Makabila kumi yenye wanawake wazuri sana Tanzania

Makabila kumi yenye wanawake wazuri sana Tanzania

Hakunaga wanawake wazuri kupita WAIRAQ hapa africa ya mashariki
1569691672324.png
 
Wanawake wazuri wana sifa gani? Uzuri au urembo ni misamiati tata. Vyote vinategemea mtazamo wa mtu.
Mwanamke mzuri ni yule mwenye kujiheshimu na kumcha Mungu. Mengine ni mbwembwe tu kwani uzuri au urembo wakati wowote unaweza kuwa kinyume chake.
Hayo Yote yanajulikana ila hapa IPO Kidunia .Usizungukeeee sana
 
Woi Kwendraa!!.
Hawajui wanyakyusa huyo
Kwanza wana kila kitu ambacho mwanamke anatakiwa awe nacho.Sura hata mbuzi anayo
Vipi Shepu?
Jumlisha sura
Basi Wanyakyusa Hoyeeeeeeeeee
Kitu Black beauty!!
Mbele anaita Nyuma anaita.
Sasa mnataka nini.
Ukatae ukubari utafiti ndo huo.
Scientific proven!
Tema mate chini wewe apo unapaka upepo rangi hamna kitu
 
Nimeshangaa kuwaona wanyakyusa hapo,nilialikwa harusi flani kubwa ya wanyakyusa aisee sijawahi kuona harusi imejaa wanawake wa hovyo kama ile,vipori tupu vilijaa mle vya kinyakyusa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom