole,watamkumbuka hata ukuu wa wilaya asife moyo.
 
Shauri zao,

Wengine wanampenda Malaika balaaa.
ukweli ni kwamba huyu mtu akiondoka ccm italipuka kwa furaja nchi nzima , huyu mtu hapendwi sijapata kuona ! kikwete aneua kabisa ccm .
 
Duuh! Kwa hiyo.... CCM hawasuki nywele[emoji16][emoji16][emoji16] hiyo kiboko!![emoji125][emoji125][emoji125]
 
Namuoa huyu binti ntatuma picha !!! Love you dear hata hich kipind cha shida hatutoachana
 
Na mzigo wake wametumia sana hadi kwanza kuwa mbibi maskini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…