Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #181
Wapare hawajawahi kutajwa kwenye umalaya wala kwenye uzuri. Sifa zao kuu ni mbili tu, ufupi na ubahili. Labda wewe Taikuni ndo unataka kuwaanzishia hayo maneno. Wambulu, warangi na wanyaturu ndo wamekuwa wakitajwa sana kwenye hizi tabia za kugawa papuchi hovyo. Ushahidi ni mwingi sana. Wana matukio mengi. Kuna mtanzania kwa kabila Mbulu anatrend mtandaoni kubadili jinsia kutoke ME kwenda KE.
Kimtizamo ubatizo wa malaya hutoka kwa wanawake, uzuri unaenda na kutongozwa sana mitongozo mingi, haijalishi umekataa ama kukubali, kwahiyo wanawake wengine wanaumia kuona jamii fulani tu ndo inayopapatikiwa na wanaume hivyo njia nyepesi ya kufariji machungu na maumivu yao ni kuita jina baya, hivyo tuWahaya wana maumbo mazuri, kuna Wahaya wamechanya na Watutsi ni level nyingine.
Wahaya wana uzuri uliojificha.
Alinisimulia Kapeace 😂😂
Sema hivi;Kimtizamo ubatizo wa malaya hutoka kwa wanawake, uzuri unaenda na kutongozwa sana mitongozo mingi, haijalishi umekataa ama kukubali, kwahiyo wanawake wengine wanaumia kuona jamii fulani tu ndo inayopapatikiwa na wanaume hivyo njia nyepesi ya kufariji machungu na maumivu yao ni kuita jina baya, hivyo tu
Halafu hii tag sikuiona jf wanafeli sometimes
Mhm wahaya sio wabaya bhna , sijui nyie mna macho gani lakini.Malaya wapo kila kona.
Wahaya ni wabaya ila wanaongoza kuwa Mamalaya
Hahahahaha,povuKwema Wakuu!
Acheni wivu! Yaani mkiona Watu wamebarikiwa jambo fulani roho mbaya zenu mbaya hazitulii. Wivu na maumivu moyoni yanawachoma. Mnaanza kuropoka mashudu yenu.
Mkiona mdada mzuri tuu mnaanza kumpa majina Mabaya. Kisa anatongozwa na Wanaume wengi. Utajiri wa mvuto wa kisura na kimaumbile haihusiani na tabia ya umalaya.
Makabila yenye wanawake wazuri hapa Tanzania imekuwa kawaida kuwahusisha na Umalaya lakini ukichunguza vizuri unakuja kugundua ni Wivu tuu. Kwa mfano Makabila kama Wambulu(Wairaq), Wanyaturu na ndugu zao Wanyiramba, Warangi wote hao ni makabila yènye wanawake wazuri na wanahusishwa na Umalaya jambo ambalo sio Kweli.
Wanawake wa Wapare wapo top five ya wanawake wazuri hapa Bongo, na Kwa wanaume wao wapo top 3 ya wanaume wazuri hapa Tanzania. Hiyo ukubali au ukatae. Upareni kukutana na Handsome boy sio jambo la kushangaza kwa sababu wapo wengi. Kukutana na Wanawake wazuri sio suala la ajabu.
Tabia hiyo pia ya roho mbaya imehamishwa kwenye mambo ya kiuchumi. Makabila yenye Mafanikio ya kiuchumi kama Wachagga, Wakinga, au Wapemba hupewa majina Mabaya kama wizi, ujambazi, ufisadi na uchawi. Acheni wivu.
Huwezi kuoa mke mzuri asitongozwe na wanaume. Kwa sababu wanaume wanapenda wanawake wazuri. Wewe kama kipimo cha kutotongozwa kwa mkeo ndio kutokuwa malaya basi elewa kuwa mkeo hana mvuto, sio mzuri na hana la maana.
Upande wa pili, huwezi kuwa na Mwanaume Handsome boy au mwenye uchumi alafu wanawake wenzako wasimsarandie. Haipo hivyo. Ukiona mumeo yupoyupo tuu na hakuna Mwanamke hata mmoja anayemtaka ujue hapo hakuna kitu. Umepoteza.
Wanawake wa kipare wanajiamini, hawataki kuonewa, hawataki unyanyasaji wa kijinsia kwa Jina la Mfumo dume, wapo radhi wabadilishe wanaume hata elfu moja ikiwa tuu wanapata Wanaume Mabwege wasiojitambua.
Wanawake wa kipare au kichaga, kama unapenda kwenu lazima upende na Kwao. Kuhusu ufupi nyundo ni sifa yao pia, lakini pia wapo Warefu hasa wanaôtokea Upareni kaskazini maeneo ya Mwanga.
Wapare kwa ujumla sio Watu wa kusikiliza maneno ya Watu Wajinga na watu wasiojiamini au wenye roho za chuki kisa tumewazidi mambo nyeti ambayo hayanunuliwi kwa pesa.
Povu Rukhsa!
Hahahahaha,povu
Mti wenye matundaSema hivi;
Chakula kizuri kinaongoza kwa kupendwa na kuliwa zaidi kuliko vingine.
Wasichana warembo huandamwa kwa maneno mengi yenye uongo na ukweli kiasi
Sijasema wanapenda au hawapendi mkuu halafu mi huwa sio muumini wa negativity kwa wengine nilichofanya ni ku appreciate uwezo wao wa kimapenzi wangoni (girls) ni the bestMkuu,
Makabila yote yana me na ke wapenda ngono, yaani huwezi kusema "kabila x ni super specialized" wa ngono!
Sikupingiwapare kwenye umalaya wapo ndugu. mtaniwia radhi wapare kama nitawakwaza. umalaya, ubahili, uchoyo, wivu, uchawi na ufupi. kama nadanganya semeni. kama ulishawahi kufanya kazi au biashara na mpare usiijue roho yake basi ulipigwa dawa usiwajue.
Hivi uzuri unaosemea kwa vigezo vipi?Kwema Wakuu!
Acheni wivu! Yaani mkiona Watu wamebarikiwa jambo fulani roho mbaya zenu mbaya hazitulii. Wivu na maumivu moyoni yanawachoma. Mnaanza kuropoka mashudu yenu.
Mkiona mdada mzuri tuu mnaanza kumpa majina Mabaya. Kisa anatongozwa na Wanaume wengi. Utajiri wa mvuto wa kisura na kimaumbile haihusiani na tabia ya umalaya.
Makabila yenye wanawake wazuri hapa Tanzania imekuwa kawaida kuwahusisha na Umalaya lakini ukichunguza vizuri unakuja kugundua ni Wivu tuu. Kwa mfano Makabila kama Wambulu(Wairaq), Wanyaturu na ndugu zao Wanyiramba, Warangi wote hao ni makabila yènye wanawake wazuri na wanahusishwa na Umalaya jambo ambalo sio Kweli.
Wanawake wa Wapare wapo top five ya wanawake wazuri hapa Bongo, na Kwa wanaume wao wapo top 3 ya wanaume wazuri hapa Tanzania. Hiyo ukubali au ukatae. Upareni kukutana na Handsome boy sio jambo la kushangaza kwa sababu wapo wengi. Kukutana na Wanawake wazuri sio suala la ajabu.
Tabia hiyo pia ya roho mbaya imehamishwa kwenye mambo ya kiuchumi. Makabila yenye Mafanikio ya kiuchumi kama Wachagga, Wakinga, au Wapemba hupewa majina Mabaya kama wizi, ujambazi, ufisadi na uchawi. Acheni wivu.
Huwezi kuoa mke mzuri asitongozwe na wanaume. Kwa sababu wanaume wanapenda wanawake wazuri. Wewe kama kipimo cha kutotongozwa kwa mkeo ndio kutokuwa malaya basi elewa kuwa mkeo hana mvuto, sio mzuri na hana la maana.
Upande wa pili, huwezi kuwa na Mwanaume Handsome boy au mwenye uchumi alafu wanawake wenzako wasimsarandie. Haipo hivyo. Ukiona mumeo yupoyupo tuu na hakuna Mwanamke hata mmoja anayemtaka ujue hapo hakuna kitu. Umepoteza.
Wanawake wa kipare wanajiamini, hawataki kuonewa, hawataki unyanyasaji wa kijinsia kwa Jina la Mfumo dume, wapo radhi wabadilishe wanaume hata elfu moja ikiwa tuu wanapata Wanaume Mabwege wasiojitambua.
Wanawake wa kipare au kichaga, kama unapenda kwenu lazima upende na Kwao. Kuhusu ufupi nyundo ni sifa yao pia, lakini pia wapo Warefu hasa wanaôtokea Upareni kaskazini maeneo ya Mwanga.
Wapare kwa ujumla sio Watu wa kusikiliza maneno ya Watu Wajinga na watu wasiojiamini au wenye roho za chuki kisa tumewazidi mambo nyeti ambayo hayanunuliwi kwa pesa.
Povu Rukhsa!
Hivi uzuri unaosemea kwa vigezo vipi?
Rangi, urefu, nyash, pua, mdomo au meno? Hakuna mtu mbaya ila ni mtu kushindwa kutumia vipawa/viungo ambavyo Mungu amekujalia. Umalaya hauna kabila ila una matabaka mengi, maskini,uwezo wa kati na uwezo wa juu.
Sawa tumejua wewe ni mpare na handsomeKwema Wakuu!
Acheni wivu! Yaani mkiona Watu wamebarikiwa jambo fulani roho mbaya zenu mbaya hazitulii. Wivu na maumivu moyoni yanawachoma. Mnaanza kuropoka mashudu yenu.
Mkiona mdada mzuri tuu mnaanza kumpa majina Mabaya. Kisa anatongozwa na Wanaume wengi. Utajiri wa mvuto wa kisura na kimaumbile haihusiani na tabia ya umalaya.
Makabila yenye wanawake wazuri hapa Tanzania imekuwa kawaida kuwahusisha na Umalaya lakini ukichunguza vizuri unakuja kugundua ni Wivu tuu. Kwa mfano Makabila kama Wambulu(Wairaq), Wanyaturu na ndugu zao Wanyiramba, Warangi wote hao ni makabila yènye wanawake wazuri na wanahusishwa na Umalaya jambo ambalo sio Kweli.
Wanawake wa Wapare wapo top five ya wanawake wazuri hapa Bongo, na Kwa wanaume wao wapo top 3 ya wanaume wazuri hapa Tanzania. Hiyo ukubali au ukatae. Upareni kukutana na Handsome boy sio jambo la kushangaza kwa sababu wapo wengi. Kukutana na Wanawake wazuri sio suala la ajabu.
Tabia hiyo pia ya roho mbaya imehamishwa kwenye mambo ya kiuchumi. Makabila yenye Mafanikio ya kiuchumi kama Wachagga, Wakinga, au Wapemba hupewa majina Mabaya kama wizi, ujambazi, ufisadi na uchawi. Acheni wivu.
Huwezi kuoa mke mzuri asitongozwe na wanaume. Kwa sababu wanaume wanapenda wanawake wazuri. Wewe kama kipimo cha kutotongozwa kwa mkeo ndio kutokuwa malaya basi elewa kuwa mkeo hana mvuto, sio mzuri na hana la maana.
Upande wa pili, huwezi kuwa na Mwanaume Handsome boy au mwenye uchumi alafu wanawake wenzako wasimsarandie. Haipo hivyo. Ukiona mumeo yupoyupo tuu na hakuna Mwanamke hata mmoja anayemtaka ujue hapo hakuna kitu. Umepoteza.
Wanawake wa kipare wanajiamini, hawataki kuonewa, hawataki unyanyasaji wa kijinsia kwa Jina la Mfumo dume, wapo radhi wabadilishe wanaume hata elfu moja ikiwa tuu wanapata Wanaume Mabwege wasiojitambua.
Wanawake wa kipare au kichaga, kama unapenda kwenu lazima upende na Kwao. Kuhusu ufupi nyundo ni sifa yao pia, lakini pia wapo Warefu hasa wanaôtokea Upareni kaskazini maeneo ya Mwanga.
Wapare kwa ujumla sio Watu wa kusikiliza maneno ya Watu Wajinga na watu wasiojiamini au wenye roho za chuki kisa tumewazidi mambo nyeti ambayo hayanunuliwi kwa pesa.
Povu Rukhsa!
Fact [emoji817]Hao pia ni malaya tu kama Dada zako (Binamu zangu)
Yaaani ukioa Mpare siku ukitembelewa na ndugu wakiume asiye wadamu kabisa,Usilale usingizi. Wanatabia yakulana sana ndugu kwa ndugu.
Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
Broo umenena , wapare ni wachafu wa tabia mimi nimeishi nao kwa zaidi ya miaka mitano, najua lugha yao vizuri na tamaduni zao, hawa jamaa kushare ngono/wapenzi kwao siyo nongwa.Ila bwan mtibeli wapare Ni malya jmn siyo mwanamke siyo mwanaume
Siyo ajabu kak mkashare nae demu mmoja
Nimekah na ninyi ila mkp SAS nimeamua kufua urafiki na wapare Ni watu wa ajbu San mm kuwai kuwaon walivyo wazinsi wa kutukuka
Jamaa wanakula demu mmoja na kak ake Kisha kak anantembee na binamu wake Mara mtot wa Bab mdg nae analalwa na wala haogopi kutembe nao
Bint akinimbia yey Ni mpare ,mmbulu,mnyaturu ,mrangi nitakacho fanya Ni kugegeda tu Kisha nafuta namba
Kumbe wangoni Ke ni the best eenh, sijui nafanyaje experiment aisee😁 ephen_ umeamka mkuu?Sijasema wanapenda au hawapendi mkuu halafu mi huwa sio muumini wa negativity kwa wengine nilichofanya ni ku appreciate uwezo wao wa kimapenzi wangoni (girls) ni the best
Sasa hii ni level nyingine kabisaNi kweli hata wanaume wa kipare ni hivyo hivyo.
Hata wakioana mwanamke anachepukia huku Mwanaume kule.
Tena hata wakiwa kwenye umri wa utu uzima hadi uzeeni.
Ninyi kwa ushamba mlionao umalaya mnaufahamia wapi?? [emoji23][emoji23]Na sisi wasukuma je?