bongo man
JF-Expert Member
- Dec 26, 2016
- 1,054
- 2,348
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wanyaki ni warembo mno nashangaa hiyo tafiti ya mkuu, hadi kuhonga laki 2 na si mchezo😀
Safii na Ukaoe kabisa mkuu , usikubali hiyo mali safi iende kwengine au vipi?Hakuniomba ila mimi ndiyo nilimpa kwa moyo wangu mweupe kabisa.
Kwahiyo uzuri ni weupe na maji ya kunde? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipo.Mughonile!
Kama kichwa kinavyoeleza, top 10 ya makabila yanayoongoza Kwa Pisikali nchini Tanzania.
1. Wanyaturu.
Warefu, weupe, Sura nzuri, baadhi yao wananyama.
Ingawaje wanashutumiwa Kwa umalaya.
2. Wambulu.
Urefu wa wastani, weupe na Rangi ya chungwa, Sura nzuri, nywele nzuri....
Kashfa Yao inafanana na wanyaturu, umalaya, na Meno kuwa na Rangi.
3. Wameru
Wengi huwaita Waarusha, hawa wanamchanganyiko na wamasai,
Rangi nyeupe mtelezo, urefu na maumbo ya kuvutia, Sura nzuri,
Tatizo Lao Hasira, Meno kuwa na Rangi.
4. Wajita
Rangi ya maji ya kunde mtelezo na weusi mtelezo, warefu wenye shepu, Sura nzuri na zawastani, urefu wao na maumbo Yao huwafanya waonekane Kama wanatembea Kwa maringo.
5. Wapare.
Hawa wapo wa Aina mbili, wapare wa Same na wapare wa Mwanga.
Wapare wa Same ni Wafupi lakini wenye Sura nzuri.
Huku wapare wa Mwanga wakiwa Warefu wenye Sura nzuri.
Sura nzuri, Rangi maji ya kunde na nyeupe mtelezo,
Pia wanakashfa ileile ya umalaya.
6. Wanyiramba.
Weupe, warefu, Sura nzuri, wengi wakiwa na miguu membamba.
Hawa Kwa kiasi kikubwa Wanafanana na Ndugu zao Wanyaturu.
Pia wanakashfa ya umalaya.
7. Wanyamwezi!
Wazuri wa sura, warefu wa wastani, shepu za maana, katika ukanda wa kanda ya ziwa ndio wanaoongoza Kwa wanawake warembo.
8. Wachaga.
Wazuri, warefu, Rangi nzuri, wengi shepu huzipata Kwa kuchanganya Makabila.
Uwepo wa Wapare Kama majirani zao umewanufaisha Kwa kuwa na Sura ndefu za kushuka,
Ili Msichana awe na Sura nzuri lazima awe na Sura ya kushuka na pua iliyochongoka kiasi.
9. Wamasai
Warefu, pua za kuchongoka, Rangi maji ya kunde mpauko, na nyeusi mtelezo, wembamba wa kuvutia.
10. Warangi!
Weupe, Sura nzuri, warefu wa wastani, ukaribu wao na Wanyaturu umewafanya wasitambulike, kwani watu wasiowajua huwachanganya.
Mpaka kufikia hapo unaweza kuona kuwa wanawake warembo Kwa nchi ya Tanzania wapo Kanda ya Kati, kuja kanda ya kaskazini Mashariki.
Hapa mjini ukiwakuta wanawake kumi wazuri basi Nane watakuwa wanatoka kwenye hayo Makabila hapo.
Ile ya kusema wanawake wote ni wazuri ni kweli lakini wengine uzuri wao mpaka upigwe Jerk, ubustiwe Kwa pesa.
Wasalamu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama unawaona wapo hivyo sio wazuri jua Maeneo mengine Hali ni mbaya zaidi
Hawa warembo na mambo ya nauli ni hatari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mashokolo mageni[emoji1787][emoji1787]..nyaki na haya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..
kwani mmeru na Mmbulu nani mzuri, ila wameru wazuriUnaumwa wewe.. Yani hapo Mmbulu hayupo alafu unaweka Mmeru? Acha ujinga, fanya research kabla hujabandika mada
But why[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanyakyusa na wanyamwezi ondoa