Makabila kumi yenye wanawake wazuri sana Tanzania

Mbona kaskazini wengi sana!!

Umetumia vigezo gani kuanalyse statistics zako?
 
Sawa tumekuelewa,pamoja na uzuri wao inaonekana wote wana sifa ya umalaya,kama ni hivyo bora tu niendelee huku kusini kwenye sura ngumu,afterall nikiwa najilia vitu vyangu nafumba macho shida iko wapi...
Hakuna cha umalaya wala nini ni wivu unawasumbua watu
 
Umejitahidi vp mama yako anatokea kabila gan[emoji23][emoji23]
 
Wajita kwenye show napo wako vizur,wanafunzwa vizur
 
Hujatembelea makabila yote ukaona.
Hajataja lenu au, nilikuwa na mnyaturu wangu nilijipigia Sana, mtamu anajua kulalamika kidume nilikuwa najimwagilia tu ..ashanikijolesha round 8

Sikumuona niliona ataniua bure.

Bora lichaga langu nachombua namaliza nasepa kutafuta shilingi
 
Uzuri na urembo wa mwanamke ni subjective na dependable kwenye preference za mtu binafsi hivyo huu uzi ni maoni yako binafsi.
Kwangu kwa sasa bado sijaona wanawake wazuri zaidi ya pwani I can't say any further uhalisia unajieleza.
 
Katika nchi zenye wanawake wazuri afrika ya kwanza ethiopia ikifatiwa rwanda msichokijua ni kwamba KABILA LA WANYATURU HISTORIA YAKE NA ASILI YAKE NI ETHIOPIA WATU WA HILI KABILA WANA ASILI YA ETHIOPIA WANYATURU NI WAKIMBIZI KUTOKA ETHIOPIA ZAMA HIZI ZA KALE WALIINGIA KAMA WAKIMBIZI BADAE WAKAFUKUZWA NA KUKIMBILIA SINGIDA ASILI YA HILI KABILA NI ETHIOPIA.
 
Mkuu hiyo top 10 yako ni batili.Unawaachaje kwenye orodha yako wanawake wa kihangaza kutoka kule Ngara kwamfano!?
 
Wanyakyusa hatujalamba hata nafasi ya 10 why? 😂Hivi unawajua wanyaki walivyo warembo wewe, rudia hiyo tafiti mkuu
 
Huo ni utafiti wako wew...

Kila mtu ana urembo wake
 
Mshamba wewe unataja makabila wote hao kwa wasambaa hawakuti nilikuwa na mmeru akicheka meno anajificha halafu mademu wa dini Arusha 80% hawajielewi yaani wanajiona Kama wanaume

Tafuta msambaa wewe Kama weupe hana meno ya ukungu huwaga meno yakiwa ivyo sipend sijui kwa nn na wamasai hamna kitu labda waoane wao kwa wao na watu wa sudani ila ni warafu Kama mfupi utaona Soo
Wachaga unakuta mweupe na shape ya funza maziwa makubwa kitambi we nenda Zanzibar kaone mademu wacha ushamba njoo pwani ukutane na mademu hapo sijaona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…