Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini ??, walikunyima kitumbua nini ??.Wanyakyusa hapo sikubali hata kwa ngumi
Una visa na Wanakyusa wewe sio bure.Hiyo 10 ondoa aisee,
Mbona mnawakataa hawa watu?Wanyakyusa.???
You Must Be Mad...
Tena level za kwenda Milembe kabisa..
Inaonekana Hujui usemacho.No 1 na 2 ptuuu,labda weupe tu
Mxiew wanaume ndo wanamacho peke yao,na unajuaje me nijinsia ganiInaonekana Hujui usemacho.
Hii kazi waachie wanaume..wajiachie...
Jamani mtuacheWanyakyusa hapo sikubali hata kwa ngumi
Hiyo 10 ondoa aisee,
Wanyakyusa watoe
Wanyakyusa.???
You Must Be Mad...
Tena level za kwenda Milembe kabisa..
Wanyakyusa?
Wanyakyusa sio kweli
Wanyakyusa wanapenda kujichubua hao
wanyakyusa watoe...........ila ni wazuri wa sura au maumbile?
namba 10 imezua balaa, inabidi nifunge safari ya nyanda za juu kusini nikajionee yaliyomo yamo..?
Kumbe hata Wanyakyusa wamo!
Wakina Naibu spika sikubar
4,7,10 A big NO!
Mkuu wanyakyusa umewaweka kwa kigezo gani
Huu ni ukweli unaoniuma ila ndo hivyo ntafanyaje inabidi niukubali kwa shingo upandeZunguka Tanzania nzima:-
Ukweli mchungu ni kuwa
wanawake wazuri zaidi nchini wako kwa Ranki hii hapa.:-
1. Kanda ya Kaskazini.
Ambapo ikibebwa na Kilimanjaro. Tanga. Arusha. Manyara. Hapa kuna (Beauty with Brain)
2. Kanda Ya Ziwa. Ambapo ikibebwa na Mwanza, Mara. Shinyanga
3. Kanda ya Kati ikibebwa na Singida na kwa sehemu Dodoma .
2. Kanda ya Pwani ikibebwa na Pemba na Dar Es Salaam.
4. Kanda ya kusini.
5. Kanda ya Nyanda za Juu. Ikishika Mkia.
Nasisitiza uzuri unahusisha Umbo, Rangi, Sura na kimo.
Sipendi bias mimi.
Amina Mkuu.Huu ni ukweli unaoniuma ila ndo hivyo ntafanyaje inabidi niukubali kwa shingo upande
hakuna mgogo mzuri.wengi wako kama wawindaji haramuMheshimiwa Spika;
Kwakua sijaona WAGOGO kwenye orodha yako basi utafiti wako nauona kama batili.
Au makao makuu ya nchi hujawahi kufika..???
Siku hizi wamepitia evolution wana maumbo namba nanewachaga wazuri usoni.ila maumbo yao kama PARACHICHI
MMHH..labdaaaaa...Siku hizi wamepitia evolution wana maumbo namba nane
Wee pita pita mtaani ukiona dada ana wowowo kiuno nyigu muulizie jina lake utasikia anaitwa mankaMMHH..labdaaaaa...
kama na snura ni mchaga..basi NMETENGUA KAULIWee pita pita mtaani ukiona dada ana wowowo kiuno nyigu muulizie jina lake utasikia anaitwa manka
Mwangalie Snura