Nimkimbilie nani
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 5,996
- 6,290
Hahaha hahaha hahaha safiiiWasonjo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha hahaha hahaha safiiiWasonjo
Nahisi wasuks wanaongoza sema hawajui kujiremba tu. Mtakataa ila ukweli ndo huoZunguka Tanzania nzima:-
Ukweli mchungu ni kuwa
wanawake wazuri zaidi nchini wako kwa Ranki hii hapa.:-
1. Kanda ya Kaskazini.
Ambapo ikibebwa na Kilimanjaro. Tanga. Arusha. Manyara. Hapa kuna (Beauty with Brain)
2. Kanda Ya Ziwa. Ambapo ikibebwa na Mwanza, Mara. Shinyanga
3. Kanda ya Kati ikibebwa na Singida na kwa sehemu Dodoma .
2. Kanda ya Pwani ikibebwa na Pemba na Dar Es Salaam.
4. Kanda ya kusini.
5. Kanda ya Nyanda za Juu. Yaani Mbeya na viunga vyake inashika Mkia.
Nasisitiza uzuri unahusisha Umbo, Rangi, Sura na kimo.
Sipendi bias mimi.
Hahaha aisee hapo ndo alipofeliWanyakyusa hapo sikubali hata kwa ngumi
Lazima utakua kipofu wewe haki ya Mungu vile!!!1.warangi
2.wanyaturu
3.wameru
4.wamasai
5.wasukuma
6.wachagga
7.wahaya
8.wanyamwenzi
9.wapare
10.wanyakysa
Babeq[emoji3][emoji3][emoji3]warangi ni waajabu sana! Sura nzuri ila mguu kama tubelight!
Hiyo itakua Sio kweli.Nahisi wasuks wanaongoza sema hawajui kujiremba tu. Mtakataa ila ukweli ndo huo
Kanda ya ziwa imebebwa na simiyu kwa uzuri, mwanza inafatia, shy, kagera, geita, mwisho kabisa n maraZunguka Tanzania nzima:-
Ukweli mchungu ni kuwa
wanawake wazuri zaidi nchini wako kwa Ranki hii hapa.:-
1. Kanda ya Kaskazini.
Ambapo ikibebwa na Kilimanjaro. Tanga. Arusha. Manyara. Hapa kuna (Beauty with Brain)
2. Kanda Ya Ziwa. Ambapo ikibebwa na Mwanza, Mara. Shinyanga
3. Kanda ya Kati ikibebwa na Singida na kwa sehemu Dodoma .
2. Kanda ya Pwani ikibebwa na Pemba na Dar Es Salaam.
4. Kanda ya kusini.
5. Kanda ya Nyanda za Juu. Yaani Mbeya na viunga vyake inashika Mkia.
Nasisitiza uzuri unahusisha Umbo, Rangi, Sura na kimo.
Sipendi bias mimi.
We fala tu, ondoa mchaga na mnyakyusa1.warangi
2.wanyaturu
3.wameru
4.wamasai
5.wasukuma
6.wachagga
7.wahaya
8.wanyamwenzi
9.wapare
10.wanyakysa
Tena mshamba wa kutupwaUnawaacha Wahangaza, wambulu(wairaqw), wapemba, waasi.....unaweka wasukuma, wanyakyusa, wapare....huu utafit wa kupika aisee!!
Toa wachaga hapo acha ubwegeMy Top 5;
1. Warangi
2. Wambulu/Wairaq
3. Wanyaturu
4. Wanyamwezi
5. Wachaga
Sio wote labda wapemba wale Shombeshombe nawapendajeWazenji hata top 10 hawamo ckubalian nawe