Makabila kumi yenye wanawake wazuri sana Tanzania

Makabila kumi yenye wanawake wazuri sana Tanzania

Mheshimiwa Spika,
Bila Wakurya juu hapo kwenye hili andiko basi utafiti wako utakuwa una mapungufu.
Nawasilisha.
 
Labda namba 1, 2 na 10, hao wengine wamekuhonga ili uwaweke kwenye listi
 
Pole sana
Hapana
[emoji1] [emoji1] [emoji115] hawa watani wangu wanyakyusa kila kitu wanacho wao duu.ila usipingane na tafiti kubali tu[emoji1]

Unawaacha Wahangaza, wambulu(wairaqw), wapemba, waasi.....unaweka wasukuma, wanyakyusa, wapare....huu utafit wa kupika aisee!!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Wanyantuzu si ni wasukuma wa bariadi? Kwani kuna kabila la wanyantuzu la wapi hilo?
 
wa
Kwani uzuri unapimwaje.Nadhani watu wana mitizamo tofauti.Wengine mwanamke mweupe kwao ndio mzuri.Sasa hicho kingekuwa sahihi wazungu wote wangekuwa wazuri.
nyakyusa tuna rangi nzur sana za asil kitu black beuty
 
1.Warangi
2.Wanyaturu
3.Wameru
4.Wamasai
5.Wasukuma
6.Wachagga
7.Wahaya
8.Wanyamwenzi
9.Wapare
10.Wanyakysa
Nina wasiwasi hujawahi penda maana, unachopenda kwa wachaga ni kitu gani: zile cream? yale miguu? ule ubabe? ile tabia ya kwanini.

unachopenda kwa wameru ni nini ule weuzi na sura zisizo kuwa nzuri zenye mvuto?

unachopenda kwa wanyakyusa ni nini ule weusi, ufupi, ukakamavu.

unachopenda kwa wamasaid ni nini kule kutokula samaki, ule wembamba, unawajua kitandani kweli?

unapenda wapare kwa weupe au na tabia ya kupenda kuwalia hela wanaume?

basi niachie hapa nisije kutukanwa bure kwa ukweli
 
1.Warangi
2.Wanyaturu
3.Wameru
4.Wamasai
5.Wasukuma
6.Wachagga
7.Wahaya
8.Wanyamwenzi
9.Wapare
10.Wanyakysa


nimefanya utafiti wa haraka haraka hapa JF nimegundua wanawake wakichaga wana threads kama tatu kuhusu kusifiwa mambo ya urembo na uzuri kuhusu wao... najiuliza why...wachaga, nahis humu JF kabila linaloongoza kufunguliwa threads ama kuhusishwa na threads mara nyingi ni wachaga... sijajua ni kwa nini....
 
Mbulu
Mrangi
Mhaya
Msukuma
Mnyaturu
Mmakonde
Mmasai
Mhehe
Mmbondei
Mzanaki.
 
Nina wasiwasi hujawahi penda maana, unachopenda kwa wachaga ni kitu gani: zile cream? yale miguu? ule ubabe? ile tabia ya kwanini.

unachopenda kwa wameru ni nini ule weuzi na sura zisizo kuwa nzuri zenye mvuto?

unachopenda kwa wanyakyusa ni nini ule weusi, ufupi, ukakamavu.

unachopenda kwa wamasaid ni nini kule kutokula samaki, ule wembamba, unawajua kitandani kweli?

unapenda wapare kwa weupe au na tabia ya kupenda kuwalia hela wanaume?

basi niachie hapa nisije kutukanwa bure kwa ukweli
Mkuu wewe kabila gani?
 
Back
Top Bottom