Makabila kumi yenye wanawake wazuri sana Tanzania

Umeangalia weupe ndo kigezo then ukaweka wamasai acha ushamba hakuna kabila kanda ya kaskazini flat screen na maziwa makubwa hawana mzuka bado meno
 
Ww utakuwa ni mnyaturu kwa jinsi unavyojipigia debe
 
Hakuna kabila la wambulu bali kuna wairaq. Kutokana na kuishi eneo linaloitwa Mbulu basi wakaitwa wambulu. Ila siyo kabila la kibantu.
 
Mi naamini Tanzania Ina wanawake wazuri kwasababu ya mchanganyiko wa makabila zaidi ya 120

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaskazini unakutana na Wairaq (wambulu). Wapo Manyara na Arusha (Karatu). Pisi kali kweli na weupe
Wanawake wengi wazuri ni weupe mjomba.
Umeangalia weupe ndo kigezo then ukaweka wamasai acha ushamba hakuna kabila kanda ya kaskazini flat screen na maziwa makubwa hawana mzuka bado meno
 
...Hujawaona Wasambaa !....
 
Sisi wasukuma na wanyantuzu au tuhame kbs nchi [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mkuu wajita unawajua vizuri wwe...!

Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
 
Hajataja lenu au, nilikuwa na mnyaturu wangu nilijipigia Sana, mtamu anajua kulalamika kidume nilikuwa najimwagilia tu ..ashanikijolesha round 8

Sikumuona niliona ataniua bure.

Bora lichaga langu nachombua namaliza nasepa kutafuta shilingi
Wadada wengi niliowafahamu na ninaowafahamu,wa-Kinyaturu,inabidi uwe na mauwezo sana kwenye sita kwa sita,wako vizuri sana,kama hupendelei show za kibabe kila mara,usioe hao,waweke wawe michepuko.
 
Toka lini wajita wakawa na pisi kali.??? Utafiti wako umeufanyia wapi maana hata sisi wajita wenyewe hatuko proud na wanawake wetu.

Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…