[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaan unatujua c kidogo..Haya bwana umeshindawarangi ni waajabu sana! Sura nzuri ila mguu kama tubelight!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaan unatujua c kidogo..Haya bwana umeshindawarangi ni waajabu sana! Sura nzuri ila mguu kama tubelight!
Sio wote bhanaWanyaki kweli hatutakiwi sio kwa kugomewa huko [emoji23][emoji23]
Ondoa wanyakyusa hapo.... Nafasi kama ipo pia ondoa wasukuma.
Mwenyekiti sijapentaaaaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Katibu wangu Heaven Sent anisamehe tu bure, hii list ni batili [emoji13][emoji13][emoji13]
Tapata kila kitu mmmh weeeee yaani nini na nnWangeolewa wote binafsi mi makabila yote nimekaa nao ukitaka mke anayefit tafuta mdigo ,mgunya , mtumbatu au mpemba utapata kila kitu
😅😅😅😅Tapata kila kitu mmmh weeeee yaani nini na nn
Mgomo uliopigwa hapo ni hatariSio wote bhana
Mimi ninawakubali kabisaMgomo uliopigwa hapo ni hatari
ila nasikia Wana hasira sana ngumu kuwaoaUnamfahamu Mmeru wa sehemu ya inaitwa Surra mkuu?
Ni visu hatari wako kama twiga
Kweli hivi kwanini wanakuwaga hivyo?Wajeuri na visirani!
hii tabia sijui waliipataga wapi unakuta pisi ya kimeru nzuri ila korofiKweli unawajua wakorofi sana
Ni kweli wana hasira.ila nasikia Wana hasira sana ngumu kuwaoa
Labda tuweke vizuri...wana hasira kali.hii tabia sijui waliipataga wapi unakuta pisi ya kimeru nzuri ila korofi
Labda anagesema wenye misambwanda tungekubaliana nae ila wanyakyusa wengi wana sura za baba zao.Wanyakyusa hapo sikubali hata kwa ngumi
Wasukuma hoyeeeeee1. Warangi
2. Wanyaturu
3. Wameru
4. Wamasai
5. Wasukuma
6. Wachagga
7. Wahaya
8. Wanyamwenzi
9. Wapare
10. Wanyakysa
Mbna makabila ya Tanga hujayaweka hapo mkuu. Wale mabinit1. Warangi
2. Wanyaturu
3. Wameru
4. Wamasai
5. Wasukuma
6. Wachagga
7. Wahaya
8. Wanyamwenzi
9. Wapare
10. Wanyakysa
Warangi, wahasi.Hivi mkuu, ushawahi kutembea tembea Manyara!? Au ndo DSM peke yake!
Jaribu kuzungukia maeneo hayo uje u edit huu upuuzi [emoji34][emoji34][emoji23][emoji23]
3. Wanyaturu
2. Warangi
1. Wairaq
Waliobaki wajenzi! [emoji125][emoji125][emoji125]